afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,254
- 2,678
Dah grego na maserati mbona mnamtisha mdau.....mwacheni atafune once tu...kwanza karemba kapata nafasi kachezea
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nitamwambia jamaa
He he heNgoja nitamwambia jamaa
*I shall kindly Knee to leave my Pride*
yako haya yaingie mpaka moyoni
Nomba niyasafirishe moja kwa moja mpaka kwa rafk etu aliepo dp.....yako haya yaingie mpaka moyoni
*I shall kindly Knee to leave my Pride*
nyau weeee , unamoyo mzuri ivo yaan moyo wa kujali kabisa hahahaNomba niyasafirishe moja kwa moja mpaka kwa rafk etu aliepo dp.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Eee mkuu nimemwachia yeye akufaidi vzuri....nyau weeee , unamoyo mzuri ivo yaan moyo wa kujali kabisa hahaha
Upo radhi rafiki ale, we ushinde njaa
*I shall kindly Knee to leave my Pride*
Huhuhu basi sawa mkuu wacha tufaidiane hamna namna sasa
Yes kufaidi kwema mkuuHuhuhu basi sawa mkuu wacha tufaidiane hamna namna sasa
*I shall kindly Knee to leave my Pride*
Ewaaaa nmepokea baraka kwa moyo mmoja mkuu, zimeingia mpakaaa maka kwenye kucha, kilichobaki ninkufaidi tu
Ok then bye....Ewaaaa nmepokea baraka kwa moyo mmoja mkuu, zimeingia mpakaaa maka kwenye kucha, kilichobaki ninkufaidi tu
*I shall kindly Knee to leave my Pride*
Unakwenda wapi mkuu mbona saa tatu?? Baby keshakuita nn?
Achana nayeHabarini wakuu
Naomben ushauri wenu niko njia panda sielewi nifanyaje kuna binti flani ni rafiki kwangu lakini ameolewa ila anadai ananipenda sana na kudiriki kusema anajiskiaga vibaya akiniona na mwanamke mwengine. Nifanyaje wakuu ukizngatia na mim nilikuaga namtamani enzi akiwa hajaolewa