Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,942
- 43,599
Atakuwa anakuelemea sana! Pole sana. Mwaka huu magamba hakuna rangi mtaacha kuona!
Huyu mwenyekiti wa Bavicha ni legelege sana hana makali kabisa......
Atakuwa anakuelemea sana! Pole sana. Mwaka huu magamba hakuna rangi mtaacha kuona!
BAVICHA mwenyekiti hakuna kabisa
Huyu mwenyekiti wa Bavicha ni legelege sana hana makali kabisa......
Kwani hao ni wasaliti?
Hatujawai pambana na Act kazi yetu nimoja tu kumgoa mkoloni mweusi tuHivi CHADEMA wanapambana na ACT kwa mantiki gani,ina maana ACT ndo ina nguvu kiasi hiki,ACT haina hata Mwaka kwanini iwe gumzo kwa CHADEMA?kwanini CHADEMA wasipambane na CCM,au ACT ina nguvu kuliko CCM.
Huyu mwenyekiti wa Bavicha ni legelege sana hana makali kabisa......
Hivi CHADEMA wanapambana na ACT kwa mantiki gani,ina maana ACT ndo ina nguvu kiasi hiki,ACT haina hata Mwaka kwanini iwe gumzo kwa CHADEMA?kwanini CHADEMA wasipambane na CCM,au ACT ina nguvu kuliko CCM.
Mimi pia huwa namlalamikia sana huyu mwenyekiti BAVICHA.Mizunguko ya Kinana imeshateka vijana wengi cdm huko Moshi, Mwanga na Rombo.haki ya mungu mi ni mwanachama wa cdm lakin mwenyekiti wa BAVICHA simjui
tulimzoea heche sasa tumeletewa bubu
Hujataka kumjua.
Kumbe Chadema mnapambana na ACT daa!!ACT - Wazalendo wametangaza ziara ya mikutano yao jiandaeni na nyie kuakikisha baada ya mikutano ya ACT nendeni mkasafishe upepo.
Katika kusafisha upepo msiwapige vijembe ACT - Wazalendo, nyie endelezeni sera zenu vizuri.
Kuna operesheni nimeona inaendelea huko Kanda ya Ziwa ina mafanikio makubwa sana.
Big up Mawazo.
Nia yangu ya kumshauri mwenyekiti wa bavicha sina nia ya kumlamu hata kidogo nia yangu ni kumtia moyo yeye na timu yake kufanya kazi kwa bidii na ubunifu wa hali ya juu zaidi
Hivi CHADEMA wanapambana na ACT kwa mantiki gani,ina maana ACT ndo ina nguvu kiasi hiki,ACT haina hata Mwaka kwanini iwe gumzo kwa CHADEMA?kwanini CHADEMA wasipambane na CCM,au ACT ina nguvu kuliko CCM.
Mabaraza yote hayo yanawashugulikia vilivyo ccmSiyo bavicha tu hata bawacha iko wapi?
Mimi pia huwa namlalamikia sana huyu mwenyekiti BAVICHA.Mizunguko ya Kinana imeshateka vijana wengi cdm huko Moshi, Mwanga na Rombo.
Kumbe Chadema mnapambana na ACT daa!!
Kumbe Chadema mnapambana na ACT daa!!