majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 812
Nani kakwambia ukisoma SUA basi uhurumiwe kila sehemu? Kwani wanaofundisha SAUT si wamesomea SUA na wengine vyuo vya maana nje ya Tz na wengine wamekuwa marekecture SUA na hata UDSM kama Baregu na wengineo? Wewe kama hukuweza kupata GPA inayohitajika tulia. Waache waliopata wapambane kufundisha vyuo. Au unataka tuseme kwa kuwa SUA imeanzishwa zamani au MZUMBE au UDSM basi huko ndo wanapaswa kutoka malecture?
JARIBU KUELEWA MAANA YA NILICHOKIANDIKA KABLA HUJAPOST. KWENYE RANGI NYEKUNDU ULIKUWA UNAMAANISHA NINI?