kwanza ulio kabla maisha hujayapawa then ndo
< ukaenda kutafuta maisha..
after 6months mke akakufata, it's means ulikuwa bado hujawaza kwenda kumchukua.
< Mkashauriana mrudi mkachukue watoto.. ndo mamamkwe akakataa, coz' aliona bado hujajipanga vizuri, hapo yuko sahihi.
muda ukapita miaka 4 baada maisha mkayapata ukaenda kusalimia na siyo kuchukua watoto,. wazo likaja mkiwa huko ati muondoke na watoto ma mkwe akakataa.. yuko sahihi kwa kuwa mlienda kusalimia na si kuchukua watoto.
USHAURI WANGU
_Rudini town mtapanga wakat mwingne mkachukue watoto..
* kama mama mkwe anatishia kukuloga, kukuua, na mengne mabaya..
-ulioa kwa kumtorosha mwanae,
-uliharibu future ya binti yake
-hukuwa na mpango na mwanae ndo maana hata alikufata town kwa lazima
-una makosa hujayatubia kwa huyu ma mkwe,
-anaona utaiteketeza familia yake
-unaishi na mwanae bila ridhaa yake.
*tafuta wazee mkae kikao na ndgu wote ukabidhiwe mke na watoto kihalali.
Miaka 15 si haba katika ndoa, ugomvi huo msingi wake ni kwamba mama mkwe anataka kukugeuza mtaji wa mafanikio yake yeye binafsi. Ndiyo maana karopoka kwamba hujafanikiwa. Busara kubwa akuache wewe na familia yako na maisha ujaliwayo ni yako wewe na familia yako na wala yeye hahusiki kabisa.
Ndio maana mnaambiwa kabla hujaaishi na mtu, jaribu kujua historia kwao, kuna familia nyingine vimeo loh!!!!!
nikweli mkuu sasa nifanyeje maana natumia muda mwingi kumpigia simu kubembeleza asijidhuru
huyo mkuu kuna matatu,, atakuwa ni mchawi, mgonjwa au uzee unamsumbua..
kosa kubwa ulilolifanya mkuu ni kuacha hao watoto wakae kwake muda mrefu hivyo bila kujua nini kinachoendelea juu yao...
fanya uchunguzi kwanza ujue wanao waliishi vipi hapo wakati haupo.
pole kaka angu hya ni maisha tu chamsingi chukua watoto wako kwa sababu ile ni damu yako na kama mke anakupenda chapeni lapa,kama anataka wakwe matajiri akae namwanae
mkuu mpigie kula lowassa hapo oct 25 ili tuondoe huu umasikini hopefully mama mkwe ataacha kukuchukia
Umwache mke kwa kosa gani,yy ndiye aliyekutukana na kusema hakupendi?acha mawazo hayo.
Huyo mama kabila gani? Ila nahisi atakuwa na tatizo la akili.