Ushauri kwa Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa

Ushauri kwa Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa

Mtahangaika sana!.hamtaki kuamini kua threads Zenu zinabuma sasa hivi?,,this is tz buana only 3wks in media tuu,shenztype act
 
Ni wakati wa BAVICHA kuanzisha verified JF Membership.Ili kutoa updates kila wakati.Kazi mnapiga ila hamtoi feedback.Msitegemee Kurugenzi ya habari makao makuu pekee.
 
Kama kweli wewe ni mwanachadema piga kazi mafanikio yataonekana, kama unasubiria viongozi wa kitaifa ndio waje kwenye maeneo yako waeneze chama ......kama wewe ni kiongozi wa Msingi au ngazi yoyote hautufai, kuwa tuu mwanachama wa kawaida. Hata mwanachama wa kawaida anatakiwa aeneze chama kwa eneo alilopo.

Ukisoma kadi ya Chadema kwa nyuma...Wajibu wa Mwanachama namba 3. (imetolewa kwenye katiba ya Chadema) Imeeleza kwamba "Kutetea na kueneza itikadi, falsafa na Madhumuni ya chama ndani ya jamii anamoishi"

Kwa hiyo kazi uliyonipa wala usiofu kabisa mm napambana vilivyo huku mtaani na siko mwenyewe tuko wengi na ndio wajibu wetu.
Kama unabisha njoo kwenye vijuwe vyetu vya kahawa uone ni kueneza sera za chama mpaka macc wakome
 
ACT - Wazalendo wametangaza ziara ya mikutano yao jiandaeni na nyie kuakikisha baada ya mikutano ya ACT nendeni mkasafishe upepo.

Katika kusafisha upepo msiwapige vijembe ACT - Wazalendo, nyie endelezeni sera zenu vizuri.

Kuna operesheni nimeona inaendelea huko Kanda ya Ziwa ina mafanikio makubwa sana.

Big up Mawazo.
huku lipumba naye akijiandaa na CUF katika usajili wa dirisha dogo BAVICHA wawe makini wasije kuwa kama arsenal
 
Back
Top Bottom