Ushauri kwa waislamu Tanzania, hasa walio mtandaoni

Ushauri kwa waislamu Tanzania, hasa walio mtandaoni

Uislam ni dini inayochochea na kuhamasisha vurugu,uasi na mapambano.
Huwa wako tayari kuua na kuharibu kumtetea wanayemuita mungu.
Ni mungu wa aina gani asiyeweza kujitetea mwenyewe
anayeruhusu umwagikaji damu kisa kakejeliwa au la?
Sifa ya kwanza ya muislam ni Kuongozwa na kutawaliwa na hisia.
Tusubiri katika hili tutashuhudia mengi.
 
Kwa nini Katiba ya Tanzania Itambue Mahakama ya Kadhi?
Katika hali ya mkanganyiko, taifa kugawanyika kutokana na jamii ya Wakristo Tanzania kuhamasishana na kutumia majukwaa yao na wabunge wao kuleta upinzani wa hali ya juu kupinga kurejeshwa na kutambuliwa Mahakama ya kadhi katika sheria na katiba ya Tanzania , bado kuna mambo na wajibu muhimu katika kujenga Tanzania yenye amani, upendo na umoja kuliko njia inayotumika ya ushabiki na ukinzani uso na maana katika kutatua tatizo hili….

Kuwakatalia jamii ya waislam ambayo ina historia kubwa na ilotukuka katika kudai uhuru na kujenga umoja wa nchi hii jamii ambayo ina mchango mkubwa katika jamii na kiuchumi , jamii ambayo imeishi na kukaa na ndugu zao kama Watanzania, jamii ambayo imewakaribisha wengi wasiokuwa waislam katika maeneo yao hakika kuwakatalia jamii hii utambulisho wao wa mila na desturi zao ambazo ni sehemu ya maisha yao , desturi na mila ambazo hazimdhuru kwa njia yoyote asiekuwa Muislam hakika ndugu zetu wakristo huko sio kushinda na sio njia muwafaka kutatua kadhia hii…..huku ni kukaribisha mpasuko ,kutokuaminiana na kugawanyika kwa taifa na utaifa.

Kuna njia muafaka zaidi ya kujenga Tanzania yenye umoja na mshikamano kuliko njia mulo itumia kuwahamasisha wafuasi wenu ikiwamo wabunge kukataa na katika kutatua hitajio hili la jamii ya Waislam kuwa na mahakama ya kadhi.Uwamuzi wenu huu hakika umelifanya taifa kuwa vipande viwili.ilitakiwa busara na uoni na Kuepuka mihemko, hisia, jeuri na udogma katika kufikia muafaka wa suala hili
Njia nzuri ni kutambua kuwa kama Taifa tunajivunia mchanganyiko wa taifa lanye makabila , dini , utamaduni na asili mbali mbali na lazima tuendelee kujenga Taifa hili tukizingatia mchanganyiko huo.Katika mchanganyiko huu ni muhimu kuwa na uwiano kati ya utaifa na utambulisho wake na pia values za kijamii na utambilisho wake . Kuikatalia jamii moja utambulisho wake katika jambo muhimu katika kuwapo kwao as expressed in its most cherished values hakika ni njia ya kuelekea kubaya.


WHY THE OPPOSITION TO KADHI COURTS?

Is the real opposition to the principle of Kadhi's courts , or merely their constitutional recognition? The former is unjustified since Tanzania law recognises different cultures and values, including several regimes of family law. Nor can we say that Muslim values are so antagonistic to national values that they should be curbed, as one might say in Europe (even there, there is no outright rejection of Muslim law – Germany applies it, and the head of the Anglican Church has strongly advocated sharia courts for Britain). And we should remember that the general law and courts in Tanzania, transplanted from England, are based on Christian values and practices.


SECULARISM VERSUS RELIGIOUS LAWS

Another argument against Kadhi's courts is that religious laws have no place in a secular state. Secularism does not exclude religious laws in personal domains. Secular India has not abolished religious personal laws. Secularism there means that the state would not favour one religion over another, and for the most part the public space would not be dominated by religious beliefs or dogma (e.g. qualifications for public office would not be based on religion, nor would the beliefs or practices of one faith be imposed on others). The application of Muslim law in only personal matters by Kadhi's courts is fully compatible with these principles.

Nor does the recognition of Muslim law violate the principle of equal treatment of religions. Since religions have different conceptions of marriage and family, the most sensible thing is not to force the state in choosing between different religious traditions, but to respect them all. Tanzania laws do precisely that.

It is ironic that those Christians who oppose the inclusion of Kadhi's courts have successfully opposed gay marriages and reproductive health on religious grounds. Many Christians groups have cited authority from the Bible for these and other proposals, which people of other or no religion find unattractive, even offensive, and which cause humiliation and suffering to thousands.

NATIONAL INTEGRATION VERSUS DIVERSITY

Some argue that the recognition of diversity prevents national integration. In the Indian Constituent Assembly, some Hindu fundamentalists said that Indian unity would be under threat unless Muslim personal law was integrated with other systems. The assembly rejected forced assimilation of this type. Since then successive governments have said that an integrated law will not be imposed on Muslims against their will. On the whole this position has reinforced rather than threatened unity.

Unity comes from each community feeling that it is free to pursue its values and diversity (within overarching common values). Forced assimilation is the sure way to conflict. Non-Christians in Tanzania have tolerated many aspects of the de facto ‘Christianisation’ of the state. Recognition of Muslim law is less, certainly no more, threatening to national unity than these practices. No non-Muslim suffers any harm due to the existence of Kadhi's courts, but they mean much to Muslims. Surely here we have a clue to solving the Kadhi's court issue.

The jurisdiction of the Kadhis courts, then as now, is to adjudicate on matters relating to personal law (marriage, divorce and inheritance) where both parties are Muslims. Throughout the centuries that they have been in existence, the Kadhis courts have provided an efficient and cost-effective resolution of the disputes before them.
The Kadhis courts are not mosques, they are courts of law set up to deal with specific types of disputes. The office of a Kadhi is not a religious office, it is a legal office whose holder is versed in Muslim personal law. They provide a specialised forum for dealing with personal law disputes where both parties are Muslims. Any religious role, which a Kadhi may play, is outside his official duties.
 

Mchunguzi,

Hayo unayoandika hayana ukweli wowote.

Kiwanja cha Msikiti wa Kichangani kilikuwa cha Waislam kwa miaka mingi
na pamejengwa sasa msikiti mkubwa na kuna shule.

Hayo ya Mwembechai na vituo vya petroli sina haja ya kuvizungumza.
Umenifurahisha sana na hicho kibri chako katika kuandika.

Ipo sababu inayokufanya wewe uwe hivyo kama ilivyo sababu ya mimi
kuandika hapa JF kama ninavyoandika siku zote na miaka yote.

Jitulize na ufikiri.

Naomba niseme kwa mtindo huu wa fikra, huwajengi kwa lolote hao waislamu. Nimesema wewe kama muislamu hangaika na taasisi za kiislamu. Huna haja ya kuhangaika na wakristu. Hakuna ushahidi wa hayo uandikayo. Naamini unaungwa mkono na washabiki lakini hiyo siyo sababu ya kwamba ni mambo ya kweli.

Tumeshajadili mengi sana ktk fora mbalimbali na hasa kuhusu elimu. Nani asiyejua kwamba Tulitawaliwa na Wajerumani na baadaye Waingereza. Ukanda wa pwani uliimarisha ustaarabu wao chini ya waarabu. Takribani shule zote zilijengwa na wamisionari wa kikristu na hasa katoliki na lutheran na baadaye anglikani kidogo. baada ya hapo kila dhehebu la kikristo linaloingia hapa, mbali na makanisha pia wanajenga mashule na hospitali.

Ujenzi huu hawapewi pesa na serikali, lakini serikali inaomba kujiingiza huko ili kuziba pengo walilonalo. Sas ninyi munakuja na kusema serikali inawapa bilioni 91. Hii ni akili gani?

Ni wapi waislamu wamejenga shule au hospitali wakakataliwa? Ukiulizwa hivyo unaanza historia ya enzi ya wajerumani sijui walizuia taasisi gani ya East Africa. Huu ni mwaka 2015, tuandikie ni wapi Dar, Mwanza, Arusha au mji wowote ambao mumekuja na mikakati ya maendeleo yenu mukazuiwa. Miaka hii ya 2000 chini ya Rais muislamu taasisi binafsi zimejenga mashule kibao pamoja na vyuo vikuu. Waislamu mchango wenu munaridhika nao? Kwa bara chuo kikuu kimoja, tena kwa kupewa majengo, bado imekuwa ni tatizo. Chuo kimefanywa ni seminari ya waislamu na hakuna Mkristu anayesoma hapo!

BAKWATA ikivuruga ina maana eti inalindwa na serikali. OK, fine! Sasa tena wakristu wanaingiaje wakati mkuu wa serikali miaka 10 iliyopita ni muislamu? Mimi ni mkristu na kuna mengi ambayo siyapendi, lakini siwezi sema ni waislamu hao! Hata huko BAKWATA yapo nisiyoyapenda, lakini nadhani ninyi waislamu mutayatatua. Siwezi kuwanyang'anya Kinondoni sekondari, siyo yangu.

Tatizo lako kila unapoona jina la muislamu ktk historia ya nchi hii ambaye haonekani sasa hivi unadhani alizimwa na wakristu, wapi hao. Mbona humtaji marehemu Kawawa? Mbona kule Z'bar hatuwataji wakristu waliochangia kumuangusha mwarabu ambao hawasikiki sasa hivi, kwamba waligandamizwa? HIstoria ikigeuzwa, inyooshwe safi kabisa maana kuna watu hapa nchini hawataki kusikia ubaya wa wale wanaoitwa ni wazazi wa Taifa, lakini ubovu wa taasisi za kiislamu hautokani na makusudi ya wakristu wa leo hii.

Jitahidi kuamini dini lakini ubaki na akili yako ya kibinadamu. Kama kuna mkristu alikosea tuseme alikuwa hovyo yeye na siyo ukristu. Hapa JF niliwahi kusoma maonevu ya marehemu Karume kwa wa Zenj, bila kujali ukweli wake mbona hatusemi ni waislamu? Suppose mwanzilishi wa TANU ni muislamu, je unategemea hadi leo waislamu wafaidi sana kwa kuwa aliyeanzisha ni musialamu? Tatizo lako hilo!
 
