Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,942
- 43,599
Kidogo naanza kuamini kuwa Diaro anambana au pandikizi mahana hata mimi sijamsikia na uchaguzi ndio huo.
swissme
Teh Teh atakuwa msaliti..
Kidogo naanza kuamini kuwa Diaro anambana au pandikizi mahana hata mimi sijamsikia na uchaguzi ndio huo.
swissme
ACT - Wazalendo wametangaza ziara ya mikutano yao jiandaeni na nyie kuakikisha baada ya mikutano ya ACT nendeni mkasafishe upepo.
Katika kusafisha upepo msiwapige vijembe ACT - Wazalendo, nyie endelezeni sera zenu vizuri.
Kuna operesheni nimeona inaendelea huko Kanda ya Ziwa ina mafanikio makubwa sana.
Big up Mawazo.
mwenyekiti wa bavicha Taifa mlugaluga sana.
Huyo mwenyekiti Bavicha wengi hawamtaki kabisa...
Teh Teh atakuwa msaliti..
Huna uwanachama wowote wa Chadema wewe ni wakala wa ccmhaki ya mungu mi ni mwanachama wa cdm lakin mwenyekiti wa BAVICHA simjui
tulimzoea heche sasa tumeletewa bubu
Mwenyekiti wa Bavicha atakuwa ndondocha nafikiri
Hatuchaguliwi watu na ccm nendeni kawachagulieni ACT
Mkuu sikuhizi umekua Msemaji wa Chadema mbona sikuonagi offisini?
Chadema Kwanza
mwenyekiti wa bavicha Taifa mlugaluga sana.
Naguswa na sera za chadema sana ndio maana napenda kudhugumzia chadema sana na kwa kufanya hivyo sijavunja sheria wala kanuni za nchi la asha nafanya hivyo kwa kudhingatia katiba ya nchi yetu ambyo inatoa furusa kwa kila mwananchi kuchagua chama akipendacho
Nimesoma post nying zinacommentiwa nimegundu kuna vijana wa ACT wanajifanya wao Chadema eti hawamjui mwenyekit Bavicha taifa, na weng kujifanya wamemchoka,
Nikwambie hv ewe kijana wa ACT na watoto wa LUMUMBU na akil zenu za kitoto kamwe hamuwez kuubadilisha yeupe kuwe nyeus ACT na CCM wameunguna kuponda upinzan tu hakuna kingine, mm najiuliza eweje kijana wa act na ccm wasema hawajui Mw/kiti Taifa unataka kumjua iliweje? Kwetu anapiga kz sasa ww unayechangia maada ya kusema hapiga kaz unataka apige kz gan? Afanye kaz za nyumban kwako au. #Hijja Madaba, #nkongu ndasa na wengine.
ACT - Wazalendo wametangaza ziara ya mikutano yao jiandaeni na nyie kuakikisha baada ya mikutano ya ACT nendeni mkasafishe upepo.
Katika kusafisha upepo msiwapige vijembe ACT - Wazalendo, nyie endelezeni sera zenu vizuri.
Kuna operesheni nimeona inaendelea huko Kanda ya Ziwa ina mafanikio makubwa sana.
Big up Mawazo.
Mwenyekiti BAVICHA ni mzigo!!!
Mimi mbona ni mwana CHADEMA lakini simjui huyo mwenyekiti wa BAVICHA, kaz zake anafanyia kwenye tecno wgatsapp au?
Hatuwezi kushindana na ccm B tunaiyondoa ccm AKha!Et ndo wanaotegemea kushika dolla!Badala ya kushughulika na mambo ya msingi wanakalia kushindana na Act,Ccm bado saanaa madarakani.
mwenyekiti wa bavicha Taifa mlugaluga sana.
Hatuchaguliwi watu na ccm nendeni kawachagulieni ACT