Ushauri kwa wadada single

Ushauri kwa wadada single

Kunipa huduma zote za ki JF (kama huzijui muulize invisible), kunijali na kunikingia kifua nisionewe wala kusogelewa na akina mzabzab (huyu danger zone na ni mgegedaji maarufu), watu8 na wengineo, majukumu mengine nitakujulisha as unatimiza haya

Hahaha...mbona miye sionei wananchi!!
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi nashangaa...hehehe!!!

- La kwanza ni kukutoa from senior expert member ambayo in the real world ni sawa na kukununulia ki-vitz..consider it done.

- mzabzab nishampa kidonge chake natumai ataacha..

- watu8 ? hata yeye?

- sasa mimi ukiniita kidumu wewe ntakuitaje???:A S 39:
 
Last edited by a moderator:
Hewalaaa...afadhali jina langu umelitoa kwenye Most Wanted!!!

watu8 nimemtaja tu kama mfano wa watu ambao unatakiwa unikinge dhidi yao. Kwani kuna ubaya kuitwa kidumu?au kisaidizi cha ndoo basi
 
Last edited by a moderator:
Kaka mkubwa my name yangu imeshakuwa cleared...:becky:

Ok, ujumbe huu uwafikie wote wanaokusumbua, watu8 et al, jamanieee juzi tu nilipoenda kumzika bosi wangu nilipitia 'kwa Msisi' muulizeni babu Dark City kunasifika kwa nini...we warned!!!

Kwako Mrembo by Nature, I meant wewe unaniita mimi 'kidumu' basi mimi nikuiteje wewe? 'kidumu' pia au kuna jina ambalo na wewe unastahili kuitwa?
 
Last edited by a moderator:
Hahahah....sipati picha kaka mkubwa yule alivyo na neg aspects towards r'ships eti katulizwa tuliiii...
Sijui utakua umempa mahabat ya Kidigo au Kigunya, mwanaume alelewa kama kichanga

Hawezi kuja kukutafuta bila mimi kumpa go ahead, Nilishamfunga miguu na mikono kimahabati so hana nguvu hiyo, ananisikiliza mimi tu
 
Hahahah....sipati picha kaka mkubwa yule alivyo na neg aspects towards r'ships eti katulizwa tuliiii...
Sijui utakua umempa mahabat ya Kidigo au Kigunya, mwanaume alelewa kama kichanga

Ndio alishatulia hapa, au muulize mwenyewe uone atajibu nini. Mie sisemi sana
 
Aliyekuambia maskin hawezi kukupa virus nani?acheni mabinti wawe na watu wa choice zao kama kampenda tajir asiwe naye kisa nini?na nani kasema maskini ana mapenzi ya dhati?umaskini ni laana hata bible imesema
 
me nlkua na jamaa angu nilianza nae mahusiano ye alkua 3rd yr me 2nd... ata nlvomalza chuo bado alkua ajapata kaz yan hal ilkua mbaya na kwao hal haikua nzur.ko wote tukawa kitaa tunapgka ila me hom kdogo ilkua afadhal kwa iyo tukawa tunasaidiana..... kwakwel nilikua nampenda.... bada ya miezi kama sita mwenzangu akapata kaz hapo ndo vtuko vikaanza hakukumbuka tuliko toka mwsho nikasarenda ila huwa naumia..... kwa iyo wengine unaweza toka nao mbali lakin ndo ivo
 
Kuna wengine wamependa mafukara nawametendwa pia? Ki ukweli haya mambo hayana formula...Muhimu ni kumweka Mungu mbele.
 
Mara zote mwanaume kapuku huwa mnyenyekevu kwakuwa hana uwezo wa kupata as many papuchi as he can akipata vijisenti ndio utajua tabia yake towards women
Kuna wengine wamependa mafukara nawametendwa pia? Ki ukweli haya mambo hayana formula...Muhimu ni kumweka Mungu mbele.
 
The best rule never trust a man hata akulilie machozi, ukiamua kutoka naye just do it ila tambua at any time t atatoka kutafuta other papuchiz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom