Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 9,279
- 13,707
Wadogo zangu ambao bado hamjamaliza Please msicheze vyuoni mpate ufaulu ambao ni mzuri yaani GPA kuanzia 3.5 inakua nzuri kwako hata kama utaajiriwa na mtu au taasis ambayo haitaki GPA kubwa.
Kwa Tanzania na Population yake wasomi wamekua wengi na ili kupunguza michujo mingine ndo inafanywa kwa GPA so ukiwa nayo nzuri itakusadia. Mfano mzuri ni BOT wametangaza kazi 83 mostly wanataka watu wenye Upper second kwa hiyo GPA ina umuhimu pia bank kama CRDB nao wana ajiri kwa kuzingatia sana GPA.
Najua wapo wanaosema GPA si chochote lakini niamini mimi inachukua miaka 3,4 hadi 5 kutengeneza GPA it depends na unachosomea lakini skills are easly learned tena nyinyi wa sasa mna bahati kwa sababu mna learning material sehemu mbalimbali kama Udemy unaweza kusomea skill yoyote kwa muda mfupi lakini baada ya kumaliza Chuo its hard wewe kurekebisha GPA yako kwa sababu pia ni costfull hivyo kama hujamaliza pambana sana uwe na ufaulu mzuri.
Kwa Population ya sasa hakuna Taasis Makini eti ikaacha mtu aliyepata GPA ya 4.0 akakuchukua wewe mjinga mwenye Pass au GPA ya 2.0 hakuna kwa sababu kwa maoni yangu naona uzingatiaji wa masomo una uhusiano moja kwa moja katika kukamilisha kazi za watu utazokua unapewa na waajiri wako Low GPA inaonesha Uzembe/Uvivu au kutozingatia maelekezo ya Wahadhiri.
Kingine mjiamini unaweza kupata kazi taasis yoyote bila kusaidiwa na mtu yoyote jiandae vizuri kwa kila usaili hakika Utafanikiwa.
NB: Andiko hili linawahusu wadogo zangu ambao bado hamjamaliza vyuo na mnatarajia kuingia katika soko ya ajira GPA nzuri/Kubwa inahusika Kwa wale makonkodi ambao mmeshaharibu sina remedy yoyote mnaweza kupita kushoto.
Kwa Tanzania na Population yake wasomi wamekua wengi na ili kupunguza michujo mingine ndo inafanywa kwa GPA so ukiwa nayo nzuri itakusadia. Mfano mzuri ni BOT wametangaza kazi 83 mostly wanataka watu wenye Upper second kwa hiyo GPA ina umuhimu pia bank kama CRDB nao wana ajiri kwa kuzingatia sana GPA.
Najua wapo wanaosema GPA si chochote lakini niamini mimi inachukua miaka 3,4 hadi 5 kutengeneza GPA it depends na unachosomea lakini skills are easly learned tena nyinyi wa sasa mna bahati kwa sababu mna learning material sehemu mbalimbali kama Udemy unaweza kusomea skill yoyote kwa muda mfupi lakini baada ya kumaliza Chuo its hard wewe kurekebisha GPA yako kwa sababu pia ni costfull hivyo kama hujamaliza pambana sana uwe na ufaulu mzuri.
Kwa Population ya sasa hakuna Taasis Makini eti ikaacha mtu aliyepata GPA ya 4.0 akakuchukua wewe mjinga mwenye Pass au GPA ya 2.0 hakuna kwa sababu kwa maoni yangu naona uzingatiaji wa masomo una uhusiano moja kwa moja katika kukamilisha kazi za watu utazokua unapewa na waajiri wako Low GPA inaonesha Uzembe/Uvivu au kutozingatia maelekezo ya Wahadhiri.
Kingine mjiamini unaweza kupata kazi taasis yoyote bila kusaidiwa na mtu yoyote jiandae vizuri kwa kila usaili hakika Utafanikiwa.
NB: Andiko hili linawahusu wadogo zangu ambao bado hamjamaliza vyuo na mnatarajia kuingia katika soko ya ajira GPA nzuri/Kubwa inahusika Kwa wale makonkodi ambao mmeshaharibu sina remedy yoyote mnaweza kupita kushoto.