Kwa nini Katiba ya Tanzania Itambue Mahakama ya Kadhi?
Katika hali ya mkanganyiko, taifa kugawanyika kutokana na jamii ya Wakristo Tanzania kuhamasishana na kutumia majukwaa yao na wabunge wao kuleta upinzani wa hali ya juu kupinga kurejeshwa na kutambuliwa Mahakama ya kadhi katika sheria na katiba ya Tanzania , bado kuna mambo na wajibu muhimu katika kujenga Tanzania yenye amani, upendo na umoja kuliko njia inayotumika ya ushabiki na ukinzani uso na maana katika kutatua tatizo hili….

Kuwakatalia jamii ya waislam ambayo ina historia kubwa na ilotukuka katika kudai uhuru na kujenga umoja wa nchi hii jamii ambayo ina mchango mkubwa katika jamii na kiuchumi , jamii ambayo imeishi na kukaa na ndugu zao kama Watanzania, jamii ambayo imewakaribisha wengi wasiokuwa waislam katika maeneo yao hakika kuwakatalia jamii hii utambulisho wao wa mila na desturi zao ambazo ni sehemu ya maisha yao , desturi na mila ambazo hazimdhuru kwa njia yoyote asiekuwa Muislam hakika ndugu zetu wakristo huko sio kushinda na sio njia muwafaka kutatua kadhia hii…..huku ni kukaribisha mpasuko ,kutokuaminiana na kugawanyika kwa taifa na utaifa.

Kuna njia muafaka zaidi ya kujenga Tanzania yenye umoja na mshikamano kuliko njia mulo itumia kuwahamasisha wafuasi wenu ikiwamo wabunge kukataa na katika kutatua hitajio hili la jamii ya Waislam kuwa na mahakama ya kadhi.Uwamuzi wenu huu hakika umelifanya taifa kuwa vipande viwili.ilitakiwa busara na uoni na Kuepuka mihemko, hisia, jeuri na udogma katika kufikia muafaka wa suala hili
Njia nzuri ni kutambua kuwa kama Taifa tunajivunia mchanganyiko wa taifa lanye makabila , dini , utamaduni na asili mbali mbali na lazima tuendelee kujenga Taifa hili tukizingatia mchanganyiko huo.Katika mchanganyiko huu ni muhimu kuwa na uwiano kati ya utaifa na utambulisho wake na pia values za kijamii na utambilisho wake . Kuikatalia jamii moja utambulisho wake katika jambo muhimu katika kuwapo kwao as expressed in its most cherished values hakika ni njia ya kuelekea kubaya.


WHY THE OPPOSITION TO KADHI COURTS?

Is the real opposition to the principle of Kadhi's courts , or merely their constitutional recognition? The former is unjustified since Tanzania law recognises different cultures and values, including several regimes of family law. Nor can we say that Muslim values are so antagonistic to national values that they should be curbed, as one might say in Europe (even there, there is no outright rejection of Muslim law – Germany applies it, and the head of the Anglican Church has strongly advocated sharia courts for Britain). And we should remember that the general law and courts in Tanzania, transplanted from England, are based on Christian values and practices.


SECULARISM VERSUS RELIGIOUS LAWS

Another argument against Kadhi's courts is that religious laws have no place in a secular state. Secularism does not exclude religious laws in personal domains. Secular India has not abolished religious personal laws. Secularism there means that the state would not favour one religion over another, and for the most part the public space would not be dominated by religious beliefs or dogma (e.g. qualifications for public office would not be based on religion, nor would the beliefs or practices of one faith be imposed on others). The application of Muslim law in only personal matters by Kadhi's courts is fully compatible with these principles.

Nor does the recognition of Muslim law violate the principle of equal treatment of religions. Since religions have different conceptions of marriage and family, the most sensible thing is not to force the state in choosing between different religious traditions, but to respect them all. Tanzania laws do precisely that.

It is ironic that those Christians who oppose the inclusion of Kadhi's courts have successfully opposed gay marriages and reproductive health on religious grounds. Many Christians groups have cited authority from the Bible for these and other proposals, which people of other or no religion find unattractive, even offensive, and which cause humiliation and suffering to thousands.

NATIONAL INTEGRATION VERSUS DIVERSITY

Some argue that the recognition of diversity prevents national integration. In the Indian Constituent Assembly, some Hindu fundamentalists said that Indian unity would be under threat unless Muslim personal law was integrated with other systems. The assembly rejected forced assimilation of this type. Since then successive governments have said that an integrated law will not be imposed on Muslims against their will. On the whole this position has reinforced rather than threatened unity.

Unity comes from each community feeling that it is free to pursue its values and diversity (within overarching common values). Forced assimilation is the sure way to conflict. Non-Christians in Tanzania have tolerated many aspects of the de facto ‘Christianisation' of the state. Recognition of Muslim law is less, certainly no more, threatening to national unity than these practices. No non-Muslim suffers any harm due to the existence of Kadhi's courts, but they mean much to Muslims. Surely here we have a clue to solving the Kadhi's court issue.

The jurisdiction of the Kadhis courts, then as now, is to adjudicate on matters relating to personal law (marriage, divorce and inheritance) where both parties are Muslims. Throughout the centuries that they have been in existence, the Kadhis courts have provided an efficient and cost-effective resolution of the disputes before them.
The Kadhis courts are not mosques, they are courts of law set up to deal with specific types of disputes. The office of a Kadhi is not a religious office, it is a legal office whose holder is versed in Muslim personal law. They provide a specialised forum for dealing with personal law disputes where both parties are Muslims. Any religious role, which a Kadhi may play, is outside his official duties.


Huu ni uchafu tu!
Kenya wamefanya hayo na badala yake uadui umeongezeka na hadi leo hii Masheikh wa Mombasa ni kifo kila siku. Muhimu ni kujielewa badala ya kuwinda mambo ya ndoa na mirathi.

Soma source hii: Kadhi courts illegal, judges rule - News - nation.co.ke
 
Hapa tunapeana dondoo na arguments ambazo zinatusaidia kuelewa mambo. Huwezi kumueleza mtu kwa kumtuma akasome kitabu chako ambacho ukweli wake unaweza pia ni kujadiliwa hapa.

Kuna watu mumeamua kukataa kila kitu na kutaka kila kitu chenu kikubalike. that will amount to nonsense!

Wapi ktk nchi hii wakristu wanapewa bilioni 91? Sema sababu ili tueleweshane badala ya kumtuma mtu aende kwenye kitabu. Au nawe unahesabu zinazokwenda hospitali na mashule yaliyojengwa na wakristu, ambako hata waislamu wanapata tiba na watoto kusoma? Kama ni hizo nitakuwa nimeelewa uelewa wako na naweza nisihitaji hata 'kitabu' chako.

Mchunguzi,
Faida ya kusoma ni kama ilivyo hapo chini.

Haya nilyaweka zamani kidogo kumuelimisha ndugu yangu mmoja aliyekuwa
mbishi na hapendi kusoma:

KUTOKA JF: HISTORIA YA TANU - DK. VEDASTO KYARUZI, KASELLA BANTU NA JULIUS NYERERE



Written By Mohamed Said on Sunday, June 8, 2014 | 9:09 AM





1.
clip_image002.gif


Mohamed Said
Today 06:30
#1406

JF Senior Expert Member
clip_image007.gif
Array

Join Date : 2nd November 2008
Posts : 5,679
Rep Power : 66189

Likes Received

4252

Likes Given

234

clip_image009.gif
Re: Tanganyika(TANU) imetoka mbali waasisi wake wengi wao wametangulia mbele ya haki

clip_image011.gif
By Mohamed Said
Pondamali,
Hilo usemalo wala halina wasiwasi umesema kweli.

Abdul Sykes alikuwa katibu na kaimu rais wa TAA toka Dk. Kyaruzi alipopewa
uhamisho.

Wala sina haja ya kuweka sawa ninayoandika hilo mie nikilijua siku zote.
Kwani pamezuka nini?

Vipi kuhusu habari za Mzee Kasella Bantu.

Ungependa nikuwekee hapa habari zake zaidi au umetosheka basi na zile za
mwanzo?


Pondamali,
Historia Abdul Sykes inakuhangaisha wewe kama ilivyowahangaisha
wengi kabla yako.

Kwa mara ya kwanza nilipoandika habari zake katika gazeti la Africa
Events lililokuwa linachapwa London, toleo zima lilikusanywa likapigwa
moto.

Jiulize amri ya kuyakusanya magazeti yale ilitoka wapi na nini sababu
yake?

Huenda usiamini lakini ndivyo ilivyokuwa.
Kwa yale machache ambayo yaliwafikia watu habari ile ilikuwa gumzo
kubwa.

Watu wengi walivurugikiwa akili kama wewe hii leo akili yako
inavyovurugika.

Unajiuliza,''Hii kweli au ni uongo na porojo za Mohamed Said?''

Watu wengi hapa jamvini husema naandika porojo.
Wengi walikuwa hawajamsikia Abdul Sykes kuwa ndiye aliyeunda
TANU.

Sasa gazeti lile lilikuwa na makala,‘'In Praise of Ancestors’' Africa
Events,
London, March/April 1988, (uk. 37-41) nilitaja mchango wa
Waislam na nikamtaja Abdul Sykes.

Kwa wengi historia hii ilikuwa ngeni kabisa.

Pondamali sasa nakurudisha kwa Dk. Kyaruzi na dhana kuwa yeye
ndiye aliyemwachia chama Nyerere.

Nakuambia kwa kinywa kipana kabisa.
Huo ni uongo.

Haya ninayoweka hapo chini nimetoa katika kitabu changu kuhusu:
''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold
Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika,'' Minerva Press, London 1998.​

[TABLE="width: 615"]
[TR]
[TD]
''In June, TAA headquarters announced its executive committee
with J.K. Nyerere, President; Abdulwahid Sykes, Vice-President;
J.P. Kasella Bantu, General Secretary;
Alexander M. Tobias and
Waziri Dossa Aziz, Joint Minuting Secretary; John Rupia, Treasurer
and Ally K. Sykes as Assistant Treasurer. Committee members were
Dr Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said, Denis Phombeah, Z.
James, Dome Okochi, C. Ongalo and Patrick Aoko.[1] The composition
of the TAA leadership showed East African solidarity that existed
during the struggle for independence. Kenyan patriots were elected
as office bearers side by side with Tanganyikans. It is said that it
was about that time, in the last months of 1953, that Abdulwahid
talked to Nyerere seriously about forming an open political party to
replace TAA.''​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




[1]Tanganyika Standard, 19 th June 1953.

Pondamali,

Nimekuwekea hapa juu uongozi wa TAA wa 1953 na gazeti ambalo
lilitaarifu habari hiyo.

Umeomuona Mzee Kasella Bantu katika mabadiliko hayo ya kihistoria?

Uongozi huu mpya ulitokea baasa ya uchaguzi wa tarehe 17 Aprili
katika Ukumbi wa Arnautoglo ambako Nyerere alichaguliwa kuwa rais
wa TAA na Abdul Sykes makamu wake.

Katika hali kama hii vipi Dr. Kyaruzi iwe kamuachia chama Nyerere?

Achilia mbali kuwa yeye alipata uhamisho kwenda Kingolwira na kisha
Nzega mwaka 1951.

Mimi nawapeni sana pole kwa kuwa kwa kweli mnaziviza akili zenu
pasi na sababu ya maana.

Hakuna mwanahistoria ambae ataweza kuandika historia ya TANU
au ya Nyerere bila ya kwenda kwenye Nyaraka za Sykes.

Hii ni hazina ya kipekee kabisa.
Ukiwa hujaridhika rejea tena na maswali mengine.

Insha Allah utanikuta mie bado nabariz hapa jamvini nakusubiri.

Tuagane kwa swali hili langu moja.

Pondamali,
Mzee Kasella Bantu hakupata kukuhadithia ile ''drama,'' siku ile
ya uchaguzi kati ya mwalimu wa shule Nyerere ambae hakuna
aliyekuwa anamfahamu na Abdul Sykes kijana maarufu wa mjini?

Mimi ''movie'' nzima ninayo kanihadithia Dossa Aziz nyumbani kwake
Mlandizi.

Mzee Kasella Bantu hakupata kukuhadithia kwa nini yeye na
Nyerere walikuwa maadui wakubwa kufikia Kasella Bantu kutoroka
nchi kwenda Ujerumani hali kapitishwa uwanja wa ndege kavaa
mavazi ya kipadri?

[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
image+%25281%2529.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Joseph Kasella Bantu[/TD]
[/TR]
[/TABLE]






Last edited by Mohamed Said; Today at 12:15.
 
Mkuu Dopas unafanyakazi mpiga kinanda mzuri;lakini wasitende kazi shauri lako sawa na kumpigia mbuzi gitaa .......... !
 
Last edited by a moderator:
Na mimi kama Muislam nakushauri huu ushauri wako upeleke Kanisani.

Kawaambie hivi toka toka uhuru mpaka sasa wasomi wa Kikirsto wamejazana serikali kila idara wamelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye nchi masikini duniani, unajua kuwa Tanzani ipo kwenye nchi 20 masikini wa kutupwa duniani huko serikalini kazi yenu kufanya ufisadi tu.

Halafu nyie Wakirsto ndiyo mnabebwa unajua kama kila mwaka Kanisa linapewa bilioni 61.9.

Ahsante.

Naamini hata waislamu wengi humu wameshawahi kwenda katika vituo vya afya vya wakristo na mashule ya kikristo lakini ni wakristo wachache walio hudhuria shule na vituo vya afya vya kiislam
waone aibu enough is enough tafuteni vitu vyenye umuhimu sio kujadili maakama itakayo muhudumia muislam tu.
 
Huu ni uchafu tu!
Kenya wamefanya hayo na badala yake uadui umeongezeka na hadi leo hii Masheikh wa Mombasa ni kifo kila siku. Muhimu ni kujielewa badala ya kuwinda mambo ya ndoa na mirathi.

Soma source hii: Kadhi courts illegal, judges rule - News - nation.co.ke

aidha unajidanganya au unadanganywa au IQ yako ni dhaifu.
kwani matatizo ya fujo ya Kenya yana husiana nini na Mahakama ya Kadhi?
masuala ya kuuwana kenya yanatokana na ugaidi ulipizaji kisasi na uingiliaji kijeshi somali. haina uhusiano na mahakama ya kadhi.
ukweli mahakama hio ina fanya kazi zake na hakuna mgongano wowote baina ya wakenya.

kulikua na wapinzani wa suala hilo wakakimbila mahakamani lakini mwana sheria mkuu wa kenya wa akakata rufaa na wakenya walishinda na mahakama ya kadhi inaendelea.

kuuwawa kwa masheikh ni jambo la kusikitisha na si la kufurahia
 
mtoa mada aidha unaelewa au unafanya kusudi nani asiejua kuwa maendeleo ya wakristo na pesa za kodi za wananchi wanachotewa na serikali memorundum of understend alosaini lowasa kila mwaka wa fedha kuna fungu linaenda kanisani
 
mtoa mada aidha unaelewa au unafanya kusudi nani asiejua kuwa maendeleo ya wakristo na pesa za kodi za wananchi wanachotewa na serikali memorundum of understend alosaini lowasa kila mwaka wa fedha kuna fungu linaenda kanisani

Acha kujitoa ufahamu! Pitia posts zote kuanzia post #1 hadi 18, suala la MoU limeelezewa vizuri mno na MchunguZI pamoja na wengine wengi. Anzisheni Hospitali zetu muone kama mtanyimwa kuingia mkataba na Mou.
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo maana nakuambia unapenda kuikota maneno mitaani tufahimishe Idrissa anamiliki benki gani na hana hisa ngapi.

Unajua wakati wa Nyerere kwa nini BOT ilichomwa moto, Nyerere aliwauzia wazungu mgodi wa Mwadui.
Hivi Williamson alikuja lini Tanzania au Tanganyika na mgodi wa Mwadui ulianza kufanya kazi mwaka gani? Msipindishe historia wakati ukweli unajulikana. Endeleeni kuiba tu lakini Watanzania wameshawashtukia.
 
Acha kujitoa ufahamu! Pitia posts zote kuanzia post #1 hadi 18, suala la MoU limeelezewa vizuri mno na MchunguZI pamoja na wengine wengi. Anzisheni Hospitali zetu muone kama mtanyimwa kuingia mkataba na Mou.

Patience96,
Inawezekama kabisa kuwa haya usemayo yanatoka moyoni na
unaamini kuwa huo ndiyo ukweli kuwa Waislam wanaweza kwa
juhudi zao au kwa msaada wa nchi za Kiislam wakafanya kama
mnavyofanya nyie.

Kuwa Waislam wanaweza wakaleta fedha kutoka nje wakajenga
shule, vyuo na hizo hospitali.

Hali halisi tofauti kabisa.

Kuna mfumo ndani ya serikali ya Tanzania uko pale kuhakikisha
kuwa Uislam haupati nguvu Tanzania.

Mifano tunayo mingi na mimi nimeieleza hapa mara nyingi.

Nimeeleza jinsi EAMWS ilivyohujumiwa, kupigwa marufuku kwa
kuwa ilikuwa na mipango ya kujenga chuo kikuu.

Hii ilikuwa mwaka wa 1968.

Katika miaka ya 1970s Organisation of Islamic Countries (OIC)
ilitaka kujenga chuo kikuu Tanzazania.

Mradi huu ukahujumiwa.
Darul Imaan ilitaka kujenga chuo cha ufundi Kibaha.

Mradi huu pia ukahujumiwa na kwa juhudi za Aboud Jumbe mradi
ukapelekwa Zanzibar.

Wizara ya Elimu...
NECTA...
Sheria ya Ugaidi...

Ndiyo unaona hata historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika hadi
leo imekuwa ni kitendawili.

Hakuna anaeitaka ielezwe wala iandikwe.

Wajerumani wakati wa Vita Kuu ya Pili waliwakusanya Wayahudi
katika Ghetto nchini Poland ambako hapakuwa na maji.

Wajerumani hao hao wakawa wanawashutumu Wayahudi kwa uchafu.

Leo sisi mnatushutumu kuwa hatuna vyuo kama nyinyi, hatuna
hospitali kama nyinyi, hatuna shule kama nyinyi.

Mnatuambia kuwa tungelikuwa na hospitali na sisi serikali ingetupa
bilioni 91 za MoU kama manazopewa nyinyi.

Linalonisikitisha sana ni kuwa na mnaposema maneno haya mnasema
kwa kejeli bila kujali hisia zetu kuwa tunajisikiaje.

Nadhani Patience96 umepata kusikia kuwa Waislam wanataka
kufanya maandamano kuhusu Ndalichako wa NECTA kwa kuwahujumu
wanafunzi wa Kiislam na polisi ikisema kuwa watakaoandamana
watashughulikiwa na nguvu za dola...

Tuishie hapa lakini nakusihi jitulize na fikiri.
Nilitaka kusahau.

Naamini unajua kuwa kuna fedha zinatoka CRDB zinakwenda Kanisani
kila mwaka.
 
Mkuu umeongea sana ila ukweli una kitu ulichoficha moyoni kwa maelezo yako unahisi wakristo ndio walioanzisha hizo taasisi za elimu na afya, kumbuka taasisi nyingi kati ya hizo zilianzishwa kabla ya uhuru kwa pesa za umma ambazo ni za watanganyika wote. Na lengo la mkoloni ilikuwa kuandaa vibaraka watakao msaidia kuwanyonya watanganyika na hizo hospitali pia vibaraka ndio waliokua kipaumbele,itafute historia ya kweli utaona ukristo ulivyokuwa wakala mzuri na mwaminifu wa ukoloni na unyonyaji hadi leo utaona baadhi ya watu na taasisi za kikristo zinashabikia maovu kama vile kashfa ya escrow ni mfano wa hivi karibuni kabisa.waislam kama wao wamekua watu wakuridhika ndio maana hata mipango ya kanisa ya kuwahujumu ilifanikiwa kirahisi, walianzisha harakati za kudai uhuru kabla hawajamjua adui wao mkuu ambae alikua akimpa msaada mkoloni, matokeo yake yanawakuta kama yaliyomkuta okwonko wote tulisoma riwaya hii ya chinua Achebe kama sijasahau.kwahiyo kabla hujatoa ushauri kwa kundi hili ambalo linaandamwa na matatizo mengi uupime kwanza kama unaendana na hali halisi.lingine wote tunachangia pato la taifa wewe unapewa ruzuku mimi unaniambia nisome kwanza haki iko wapi nitasomaje bila kujengewa shule, leo hii shule za kiislam zinaonekana za hovyohovyo lakini walimu wakiislam wapo wengi tu wazuri lakini uwezo wa kuwalipa ni mdogo, kwa njia hii elimu haiwezi kuwa bora ukidai ruzuku mnaambiwa wenzenu walishachuku nyie mmechelewa, mimi nashauri kama unaongea kwa kuwaonea waislam au mtu yoyote acha kwa sababu dunia ni ya mungu, na kumbuka ufisadi si ule wa mali pekee hata kumsema mtu kinyume na haki ni ufisadi pia. Mwisho nawapongeza waislam ambao pamoja na kutukanwa, kunyimwa haki hata za msingi bado hawajatetereka ,Mungu atawalipa ujira mkubwa kesho akhera
 
Na mimi kama Muislam nakushauri huu ushauri wako upeleke Kanisani.

Kawaambie hivi toka toka uhuru mpaka sasa wasomi wa Kikirsto wamejazana serikali kila idara wamelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye nchi masikini duniani, unajua kuwa Tanzani ipo kwenye nchi 20 masikini wa kutupwa duniani huko serikalini kazi yenu kufanya ufisadi tu.

Halafu nyie Wakirsto ndiyo mnabebwa unajua kama kila mwaka Kanisa linapewa bilioni 61.9.

Ahsante.

hizo bilion 61.9 hazitoshi kabisa,serikali ingeangalia uwezekano wa kuongeza walau ifike bilion 300 ili huduma ziboreshwe zaidi japo ni bora mpaka sasa.
 
Mkuu umeongea sana ila ukweli una kitu ulichoficha moyoni kwa maelezo yako unahisi wakristo ndio walioanzisha hizo taasisi za elimu na afya, kumbuka taasisi nyingi kati ya hizo zilianzishwa kabla ya uhuru kwa pesa za umma ambazo ni za watanganyika wote. Na lengo la mkoloni ilikuwa kuandaa vibaraka watakao msaidia kuwanyonya watanganyika na hizo hospitali pia vibaraka ndio waliokua kipaumbele,itafute historia ya kweli utaona ukristo ulivyokuwa wakala mzuri na mwaminifu wa ukoloni na unyonyaji hadi leo utaona baadhi ya watu na taasisi za kikristo zinashabikia maovu kama vile kashfa ya escrow ni mfano wa hivi karibuni kabisa.waislam kama wao wamekua watu wakuridhika ndio maana hata mipango ya kanisa ya kuwahujumu ilifanikiwa kirahisi, walianzisha harakati za kudai uhuru kabla hawajamjua adui wao mkuu ambae alikua akimpa msaada mkoloni, matokeo yake yanawakuta kama yaliyomkuta okwonko wote tulisoma riwaya hii ya chinua Achebe kama sijasahau.kwahiyo kabla hujatoa ushauri kwa kundi hili ambalo linaandamwa na matatizo mengi uupime kwanza kama unaendana na hali halisi.lingine wote tunachangia pato la taifa wewe unapewa ruzuku mimi unaniambia nisome kwanza haki iko wapi nitasomaje bila kujengewa shule, leo hii shule za kiislam zinaonekana za hovyohovyo lakini walimu wakiislam wapo wengi tu wazuri lakini uwezo wa kuwalipa ni mdogo, kwa njia hii elimu haiwezi kuwa bora ukidai ruzuku mnaambiwa wenzenu walishachuku nyie mmechelewa, mimi nashauri kama unaongea kwa kuwaonea waislam au mtu yoyote acha kwa sababu dunia ni ya mungu, na kumbuka ufisadi si ule wa mali pekee hata kumsema mtu kinyume na haki ni ufisadi pia. Mwisho nawapongeza waislam ambao pamoja na kutukanwa, kunyimwa haki hata za msingi bado hawajatetereka ,Mungu atawalipa ujira mkubwa kesho akhera

kwanza umeongea kwa hisia zaidi kuliko ukweli,kumbuka serikali baada ya uhuru ilitaifisha taasisi nyingi za kidini.Pia si kila taasisi zilianzishwa kabla,mpaka leo tunaendelea kuona taasisi hizi zikiongezeka kwa wingi na maeneo yote ambayo kuna taasisi hizi kwakweli maendeleo yanaonekana.
Ulalamishi wako hauna mantiki,ni hulka ya mtu ndio inamfanya kuwa mwizi na si dini wala kabila,Jk ni dini gani na mbona ndiye wa kwanza kuwakumbatia wezi??
Kipaumbele chenu si elimu na huduma kwa jamii,mfano ona hata chuo cha moro mlichopewa bure ambacho tulitegemea kiwe mfano ni aibu,hovyo kabisa.Kutokana na kukosa vipaumbele chanya ndio maana madai yenu yamekuwa kwenye vitu visivyo na mashiko wala haja ya kuwa navyo,ni ubinafsi ubinafsi tu.
Mtadai kuchinja,mtadai sensa iwe na kipengele cha dini,mtadai mahakama ya kadhi ili tu muislam akizaa na kafiri,mtoto awe haramu na asiwe na haki na mirathi.Haya ndio mambo ya msingi kudai kweli??Ndio maana no body takes u seriously
 
hizo bilion 61.9 hazitoshi kabisa,serikali ingeangalia uwezekano wa kuongeza walau ifike bilion 300 ili huduma ziboreshwe zaidi japo ni bora mpaka sasa.

Hazi stahili kupewa.
Hizo pesa zingejenga hospital mpya za umma.
Serikali kugawa fedha za umma kwa taasisi ya dini ni kufanya promotion ya dini.
Nyinyi mnashindwa nini kuziendesha?
Mbina Wahindu wanaziendesha?
Mbona Agha khan anaziendesha ?
 
nina maana ya kuwa elimu itakayomfaa mtu yeyote bila kujali dini, au hata kama hana dini. Elimu dunia ni elimu inayotolewa na shule zote. Kinyume chake labda ingekuwa elimu ahera, ile inayokazia madrasa tu- qura'an, biblia tu n.k.,

waislamu tukazane kufikiri, tunajiaibisha kuangukia wakiristo watusaidie kuanzisha mahakama ya kadhi uwezo mnao tatizo kubwa ni kukosekana taisisi ya juu kuratibu masuala ya uislamu nchini. Bakwata kimebaki kuwa chombo cha ccm na ccm ikifa bakwata nayo itakuwa chali kwani 100% inategemea ccm. Hatua ya kwanza kwa waislamu hata kabla ya kuzungumzia elimu dunia ni kuanzisha taasisi kuu ya kiroho yenye mission ya kuendesha uislam nchini na ndicho kitaendesha taasisi zote za kiislam nchini. Kwa kuanzia namuomba rais mstaafu mwinyi abebeshwe jukumu hilo nakuapia kama waislamu watamuunga mkono miaka 10 ijayo unyonge wa waislamu utafutika nchini. Waislamu wamebobea katika elimu zote tatizo wanavurugwa na bakwata kwa nguvu ya ccm
 
Hazi stahili kupewa.
Hizo pesa zingejenga hospital mpya za umma.
Serikali kugawa fedha za umma kwa taasisi ya dini ni kufanya promotion ya dini.
Nyinyi mnashindwa nini kuziendesha?
Mbina Wahindu wanaziendesha?
Mbona Agha khan anaziendesha ?

Kuna sheria zipo zinazotoa muongozo kwa taasisi zinazotoa huduma kwa jamii,si za kidini tu bali taasisi zote zinazotoa huduma,kama unasema taasisi hizi hazistahili kupewa basi nadhani ni kazi ya bunge kufanya hilo.
Suala la pili,si hospitali tu ndugu kuna nyanja za elimukuna vituo vya kulea watoto yatima,kuna vituo vya kulea wazee n.k.Kama unajua hesabu vizuri,pesa hizo ni kidogo kuendesha shughuli hizi au kuanzisha.Serikali inachofanya ni kuchangia tu kiasi kidogo.
suala la tatu,serikali inatoa pesa kwa malengo gani?serikali ipo kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma bora,kama kuna taasisi yoyote inaisaidia serikali basi nayo iko tayari kushirikiana nao kufikia malengo regardless ni taasis gani,kama itajengeka picha kama unayojenga wewe kuwa ni promotion so be it as long as the government is acting on the best interest of its citizens.
Hoja yako ya 4 inajibiwa na maelezo hapo juu,huduma hizi zinatolewa kwa watz bila upendeleo,unazungumza as if kuna ubaguzi kwenye hizi huduma,kuna waislamu wenzako wengi wananufaika sana na wanashukuru kwa kuwepo huduma hizione of them ni rafiki yangu aliyemaliza saint augustine na sasa ni muhasibu.
hoja ya 5 kwamba mbona wahindi wanaziendesha za kwao,come on,nenda kafanye tathmini ya gharama za agha khan na nenda bugando au kcmc utajua nini nazungumza.Kuwa mkweli,taasisi za kidini zikiamua ziache kutoa huduma na zijiendeshe kwa mtindo huo wa kibiashara wa akina agha khan,itakuwa ni pigo kubwa kwa nchi.jaribuni kujenga hoja za kueleweka mbele ya wasomi na si wivu usio na maana.
 
Kuna sheria zipo zinazotoa muongozo kwa taasisi zinazotoa huduma kwa jamii,si za kidini tu bali taasisi zote zinazotoa huduma,kama unasema taasisi hizi hazistahili kupewa basi nadhani ni kazi ya bunge kufanya hilo.
Suala la pili,si hospitali tu ndugu kuna nyanja za elimukuna vituo vya kulea watoto yatima,kuna vituo vya kulea wazee n.k.Kama unajua hesabu vizuri,pesa hizo ni kidogo kuendesha shughuli hizi au kuanzisha.Serikali inachofanya ni kuchangia tu kiasi kidogo.
suala la tatu,serikali inatoa pesa kwa malengo gani?serikali ipo kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma bora,kama kuna taasisi yoyote inaisaidia serikali basi nayo iko tayari kushirikiana nao kufikia malengo regardless ni taasis gani,kama itajengeka picha kama unayojenga wewe kuwa ni promotion so be it as long as the government is acting on the best interest of its citizens.
Hoja yako ya 4 inajibiwa na maelezo hapo juu,huduma hizi zinatolewa kwa watz bila upendeleo,unazungumza as if kuna ubaguzi kwenye hizi huduma,kuna waislamu wenzako wengi wananufaika sana na wanashukuru kwa kuwepo huduma hizione of them ni rafiki yangu aliyemaliza saint augustine na sasa ni muhasibu.
hoja ya 5 kwamba mbona wahindi wanaziendesha za kwao,come on,nenda kafanye tathmini ya gharama za agha khan na nenda bugando au kcmc utajua nini nazungumza.Kuwa mkweli,taasisi za kidini zikiamua ziache kutoa huduma na zijiendeshe kwa mtindo huo wa kibiashara wa akina agha khan,itakuwa ni pigo kubwa kwa nchi.jaribuni kujenga hoja za kueleweka mbele ya wasomi na si wivu usio na maana.

Suala kwa nini serikali wasijenge za umma?
Wanaziendesha za wakristo halafu wana jisifu ? Kumbe zao jina tu ?
 
Back
Top Bottom