USHAURI: Mke wa mtu anadai ananipenda

USHAURI: Mke wa mtu anadai ananipenda

Habarini wakuu

Naomben ushauri wenu niko njia panda sielewi nifanyaje kuna binti flani ni rafiki kwangu lakini ameolewa ila anadai ananipenda sana na kudiriki kusema anajiskiaga vibaya akiniona na mwanamke mwengine. Nifanyaje wakuu ukizngatia na mim nilikuaga namtamani enzi akiwa hajaolewa
Tembea na Ky muda wote.
 
Hiyo moja wapo mkuu
hii biashara ya kishwaini ya kuchat chat na wanawake wa watu ndio inapelekea cheating. Na huyo mwanamke anaonekana goalkeeper ndio wengi wako na tabia za kushinda kwenye sms halafu akifumaniwa akaachwa atajifanya kujiliza liza ovyo!
 
**Update**

Baada ya siku kadhaa za kuongea na kuchat na simu, akanilazimisha niende kwake pande za tabata kinyerezi. Bila hiyana nikapanda daladala kutokea kimara mpaka tabata.

Baada ya foleni kadhaa na kupurukashani kiasi na makonda nikafika kwake akanikaribisha vizuri. Alikua peke yake hapo alipopanga. Tukakaaa tukapiga stori mbili tatu akaanza kunishika shika huku mimi akili yangu ikiwa bize sana inawaza na kuwazua nikitafakari nifanye nini na je mume wake akitukuta itakuaje. Ila nilijikaza kiume asije akaona ni type wa kina delicious nilisogeza karibu nikamshika makalio nikamnyanyua nikamkalisha juu yangu huku nikimshika shika kifua.

Bahati nzur nikifanikiwa kulishinda jaribu lile na kuondok a bila kumgegeda ila alisononeka sana.

Leo kaniita tena anataka niende. Je mnanishuri vipi wanaMMU najua humu ni wengi mmeshakumbana na changamoto kama hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu

Naomben ushauri wenu niko njia panda sielewi nifanyaje kuna binti flani ni rafiki kwangu lakini ameolewa ila anadai ananipenda sana na kudiriki kusema anajiskiaga vibaya akiniona na mwanamke mwengine. Nifanyaje wakuu ukizngatia na mim nilikuaga namtamani enzi akiwa hajaolewa
Dah...hadi kufikia 2020...bongo tutapoteza zaidi ya nusu ya wanaume 😡
 
Habarini wakuu

Naomben ushauri wenu niko njia panda sielewi nifanyaje kuna binti flani ni rafiki kwangu lakini ameolewa ila anadai ananipenda sana na kudiriki kusema anajiskiaga vibaya akiniona na mwanamke mwengine. Nifanyaje wakuu ukizngatia na mim nilikuaga namtamani enzi akiwa hajaolewa
mpende du, au ndo wewe nini hahaha yajayo yanafurahisha
 
Habarini wakuu

Naomben ushauri wenu niko njia panda sielewi nifanyaje kuna binti flani ni rafiki kwangu lakini ameolewa ila anadai ananipenda sana na kudiriki kusema anajiskiaga vibaya akiniona na mwanamke mwengine. Nifanyaje wakuu ukizngatia na mim nilikuaga namtamani enzi akiwa hajaolewa
Mwambie akutumie message halafu mfowardie mume wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom