Mbrazili
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 649
- 90
Wadau hii ndo itakuwa post yangu ya mwisho kuomba ushauri hapa kuhusu faculty za uchumi nazotaka kusoma........HGE nna div 13 baada ya kuuliza na kupitia pitia nimeamua kuchagua 5 kwa mtiririko kama ifuatavyo
1.Bcom in banking and financial services-UDSM
2-Bcom in Accounting-UDSM
3.Bachelor of economics-ARDHI
4.BAF-Public sector-MZumbe
5BBA-Udom.................
Mi nimechagua ila kwa kuwa humu kuna wazoefu naombeni tuzijadili hizo hili nifanye chaguo lililo makini zaidi.....
TWENDE KAZI
1.Bcom in banking and financial services-UDSM
2-Bcom in Accounting-UDSM
3.Bachelor of economics-ARDHI
4.BAF-Public sector-MZumbe
5BBA-Udom.................
Mi nimechagua ila kwa kuwa humu kuna wazoefu naombeni tuzijadili hizo hili nifanye chaguo lililo makini zaidi.....
TWENDE KAZI