Ushauri kwa Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa

Ushauri kwa Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa

Bavicha ndo ingene ya chama. Bavicha haitakiwi kusubiri semi toka taifa. Uongongoz imara ni ule unaoweza kusimamia ngazi chini kufanya kazi kwa ufanisi. Katambi alishafanya mikutano ya ndani sehemu nyingi. He is a strategic man
 
Mwenyekiti wa bavicha sasa nyupo vizuri sana.
Hafanyi kazi kwenye media. Ukitaka kumjua njoo field
 
huyu mwenyekiti wa bavicha sawa na wa uvccm wote hawajui kuongea wanabebwa bebwa tu sijui ndo wanafanya siasa zao kwenye mitandao au ndo vyumbani mwao
 
Mungu akitujalia kitaeleweka tu kilichobaki ni kufanya kazi kwa bidii tu,mwaka huu sera tuzazieneza mpaka kwenye vijue vya kahawa
 
Bavicha chini ya mwenyekiti wa sasa ni kama imekufa vile. Hakuna oparesheni ya nguvu ya kujenga chama hasa mikoa ya kati na kusini.



Katika hili la BAVICHA me namtetea Mwenyekiti Patrobas Pascal Katambi anapiga kazi sana,sema kuna watu wanafanya hila za kumkwamisha kwa vile hakuwa chaguo la.....,bt pia wa kumlaumu sana ni Kitengo cha uenezi cha chama,viongozi wapo field wanapiga kazi bt hatupati taarifa zozote,kitengo kimeshindwa kucheza na media na social networks
 
Chadema Wote Ni Viongozi Hakuna, Kwahiyo Swala La Kueneza Sela Za Chama, Ni La Mwanachama Yeyote, Kuna Viongo Wa Bavicha Nchi Nzima Kama Ulivyo Uongozi, Mwingine, Hata Wewe Pia Unapaswa Kupiga Kazi, Hatulali Ni Mpaka Kimeeleweka.

Viva cdm na tunamuomba mungu atuongezee maarifa na nguvu yake
 
mkuu hata hivyo mipango yenu ipo tofauti sana nyie zenu kuvaa miwani mieusi,kuandamana kwa nguvu,uongo,uzushi,kumwagia watu tindikali na kuzua umbea kuwa mnafuatiliwa na usalama wa taifa.

Kweli hawa jamaa zao ni kuiba na kufirisi maliasili za taifa na wizi kama wa escrow,epa,meremeta na mambo mengine.
 
BAVICHA ya heche ilikua inaitetemesha Lumumba yote,nlitegemea heche angepewa jukwaa lingine ndani ya chama lakini mpaka sasa kimya,nashauri apewe japo ukurugenzi wa uenezi nafasi aliyoiacha Mnyika,CDM msiitupe hii lulu,mtajutia baadae.
 
Kidogo naanza kuamini kuwa Diaro anambana au pandikizi mahana hata mimi sijamsikia na uchaguzi ndio huo.


swissme
 
Nimesoma post nying zinacommentiwa nimegundu kuna vijana wa ACT wanajifanya wao Chadema eti hawamjui mwenyekit Bavicha taifa, na weng kujifanya wamemchoka,
Nikwambie hv ewe kijana wa ACT na watoto wa LUMUMBU na akil zenu za kitoto kamwe hamuwez kuubadilisha yeupe kuwe nyeus ACT na CCM wameunguna kuponda upinzan tu hakuna kingine, mm najiuliza eweje kijana wa act na ccm wasema hawajui Mw/kiti Taifa unataka kumjua iliweje? Kwetu anapiga kz sasa ww unayechangia maada ya kusema hapiga kaz unataka apige kz gan? Afanye kaz za nyumban kwako au. #Hijja Madaba, #nkongu ndasa na wengine.
 
Back
Top Bottom