xtaper
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 3,320
- 4,696
- Thread starter
- #81
Mkuu muosha huoshwaHabarini wakuu
Naomben ushauri wenu niko njia panda sielewi nifanyaje kuna binti flani ni rafiki kwangu lakini ameolewa ila anadai ananipenda sana na kudiriki kusema anajiskiaga vibaya akiniona na mwanamke mwengine. Nifanyaje wakuu ukizngatia na mim nilikuaga namtamani enzi akiwa hajaolewa
Mkuu mbona maneno machungu hayo unanipa badala ya kunifarijiWrite your reply...
Mkubalie maana hata wewe una mlango wa dharula ambao mmewe anaweza pia kupoza machungu
Acheni hizo wadau. Mbona naskia wengine wanatoka na mwanamke alieolewa na hakamatwi
Acha hizo mkuu hayo sio maneno ya kuniambia unaniumiza rohoutafumuliwa rinda ulete mrejesho hapa ohoo
Mi nahisi ni sahihi kwan nao ni wako na feelings tooNi sahihi kupendwa na single mother ?
Kuna vitu si vya kuremba sana...maliza tatizo mara moja...kula tunda hilo**Update**
Baada ya siku kadhaa za kuongea na kuchat na simu, akanilazimisha niende kwake pande za tabata kinyerezi. Bila hiyana nikapanda daladala kutokea kimara mpaka tabata.
Baada ya foleni kadhaa na kupurukashani kiasi na makonda nikafika kwake akanikaribisha vizuri. Alikua peke yake hapo alipopanga. Tukakaaa tukapiga stori mbili tatu akaanza kunishika shika huku mimi akili yangu ikiwa bize sana inawaza na kuwazua nikitafakari nifanye nini na je mume wake akitukuta itakuaje. Ila nilijikaza kiume asije akaona ni type wa kina delicious nilisogeza karibu nikamshika makalio nikamnyanyua nikamkalisha juu yangu huku nikimshika shika kifua.
Bahati nzur nikifanikiwa kulishinda jaribu lile na kuondok a bila kumgegeda ila alisononeka sana.
Leo kaniita tena anataka niende. Je mnanishuri vipi wanaMMU najua humu ni wengi mmeshakumbana na changamoto kama hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app