Ushauri kwa wadada single

Ushauri kwa wadada single

mzabzab unakosea sana kuwatenda wengine kwasababu tu ulitendwa na mmoja, ni heri uwe single hadi hapo kidonda cha kutendwa kitakapopona ndipo uanzishe mahusiano. Unapata dhambi ujue. Kwanza kwa style ya kugegeda na kutema inaweza kukuweka kwenye hatari ya maambukizi
 
Last edited by a moderator:
mzabzab unakosea sana kuwatenda wengine kwasababu tu ulitendwa na mmoja, ni heri uwe single hadi hapo kidonda cha kutendwa kitakapopona ndipo uanzishe mahusiano. Unapata dhambi ujue. Kwanza kwa style ya kugegeda na kutema inaweza kukuweka kwenye hatari ya maambukizi

eh mie sii ninagegeda malaya sasa tatizo lipo wapi. hawa wengine papuchi zao wanaona diamond wakae nazo. maambukizi kulinga na stats nipo less likely kupata kwa changu kuliko gf
 
eh mie sii ninagegeda malaya sasa tatizo lipo wapi. hawa wengine papuchi zao wanaona diamond wakae nazo. maambukizi kulinga na stats nipo less likely kupata kwa changu kuliko gf

Hhahaha naona umeamua kujilipua mchana kweupe na mabomu yako.....kila la heri.
 

USIMCHANGANYE MUNGU HUKU UKIISHI MAISHA MACHAFU MTAANI, USIUFANYE MWILI WAKO KITUO CHA UTALII KWANI HILO NI HEKALU LA ROHO MTAKATIFUUU!! USIMDHARAU MTU KWA NAMNA YOYOTE LEO WEWE HUJUI KESHO YA HUYO MTU...., YULE KIJANA NILIMKATAA SASA NI TAJIRI ANA VITU VYOTE NILIVYOKUWA NATAKA

Ameeeeeeeeeeeen! ameeeeeeeeeeeeeeeen!
 
Mzabzab acha utakufa kuwa na mmoja mwaminifu, kwani unapata faida gani kuwa nao wengi? kitadisappear shauri yako?
 
daaamn i wish wewe ndo ungekuwa single lady sasa..ningeku... aje aharaka!!!!
 
Mzabzab acha utakufa kuwa na mmoja mwaminifu, kwani unapata faida gani kuwa nao wengi? kitadisappear shauri yako?


kama wee mwaminifu njoo tuanzishe uhusiano. mie wengi naona wamekaa kugegedwa gegedwa
 
Ndo maana mimi nimeona nilikubali hili janaume langu ambalo lilitoaga machozi wakati linanitokea japokuwa ki sura sio handsome sana ila imesaidia nimekuwa mtu wa amani kuliko lile li bwana lisharo bar😵k wito wangu ni kuwa masharobaro stress tupu pia sio maoaji wala sio matashi kwenye utunzaji wa familia jamani tafuteni mafighters hata kama hana kazi jaribu kuiangaria hii trait ya ufaiter maisha yamebadirika siku hizi endekezeni usharo baro utakuja kula vimodo vyake.
 
What's in it for me eventhough am already interested...!!!

Cc: NO ONE.:tape2:
Usijali hakuna anayeona hili uloandika, from now utakuwa kidumu changu....je unajua majukumu ya kidumu?
 
kama wee mwaminifu njoo tuanzishe uhusiano. mie wengi naona wamekaa kugegedwa gegedwa

brother mzabzab inasmuch as I agree with you sidhani kama approach uliyoichukua ni sahihi.

Kumbuka walisema, "You can not control what happens to you but you can dictate your reactions towards what happens to you."

Mimi nilishawahi kuumizwa na kudanganywa way back in 2010 I guess, at first nilireact kama wewe. Nilikuwa kicheche balaa..I was in kenya by then i guess katika makabila yote 42 labda nilibakisha 7 hivi. But later nilikaa nikawaza gain ninayopata from that because (sijui wewe) kila nilipofanya na kuumiza zaidi nilijikuta na mimi naumia maradufu and instead of kumsahau aliyenitenda I was harboring more pain and hatred in my heart. mwenzangu ananenepa tu na maisha yake mapya.

I later decided kuwaepuka kabisa mpaka wanichukie. Yani we can be friends and all that lakini mapenzi, mahusiano na ngono..:nono::nono::nono:. Ushaona mtu anakuchukia kwa sababu humtongozi wala humuombi 'cherry' despite signs zote alizokuonesha? That is my revenge...

Waulize kina babu Asprin kabla hajampata Matesha, babu Dark City kabla ya mama DC, kaka Mtambuzi kabla ya Mama Ngina..they all have stories of being hurt and heartbroken ila haiwi sababu ya kujiharibia maisha because of a single soul that didn't deserve your love and heart.

😛layball:
 
Last edited by a moderator:
Usijali hakuna anayeona hili uloandika, from now utakuwa kidumu changu....je unajua majukumu ya kidumu?

Haha av never been one, so as you may guess, siyajui.

Ningependa kuyafahamu mara tu upatapo ujumbe huu kwani nina hamu ya kuyaanza majukumu haya ASAP!!!:rockon:
 
Hiyo ni experience yake, kuna ambao walichukua maamuzi kama yake na wakafanikiwa.
Kuambukizwa kirusi ni sababu alifanya kosa la marhem, sio sababu aliachana na mpenzi masikini asie na elimu.
I believe mapenzi sio pesa au elimu, ila kama mtu unajiweza na umesoma bora utafute mpenzi ambae mmelingana.
Sio tu the first passerby ambae amesoma na anajiweza
There has to be other things too, of course.
So to me huyu dada hakukosea kumtosa yule kaka if she did it for incompatibility reasons.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom