100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 3,626
- 12,053
Wadogo zangu muziki ni sanaa, ni kama filamu, unapoingia kwenda kutazama filamu cinema au nyumbani unapomaliza unaiacha palepale. Kwenye filamu si kweli kuna uhalisia kwamba spiderman yupo au wale characters kwenye avengers wapo, hakuna uhalisia ile tunatazama kuburudika tu.
Hivyo hivyo jumbe zilizomo kwenye baadhi ya nyimbo si za kuchukua na kuzifanyia kazi, kundi hili la vijana kuanzia late 90's hadi mwanzoni mwa 2000 ndio wahanga wakubwa kwa sasa wa maudhui yanayokuwepo kwenye social medias na nyimbo.
Nimesoma habari kijana kajiua, kisa stress za mahusiano akaenda kusikiliza nyimbo ya dear x mara 60, baada ya hapo kaenda kujiua.
Sasa hivi kuna hizi nyimbo za amapiano mtu anaimba na kusifu pombe na malaya kwamba anakunywa hadi asubuhi, nyimbo za kusifu ngono, matusi na kila aina ya false message. Nipende kusema hakuna uhalisia, tena hawa wasanii wengine hata hizo pombe hawanywi.
Mwisho: Maisha ya hawa social media influencers, wakiwemo wasanii na wengine maarufu, jina lingine ni internet personality, personality na life style yake kwenye internet/medias sio kweli katika uhalisia, wengi wana fake, na ile ni ajira yake.
Hivyo hivyo jumbe zilizomo kwenye baadhi ya nyimbo si za kuchukua na kuzifanyia kazi, kundi hili la vijana kuanzia late 90's hadi mwanzoni mwa 2000 ndio wahanga wakubwa kwa sasa wa maudhui yanayokuwepo kwenye social medias na nyimbo.
Nimesoma habari kijana kajiua, kisa stress za mahusiano akaenda kusikiliza nyimbo ya dear x mara 60, baada ya hapo kaenda kujiua.
Sasa hivi kuna hizi nyimbo za amapiano mtu anaimba na kusifu pombe na malaya kwamba anakunywa hadi asubuhi, nyimbo za kusifu ngono, matusi na kila aina ya false message. Nipende kusema hakuna uhalisia, tena hawa wasanii wengine hata hizo pombe hawanywi.
Mwisho: Maisha ya hawa social media influencers, wakiwemo wasanii na wengine maarufu, jina lingine ni internet personality, personality na life style yake kwenye internet/medias sio kweli katika uhalisia, wengi wana fake, na ile ni ajira yake.