Ushauri: Mke hapendi kufanya mapenzi, kamoja tu analala

Ushauri: Mke hapendi kufanya mapenzi, kamoja tu analala

kulikuwa na haja gani ya kutuambia kuhusu hizo dk 45!!! Au ni tangazo kama yalivyo mengine.
 
Hahahahah, bado hujampatia vizuri huyo, huwa wananogewa na kutamani zaidi ukiwa mtamu wa freestyle. Halafu kingine kumbuka hiko sio kinu kwamba unatwanga tu lazma uwe kama dejay mikono haipumziki mbele ya mixer na turntable!
Pia mdomo sio wa kulia chakula tu...hata mpira una mtangazaji!
 
Yes....! We thirty minutes mtu anatwanga tuu.... Haha...wengine wanaona kero....
kwakweli mie ningekutupia pembeni huko lols@!!!!! mpaka hamu inatoweka inakuwa kero, mwanaume anatoa milio ya kila aina, jasho linawatiririka salaaaaaaaaaala ....aghrrrrrrrrrrr akimaliza hapo naenda kuoga na sitaki hata kusikia sauti yake alaaaaaa😀😎
 
kwakweli mie ningekutupia pembeni huko lols mpaka hamu inatoweka inakuwa kero mwanaume anatoa milio ya kila aina jasho linawatiririka salaaaaaaaaaala aghrrrrrrrrrrr akimaliza hapo naenda kuoga na sitaki hata kusikia sauti yake alaaaaaa
Aisee.....! Ila kuna wengine the can handle it.... Sipat picha 60 minutes.....
 
Mi nina mke wangu sasa yapata miaka minne ila kamoja tu analala, nilijaribu siku moja kulazimisha cha pili akalia mpaka machozi hata sijaanza.

Wanawake hii usababishwa na nini hiko kimoja hata hivo huwa ni muda kidogo tu dakika 45 mpaka saa moja na ukizingatia huwa nabaki hewani, ndio damu inachemka.
dk 45 tu!! akikataa na wewe lala.......
 
Yaani Mimi napenda mechi moja tena iwe ndani ya dakika 15 tu. Kwa wiki mechi mbili tu. Hatuchoki kabisa.
We jamaa unataka kazi ngumu kwa dakka 45!!!unapiga Viagra nini
Utauchosha mwili
 
Jamaa muwongo na Hicho ni cha kwanza tu,hiko cha pili si angetudanganya anakaa masaa matatu [emoji23] [emoji23]
Atakuwa ana tatizo, Mimi sijamuelewa eti halafu anabaki na hamu yake. Mi najua Mara nyingi wanawake ndo wanaachwa kumbe kuna wakaka wa aina hiyo duh!
 
Atakuwa ana tatizo, Mimi sijamuelewa eti halafu anabaki na hamu yake. Mi najua Mara nyingi wanawake ndo wanaachwa kumbe kuna wakaka wa aina hiyo duh!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wewe unayaamin maneno yake?
 
M
Mi nina mke wangu sasa yapata miaka minne ila kamoja tu analala, nilijaribu siku moja kulazimisha cha pili akalia mpaka machozi hata sijaanza.

Wanawake hii usababishwa na nini hiko kimoja hata hivo huwa ni muda kidogo tu dakika 45 mpaka saa moja na ukizingatia huwa nabaki hewani, ndio damu inachemka.
Kuu dk 45 upo kwenye tendo?huyo mke lazima aumie tu hata ukiweka ky isee izo dk zinatosha kabisa kwa dose ya siku wanaopanda na kushuka ni wale kama kuku dk 3 au 5 kashuka mpende mkeo isee muhurumie yupo sawa kabisa
 
Mi nina mke wangu sasa yapata miaka minne ila kamoja tu analala, nilijaribu siku moja kulazimisha cha pili akalia mpaka machozi hata sijaanza.

Wanawake hii usababishwa na nini hiko kimoja hata hivo huwa ni muda kidogo tu dakika 45 mpaka saa moja na ukizingatia huwa nabaki hewani, ndio damu inachemka.


Nakuelewa Wangu naye yupo hivyo ingawa sasa ana Improve. Ni pm then we talk.
 
M

Kuu dk 45 upo kwenye tendo?huyo mke lazima aumie tu hata ukiweka ky isee izo dk zinatosha kabisa kwa dose ya siku wanaopanda na kushuka ni wale kama kuku dk 3 au 5 kashuka mpende mkeo isee muhurumie yupo sawa kabisa

Ndio mnapendaga mnasemaga wanaume / wavulana wa Dsm wavivu haya sasa
 
Back
Top Bottom