ushauri,.maoni na mapendekezo kuhusu biashara ya restaurant (mgahawa)

milionea wa kesho

JF-Expert Member
Dec 28, 2015
328
631
mabibi na mabwana habari za muda na wakati huu!

Nina mpango wa kuanzisha mgahawa wa hadhi ya kawaida maeneo ya stendi ya sabasaba jijini dodoma. Kwenye stendi ya daladala.

kichwani pangu nauona mgahawa upo namna hii:

Ni fremu tu ya kawaida tu nimeikodisha. kwa mbele kuna eneo la wazi nikaweka turubai za kisasa kwa juu na chini nikaweka kokoto ndogondogo kama zile za kwenye lami.

upande wa kushoto nimeweka sehemu ya chipsi ambapo zinaonekana vizuri kwenye kabati la kioo zikiwa zimeambatana na kuku, mishikaki na udambwiudambwi mwingine wote unaoujua kwa wauza chipsi. kwa wateja wanakula hapa hapa wanahudumiwa na kwa wale wa kubeba nafungasha kwenye take away.

upande wa kulia nimeweka sehemu ya matunda na juice sambamba na soda. juice za matunda yote zinapatikana hapa pamoja na matunda yote unayoyajua.
pia ile miwa ya kukata inapatikana. na maji ya aina zote yapo hata yale ya kandoro.

katikati nimeweka viti vingi pamoja na meza ambapo kuna vyakula kama wali ugali biriani n.k vinapatikana.

wahudumu ni watoto wa kike wote wazuri na wana shepu nzuri sana. hii ni kwa ajili ya wanaume wanaokuja kula chakula wanapata pia fursa ya kula kwa macho.

chakula cha hapa bei ni rahisi kidogo kulinganisha na bei za maeneo mengine ya jirani. Na ni chakula kizuri kweli kweli. mtu akila leo kesho lazima arudi.

hapa kuna wafanyabiashara wengi nakiwa nawapelekea oda za chakula. natafuta na vijana kadhaa wa kusambaza maji ya kandoro kwa wapanda daladala. maji nayaweka kwenye friji then nafunga kwenye vimfuko na kuuza 200/=.

wakuu naomba mchango wa mawazo yenu kama haya mawazo ni mazuri na yana tija.

1. kwa wazoefu na wasio wazoefu, mgahawa wa sampuli hii unaweza kugharimu starting capital kiasi gani?

2. Faida ya mgahawa inaweza kuwa kias.gani kwa mnaofanya mishe hii?

3. Ni mbinu gani naweza kutumia kuiboresha biashara hii?


Binafsi target yangu ni kuwa mwezi mmoja baada ya kuanza biashara hii niwe na uwezo wa kuingiza laki mbili kwa siku kama faida. Natarajia kuifungua mwezi ujao kama mambo yataenda vema. Mtaji wangu nafikiria niweke 1.5M.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viti na meza unavyo?
Majiko ya chakula na la chips unayo?
Vyombo (Masufuria, sahani, vikombe bakuli nk. unavyo)?
Mafriji unayo?
Kabati la chips na la vitafunwa unalo?
Uandae na pesa ya leseni na cheti cha tfda na kupima afya za wafanyakazi wote.
Kodi ya ofisi je.?
Ukifanya utafiti wa bei za hivyo vitu ndio utajua kuwa 1.5 inaweza isikutoshe. Ila kama unavyo tayar kila la heri mkuu!
Mungu ni mwaminifu atabariki kazi ya mikono yako.
 
Viti na meza unavyo?
Majiko ya chakula na la chips unayo?
Vyombo (Masufuria, sahani, vikombe bakuli nk. unavyo)?
Mafriji unayo?
Kabati la chips na la vitafunwa unalo?
Uandae na pesa ya leseni na cheti cha tfda na kupima afya za wafanyakazi wote.
Kodi ya ofisi je.?
Ukifanya utafiti wa bei za hivyo vitu ndio utajua kuwa 1.5 inaweza isikutoshe. Ila kama unavyo tayar kila la heri mkuu!
Mungu ni mwaminifu atabariki kazi ya mikono yako.
 
