Huyo mama kabila gani? Ila nahisi atakuwa na tatizo la akili.
Aawqq q qqqqqq the first time in the world of a q ataqaq the qaqa 1
Huyo mama kabila gani? Ila nahisi atakuwa na tatizo la akili.
watoto wanahitaji malezi ya wazazi na sio ya bibi hapo wewe chukua wanao af mengine yatafuata....kuhusu vitisho hivyo neno 'USIOGOPE' limeandikwa mara 365 katika biblia means kila iitwapo leo hutakiwi kuogopa
Duh
Pole
Muoe yeye
Umaskini huu utatupeleka pabaya sana. Mungu akusaidie sana ndg yangu maana hakuna jinsi tena, amini kwamba hawezi kukufanya kitu chochote
Pole kaka....haya ni mapito tu ya dunia ipo siku mungu atakunyoshea neema.
ndugu matishio ya vitisho vya uhai kwanza vinaripotiwa polisi.
sema huyo bi msdashi nahisi ni mwanga. au huenda tatizo lipo kwako pia
ndugu matishio ya vitisho vya uhai kwanza vinaripotiwa polisi.
sema huyo bi msdashi nahisi ni mwanga. au huenda tatizo lipo kwako pia
hapana mkuu sina tatizo lolote isipokuwa siwezi kuombwa laki 2 nimpe wakati mimi nina mjukumu
Usiwachukue hao watoto bila kuhusisha wazee kadhaa na mamlaka na ikiwezekana,kati ya hao wazee, wawepo ndugu zake maana anaweza hata kuwafanyia kitu wadhurike watu waseme ni wewe.
mkuu nataka niende polisi kwenye dawati la jinsia labda nitapata msaada maana mambo yanazidi kuwa mazito
mkuu mimi mwanachama wa chadema tangu mwaka 1994
Pole mr, ni changamoto tuu kwenye maisha ambazo hazikosekaniki kwa mwanadamu ila kila mtu na changamoto yake, kubwa hapo tulieni kwanza, tafuteni suluhu kwa viongozi dini au wa serikali, yapo mabaraza ya kata ya usuluhishi sidhani kama mtashindwa kuafikiana, zingatia sana neno linaumba,kutaka kujiua kwa mkeo si neno jema,ni vema aombe toba pamoja nawe na alifute kabla halijatimia. Mungu awatieni nguvu mkayamalize haya mkibakiwa na amani na furaha ya moyo.
Miaka minne hujauliza chochote kuhusu wanao r u serious?