Kweli kabisa....wakatishaji tamaa hawakosi so usiache kupambania unachokipenda coz wao sio tcu.......
vipi ulipata[uko] wapi mkuu???
Kweli kabisa....wakatishaji tamaa hawakosi so usiache kupambania unachokipenda coz wao sio tcu.......
Hata kama matokeo ni mabaya,kwa hzo kozi za udsm na mzumbe huwezi kupata kwa points hzo.labda jaribu huko kwingne.over
waambie ukweli..bhana .elimu ya sasa na ya zaman nitofauti.