Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,627
- 4,345
Dah! Muonee huruma mumewe...
Mke wa mtu sumu boss au una maziwa..?Yeye kanipenda kingono. Ingekua kawaida nisingewasumbua kuomba advice
Bebe shetani wapi!! Na umedhamiriaUsinifanyie hivo bebe. Ni shetani tu [emoji1]
Tafunaaaaaa .....mmewe hajui shughuliiHabarini wakuu
Naomben ushauri wenu niko njia panda sielewi nifanyaje kuna binti flani ni rafiki kwangu lakini ameolewa ila anadai ananipenda sana na kudiriki kusema anajiskiaga vibaya akiniona na mwanamke mwengine. Nifanyaje wakuu ukizngatia na mim nilikuaga namtamani enzi akiwa hajaolewa
Hahaha mbona kama.unapeleka moto tayari?Hiyo moja wapo mkuuView attachment 837144
Aaahahah mtu anayesema anakupenda kwakua jibu bado hamuwezi kuchati hivyo bossHapana mkuu hiyo ni chatting tu
Mkuu kwa hiyo unataka kumwambia amwandalie na 0714. Mapema kabisa.Mumewe atakupenda zaidi
Fata moyo wako kama wataka kumla mle kama haujisikii basi mpotezeeSijielewi elewi. Sometymz i feel like taking the risk
Nitumie namba zake mkuu alafu nitakuambia chakufanyaHabarini wakuu
Naomben ushauri wenu niko njia panda sielewi nifanyaje kuna binti flani ni rafiki kwangu lakini ameolewa ila anadai ananipenda sana na kudiriki kusema anajiskiaga vibaya akiniona na mwanamke mwengine. Nifanyaje wakuu ukizngatia na mim nilikuaga namtamani enzi akiwa hajaolewa
Nyoko........ Ujinga ujinga ati mke wa mtu ananipenda. Kaka unatakiwa kuwa mwanaume thabit sio ukioneshwa meno tu unapendwa utakufa kwa uzinziHabarini wakuu
Naomben ushauri wenu niko njia panda sielewi nifanyaje kuna binti flani ni rafiki kwangu lakini ameolewa ila anadai ananipenda sana na kudiriki kusema anajiskiaga vibaya akiniona na mwanamke mwengine. Nifanyaje wakuu ukizngatia na mim nilikuaga namtamani enzi akiwa hajaolewa
Tafuta hii midoli ya mipini wanayotumia kinadada uanze kufanya mazoezi kijana. Maana kwa hakika utakutana na mumewe na jamaa zake soon.Habarini wakuu
Naomben ushauri wenu niko njia panda sielewi nifanyaje kuna binti flani ni rafiki kwangu lakini ameolewa ila anadai ananipenda sana na kudiriki kusema anajiskiaga vibaya akiniona na mwanamke mwengine. Nifanyaje wakuu ukizngatia na mim nilikuaga namtamani enzi akiwa hajaolewa
Ila bebe mke wa mtu sumu ujue!!Wala sjadhimiria mkuu bebe. Ngoja nimblock huyu sumu asikupeperushe ndege wangu