Hahaahaaaaa,wazungu bana kumbe nao wanadanganyika kirahisi na akili zao nyingi,ila hii dili hapo mbeleni naona watakuja ishtukia.upate wa kumwoa hata kwa makaratasi tu ili upate kibali cha ukaazi.
Hahaahaaaaa,wazungu bana kumbe nao wanadanganyika kirahisi na akili zao nyingi,ila hii dili hapo mbeleni naona watakuja ishtukia.upate wa kumwoa hata kwa makaratasi tu ili upate kibali cha ukaazi.
Watu hawatambui hilo au pengine niseme kutokufahamu.Umenena vema mkuu HARUFU.
Muhimu katika yote ni UKWELI na UAMINIFU hizi ni rasilimali tulizo nazo
Umenena vema mkuu HARUFU
Muhimu katika yote ulielezea ni UKWELI NA UAMINIFU hizi ni rasilimali tulizo nazo ambazo ni biashara kubwa.Hapa Bongo watu wengi wanatengeneza noti ndefu kwa sababu ya UKWELI na UAMINIFU.
Watu wanayo maduka makubwa mali zote sio zao.
Umaminifu na ukweli ni nini? ukiahidi lazima utekeleze.
Ukisema nitafika saa 6 mchana sio saa 6:10 au 7.Hakuna sababu kwa nini umechelewa.Ukweli ni mgumu lakini lazima useme.Kama huwezi kufanya kitu sema huwezi.
Ukiwa mkweli na muaminifu UTAKUWA HURU
mkuu ulipata jibujaaaamani wakuuu na wataalamu naomba hints za kuingia switzerland please ninaomba nimepitia uzi sijaona kuhusu switzerland
Mkuu, hebu naomba utupie ili link au website ya kupata watu wanaohitaji kupokea watu wa kujitolea bure, kuna mdau mmoja alishawahi kutupia hapa JF, lakini nimesahau upo kwenye uzi upi. Msaada kwa mwenye kufahamuUlizaa swali hapo hapo no inbox
hapana mkuuu mpaka leo ila nchi nzuriiiii ni canada mkuu sema visa yake ndio ngumu kupata hatari ila komaa utapata hakuna kukata tamaa manmkuu ulipata jibu
sawa mkuu..mi napambana na visa ya uswisshapana mkuuu mpaka leo ila nchi nzuriiiii ni canada mkuu sema visa yake ndio ngumu kupata hatari ila komaa utapata hakuna kukata tamaa man
Vale ushaenda majuu le mutuz voice au ushaairisha kwenda kufagia [HASHTAG]#sharingdreams[/HASHTAG]Nataka nikafanye kazi japo ya kufagia tu
Sawa mkuuHi guys; kwa kupata scholarship,jobs, internship, training and opportunities zingine cheki hizi site chini.
Moderator pandisha Uzi huu juu watu waone opportunities forums za kuwatoa hapa bongo kwa young dar es salaam;
Forward:
Lots of people are asking for these sites. Here is a comprehensive list of sites where you can access numerous opportunities both for school, for travel, for business and personal growth.
Dont just read and go your way, Help your self... Help your friends... No matter your field, there is something here for you. Take full advantage...
opportunitydesk.org
opportunitiesforafricans.com
afterschoolafrica.com
Diplomacyopp.com
Youthhubafrica.org
Mladiinfo.eu
Heysuccess.com
Youthop.com
Chances4.me
Officialchange.com
Peacechild.org
Idealist.org
Tigweb.org
Voicesofyouth.org
Peacerevolution.net
Aeyco.com
Youthpolicy.org
Fundsforngos.org
Scholars4dev.com
Kindly share to benefit others.
Ubarikiwe mkuuHi guys; kwa kupata scholarship,jobs, internship, training and opportunities zingine cheki hizi site chini.
Moderator pandisha Uzi huu juu watu waone opportunities forums za kuwatoa hapa bongo kwa young dar es salaam;
Forward:
Lots of people are asking for these sites. Here is a comprehensive list of sites where you can access numerous opportunities both for school, for travel, for business and personal growth.
Dont just read and go your way, Help your self... Help your friends... No matter your field, there is something here for you. Take full advantage...
opportunitydesk.org
opportunitiesforafricans.com
afterschoolafrica.com
Diplomacyopp.com
Youthhubafrica.org
Mladiinfo.eu
Heysuccess.com
Youthop.com
Chances4.me
Officialchange.com
Peacechild.org
Idealist.org
Tigweb.org
Voicesofyouth.org
Peacerevolution.net
Aeyco.com
Youthpolicy.org
Fundsforngos.org
Scholars4dev.com
Kindly share to benefit others.
mkuu ebu tupeana hiyo fursa ya kufika kanada bila visa kassim nandule hapa mokasizaidi@gmail.com napatikana hukoNahitaji address ya huyo agent... Japo nina njia niliyopewa ya kufika Canada bila ya visa ndio nataka niitumie...
Jambo lolote la kutumia akili lina vitu 3
1 Master plan
2 Time
3 Option number 2
So ww huna vyote nilivyovitaja hapo unatakiwa kwaza ujue unakwenda nchi gani kitendo cha kunambia nchi yeyote ya Ulaya inamaana bado ujashauriana na ubongo wako juu ya kufanya njoo na detals kamili unataka kwenda wapi kama kusoma au vipi na hyo njia utakayotumia kuzamia kumbuka na ninataka kuwambia katika njia zilizokuwa zinatumiwa miaka ya 1990-2010 hazifanyi kazi tena ukizamia kijinga jinga utakwenda jela ukitoka ndege ya asubuhi tu kuja Africa utakuwa ndani yake