Viti na meza unavyo?
Majiko ya chakula na la chips unayo?
Vyombo (Masufuria, sahani, vikombe bakuli nk. unavyo)?
Mafriji unayo?
Kabati la chips na la vitafunwa unalo?
Uandae na pesa ya leseni na cheti cha tfda na kupima afya za wafanyakazi wote.
Kodi ya ofisi je.?
Ukifanya utafiti wa bei za hivyo vitu ndio utajua kuwa 1.5 inaweza isikutoshe. Ila kama unavyo tayar kila la heri mkuu!
Mungu ni mwaminifu atabariki kazi ya mikono yako.
Kama hvo vinakosekana hata viwil hiyo mil1.5 haitosh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Friji kubwa hapo linatakiwa la si chini ya lak7 au 8

Viti vya plastic labda vya kuanzia inabidi viwe 10 kila kiti ni ef15 jumla lak 1 na ef50

Inshort hiyo ela ni ndogo mnooo
Viti na meza unavyo?
Majiko ya chakula na la chips unayo?
Vyombo (Masufuria, sahani, vikombe bakuli nk. unavyo)?
Mafriji unayo?
Kabati la chips na la vitafunwa unalo?
Uandae na pesa ya leseni na cheti cha tfda na kupima afya za wafanyakazi wote.
Kodi ya ofisi je.?
Ukifanya utafiti wa bei za hivyo vitu ndio utajua kuwa 1.5 inaweza isikutoshe. Ila kama unavyo tayar kila la heri mkuu!
Mungu ni mwaminifu atabariki kazi ya mikono yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mabibi na mabwana habari za muda na wakati huu!

Nina mpango wa kuanzisha mgahawa wa hadhi ya kawaida maeneo ya stendi ya sabasaba jijini dodoma. Kwenye stendi ya daladala.

kichwani pangu nauona mgahawa upo namna hii:

Ni fremu tu ya kawaida tu nimeikodisha. kwa mbele kuna eneo la wazi nikaweka turubai za kisasa kwa juu na chini nikaweka kokoto ndogondogo kama zile za kwenye lami.

upande wa kushoto nimeweka sehemu ya chipsi ambapo zinaonekana vizuri kwenye kabati la kioo zikiwa zimeambatana na kuku, mishikaki na udambwiudambwi mwingine wote unaoujua kwa wauza chipsi. kwa wateja wanakula hapa hapa wanahudumiwa na kwa wale wa kubeba nafungasha kwenye take away.

upande wa kulia nimeweka sehemu ya matunda na juice sambamba na soda. juice za matunda yote zinapatikana hapa pamoja na matunda yote unayoyajua.
pia ile miwa ya kukata inapatikana. na maji ya aina zote yapo hata yale ya kandoro.

katikati nimeweka viti vingi pamoja na meza ambapo kuna vyakula kama wali ugali biriani n.k vinapatikana.

wahudumu ni watoto wa kike wote wazuri na wana shepu nzuri sana. hii ni kwa ajili ya wanaume wanaokuja kula chakula wanapata pia fursa ya kula kwa macho.

chakula cha hapa bei ni rahisi kidogo kulinganisha na bei za maeneo mengine ya jirani. Na ni chakula kizuri kweli kweli. mtu akila leo kesho lazima arudi.

hapa kuna wafanyabiashara wengi nakiwa nawapelekea oda za chakula. natafuta na vijana kadhaa wa kusambaza maji ya kandoro kwa wapanda daladala. maji nayaweka kwenye friji then nafunga kwenye vimfuko na kuuza 200/=.

wakuu naomba mchango wa mawazo yenu kama haya mawazo ni mazuri na yana tija.

1. kwa wazoefu na wasio wazoefu, mgahawa wa sampuli hii unaweza kugharimu starting capital kiasi gani?

