Ushauri: Mke hapendi kufanya mapenzi, kamoja tu analala

Ushauri: Mke hapendi kufanya mapenzi, kamoja tu analala

Zungumza naye akueleze tatizo lake kwa upana.

Wengi wanakuwa na tatizo hilo ila wakishazaa linapotea

Kama bado unampenda muandae isaikolojia tu kuwa siku akisikia una kamchepuko nje asishangae.
Mkuu hujaweza kusoma katikati ya mistari?!!
 
Huyo analiwa nje kwa dakika 120 bao moja akija kwako anzkuzuga.

Piga chini ni muhuni huyo.
 
Huyo hafai.....kwanza dakika 45 unamuhurumia! Mbona wenzake huku wanafurahia zaidi ya hivyo vidakika???Mjomba toa talaka tafuta wa dakika 90 na muda wa nyongeza
Muda wote huo hamna shughuli nyingine ya kufanya?!! 90minutes!!!!!
 
Kitaalamu hiyo inaitwa "postmature ejaculation".[emoji144]
 
Tuwe wakweli hiyo ya dakika 45 hadi 60.Huku ni kutafuta kick. Hii shughuli ni pevu kwakweli.
 
Hahahahah, bado hujampatia vizuri huyo, huwa wananogewa na kutamani zaidi ukiwa mtamu wa freestyle. Halafu kingine kumbuka hiko sio kinu kwamba unatwanga tu lazma uwe kama dejay mikono haipumziki mbele ya mixer na turntable!
Pia mdomo sio wa kulia chakula tu...hata mpira una mtangazaji!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kwakweli mie ningekutupia pembeni huko lols mpaka hamu inatoweka inakuwa kero mwanaume anatoa milio ya kila aina jasho linawatiririka salaaaaaaaaaala aghrrrrrrrrrrr akimaliza hapo naenda kuoga na sitaki hata kusikia sauti yake alaaaaaa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Ndio mnapendaga mnasemaga wanaume / wavulana wa Dsm wavivu haya sasa
Namsaidia huyo jamaa anadhani dk 45 ni mchezo kumsugua mwenzie lazima atakauka maji yatakuja atakauka tena mwisho anamuumiza tu huo muda sio mmbaya ila hapaswi kurudia tena asubiri siku nyingine na inawezekana ana dude kubwa pia
 
Atakuwa ana tatizo, Mimi sijamuelewa eti halafu anabaki na hamu yake. Mi najua Mara nyingi wanawake ndo wanaachwa kumbe kuna wakaka wa aina hiyo duh!
eti mi nimeshangaa najua wanawake wengi sana hawafikagi kileleni wanafanya baasi tu
 
Eee chapil Analia ivo adi anaomba poo
uploadfromtaptalk1467380576960.jpg
 
Namsaidia huyo jamaa anadhani dk 45 ni mchezo kumsugua mwenzie lazima atakauka maji yatakuja atakauka tena mwisho anamuumiza tu huo muda sio mmbaya ila hapaswi kurudia tena asubiri siku nyingine na inawezekana ana dude kubwa pia
Lubricant lazima iwepo,unapaka mwendo unaendelea
 
ungetafuta mwanamke wa kijijini ungekoma mwenyewe lakini hawa wa mjini wa chips mayai unaweza ukaleta murder case ooh, yalishanikuta nilimpeleka mtu dk 10 tu speed ya cherehani ya umeme, non stop hata ananyanyuka kwenda bafuni chini puuu, miguu yake yote inatetemeka, niliogopa sana nikasema nishaua, aliponyanyuka akaomba na maji ya moto apate pakanda manake paliumuka kama mkate wa boflo
 
Back
Top Bottom