Human Papiloma Virus
Member
- May 20, 2017
- 73
- 166
Wakuu salamu kwenu.
Naandika uzi huu kifua kikiwaka moto kwa hasira.
Iko hivi nina mke mwajiriwa, tumefunga ndoa na tuna watoto.
Ni muda sasa tunaishi mbalimbali kiasi kutokana na inshu za kikazi. Ila siku za nyuma nilikua na utaratibu wa kutembelea familia (mke na watoto) na kupeana haki zetu za ndoa na mke wangu.
Mwishoni mwa mwaka jana tukaingia kwenye migogoro kidogo nikakata mguu kwenda kuwaona.
Ila mawasiliano yalikua yanaendelea vizuri japo ya kusua sua. Nikaanza kupata taarifa mke wangu ameanza kugawa mbususu kwa vijana .
Hapo mgogoro ukazidi kupamba moto. Likizo kaja kagoma kunipa mzigo.
Sasa hivi majuzi katika kuchat chat nikamwambia nitakuja kukucheck soon maana muda kidogo hatujakutana. Mke kanitamkia wazi nikienda sitamkuta maana yeye amepata hawara mwingine anaempa amani ya moyo.
Nikiangalia sijamfanyia kosa lolote la kufikia yeye kusaliti ndoa.
Je nimfanyaje huyu mtu maana natamani kwenda kumfanyia kitu kibaya ila nimeona nitulie kwanza.
Ushauri tafadhali.
Naandika uzi huu kifua kikiwaka moto kwa hasira.
Iko hivi nina mke mwajiriwa, tumefunga ndoa na tuna watoto.
Ni muda sasa tunaishi mbalimbali kiasi kutokana na inshu za kikazi. Ila siku za nyuma nilikua na utaratibu wa kutembelea familia (mke na watoto) na kupeana haki zetu za ndoa na mke wangu.
Mwishoni mwa mwaka jana tukaingia kwenye migogoro kidogo nikakata mguu kwenda kuwaona.
Ila mawasiliano yalikua yanaendelea vizuri japo ya kusua sua. Nikaanza kupata taarifa mke wangu ameanza kugawa mbususu kwa vijana .
Hapo mgogoro ukazidi kupamba moto. Likizo kaja kagoma kunipa mzigo.
Sasa hivi majuzi katika kuchat chat nikamwambia nitakuja kukucheck soon maana muda kidogo hatujakutana. Mke kanitamkia wazi nikienda sitamkuta maana yeye amepata hawara mwingine anaempa amani ya moyo.
Nikiangalia sijamfanyia kosa lolote la kufikia yeye kusaliti ndoa.
Je nimfanyaje huyu mtu maana natamani kwenda kumfanyia kitu kibaya ila nimeona nitulie kwanza.
Ushauri tafadhali.