2. Faida ya mgahawa inaweza kuwa kias.gani kwa mnaofanya mishe hii?

3. Ni mbinu gani naweza kutumia kuiboresha biashara hii?


Binafsi target yangu ni kuwa mwezi mmoja baada ya kuanza biashara hii niwe na uwezo wa kuingiza laki mbili kwa siku kama faida. Natarajia kuifungua mwezi ujao kama mambo yataenda vema. Mtaji wangu nafikiria niweke 1.5M.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kila la kheri, badae ukizipata ziishie kuhonga badala ya kuimarisha uchumi wa familia
 
Kama una nia ya kufanya sio lazima uanze na vitu vyote ulivyovitaja unaweza kuanza kidogo huku ukiendelea kuongeza kidogo kidogo mpaka pale utakapotimiza vyote. kuanza vyote inaweza kuwa gharama kubwa na inaweza kukatisha tamaa
 
mabibi na mabwana habari za muda na wakati huu!

Nina mpango wa kuanzisha mgahawa wa hadhi ya kawaida maeneo ya stendi ya sabasaba jijini dodoma. Kwenye stendi ya daladala.

kichwani pangu nauona mgahawa upo namna hii:

Ni fremu tu ya kawaida tu nimeikodisha. kwa mbele kuna eneo la wazi nikaweka turubai za kisasa kwa juu na chini nikaweka kokoto ndogondogo kama zile za kwenye lami.

upande wa kushoto nimeweka sehemu ya chipsi ambapo zinaonekana vizuri kwenye kabati la kioo zikiwa zimeambatana na kuku, mishikaki na udambwiudambwi mwingine wote unaoujua kwa wauza chipsi. kwa wateja wanakula hapa hapa wanahudumiwa na kwa wale wa kubeba nafungasha kwenye take away.

upande wa kulia nimeweka sehemu ya matunda na juice sambamba na soda. juice za matunda yote zinapatikana hapa pamoja na matunda yote unayoyajua.
pia ile miwa ya kukata inapatikana. na maji ya aina zote yapo hata yale ya kandoro.

katikati nimeweka viti vingi pamoja na meza ambapo kuna vyakula kama wali ugali biriani n.k vinapatikana.

wahudumu ni watoto wa kike wote wazuri na wana shepu nzuri sana. hii ni kwa ajili ya wanaume wanaokuja kula chakula wanapata pia fursa ya kula kwa macho.

chakula cha hapa bei ni rahisi kidogo kulinganisha na bei za maeneo mengine ya jirani. Na ni chakula kizuri kweli kweli. mtu akila leo kesho lazima arudi.

hapa kuna wafanyabiashara wengi nakiwa nawapelekea oda za chakula. natafuta na vijana kadhaa wa kusambaza maji ya kandoro kwa wapanda daladala. maji nayaweka kwenye friji then nafunga kwenye vimfuko na kuuza 200/=.

wakuu naomba mchango wa mawazo yenu kama haya mawazo ni mazuri na yana tija.

1. kwa wazoefu na wasio wazoefu, mgahawa wa sampuli hii unaweza kugharimu starting capital kiasi gani?

2. Faida ya mgahawa inaweza kuwa kias.gani kwa mnaofanya mishe hii?

3. Ni mbinu gani naweza kutumia kuiboresha biashara hii?


Binafsi target yangu ni kuwa mwezi mmoja baada ya kuanza biashara hii niwe na uwezo wa kuingiza laki mbili kwa siku kama faida. Natarajia kuifungua mwezi ujao kama mambo yataenda vema. Mtaji wangu nafikiria niweke 1.5M.



Sent using Jamii Forums mobile app
[/Sio biashara ya restaurant labda umelenga kuuza dawa za kulevya but ukakosea kidogo tu na kuiita restaurant 1.5 M then 200k as net profit per day= not less than 5M per month and people are here chilling and torelating to this?
 
Back
Top Bottom