FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,103
- 2,774
Heshimu ndoa ya mwanaume mwenzio.ili kumkata maini we usha mademu zaid hapo ili akate tamaa. wanawake nao siku hizi hawatosheki aisee
Ni vyema Na wewe mpende pia mkuu,Habarini wakuu
Naomben ushauri wenu niko njia panda sielewi nifanyaje kuna binti flani ni rafiki kwangu lakini ameolewa ila anadai ananipenda sana na kudiriki kusema anajiskiaga vibaya akiniona na mwanamke mwengine. Nifanyaje wakuu ukizngatia na mim nilikuaga namtamani enzi akiwa hajaolewa
Mkuu asante kwa ushauri. Ila how najizuia tusifikie kucheat naona ndio mtihanMtu akiwa in a relationship na kukutamani, hilo halina shida. Crushes happen from time to time. Shida ni when they start acting on it.
Mwambie a-concentrate na ndoa yake.
Sasa na wewe ulikuwa unamtamani kabla hajaolewa and you did nothing. Sasa hivi kaolewa ndo unataka u-act on your desires. Acha hizo.
Yeye kanipenda kingono. Ingekua kawaida nisingewasumbua kuomba adviceKuna ubaya gani ukipendwa,,?
Binadamu ili ajihisi included lazima aone kuwa anapendwa hiyo inakusaidia katika ubongo wako kujiamini zaidi
We usianze kuwaza ngono hapo kwa mke wa mtu sikutishi ila utaumia
Bebe kuachwa lazima..jiandae kisaikolojiaMhh nikimkubalia wewe hautaniacha lakin?