Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,406
Hivi na wewe ni mmoja wa wale mlioenda kula ubwabwa wa Daud Bashite kutimiza mwaka mmoja wa maigizo Dar?Wakiambiwa watoe ushahidi wanaanza kujamba jamba manina hao
Hivi na wewe ni mmoja wa wale mlioenda kula ubwabwa wa Daud Bashite kutimiza mwaka mmoja wa maigizo Dar?Wakiambiwa watoe ushahidi wanaanza kujamba jamba manina hao
talking rubbish!Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?
Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Huna jipya mamlukiKwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?
Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
We naye unataka kutukanwa tuKwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?
Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Lakini huyu Dada siyo mtumishi wa umma wala hajaomba kazi hiyo, unataka aonyeshe vyeti kwa nini? OK, nani alianzisha huo uhakiki wa vyeti.Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?
Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
bashite ni wengi, ndio nini umeongea.Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?
Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Mtaishia kunawatu 2020 sioni mtu mwingine anayeweza kuiongoza hii nchi tofauti na magufuli. Subirini iajenge nchi then akitoka aje majaliwa, na baada ya hapo tutawafikiriawe jamaa kumbe una mdomo mchafu kiasi hiki jaribu kujibu vitu kwa hoja wacha kuwa na jazba wanaume halisi hatuko hivyo usirudie kosa 2020 wewe kijana mwenzangu
tuweke ushabiki pembeni niambie mpaka sasa kuna project gani kubwa imeshafanywa zaidi ya project ya kutumbua tumbua maadui? project zote zinazoendelea now nchini mchakato wake ulianzishwa na serikali ya jkMtaishia kunawatu 2020 sioni mtu mwingine anayeweza kuiongoza hii nchi tofauti na magufuli. Subirini iajenge nchi then akitoka aje majaliwa, na baada ya hapo tutawafikiria
ungekuwa kipofu kweli ningekubishia...ila kama hauoni na una macho ni bora yapofuliwe tu.tuweke ushabiki pembeni niambie mpaka sasa kuna project gani kubwa imeshafanywa zaidi ya project ya kutumbua tumbua maadui? project zote zinazoendelea now nchini mchakato wake ulianzishwa na serikali ya jk
Mwambie huyoWatanzania bana et atafute kazi...kazi ipi ambayo wewe unahitaji atafute na aifanye???? Mtaacha Lin kuwaelekeza watu wasiowahusu aina ya maisha mliyoyakrem?
Wewe unahtaj ushauri wa kujua mtu akichagua maisha yake n yakwake wewe hayakuhusu hata chembe...
Unapungua nn mange kushinda insta? Ulimsomesha kias kwamba unaona hafanyi kaz basi haupat rejesho la ada yako kwake?
Acha mambo za kipuuzi....
Mshauri bashte atukomeshe aweke vyeti wazi
Wewe kweli akili imeganda au mahaba kwa Bashite yamezidi.C ndio hapo sasa, sina uhakika kama Mange ana elimu ya kutosha "KUNA KUSOMA LKN USIELIMIKE" huenda huyu Mange yuko kwenye hilo kundi. Ni aibu kushupalia kitu ambacho hajafanyia utafiti, huo ni uvivu wa kufikiri. Nitamuelewa iwapo atakuwa na evidence juu ya hilo jambo.
TUJIULIZE:
1. Nani mwajiri wa RC Makonda
2. Je, wakati anafanyiwa vetting wahusika hawakuona cv zake
3. Kama mwajiri wake aliviona vyeti na kuridhika navyo wanaohoji wana hoja za msingi?
NAOMBA TUZIACHIE MAMLAKA ZINAZOHUSIKA KUSHUGHULIKIA SUALA HILO.
HAPO KUNA MAMBO MATATU:
1. Kiki za kisiasa
2. Wanaohusika wa dawa za kulevya kwa namna moja au nyingine wanataka kumdhoofisha kwenye vita dhidi ya mapambano ya dawa za kulevya
3. Huenda ameingia kwenye maslahi yao //
KUKOSA UBUNGE VITI MAALUM IMEKUWA NONGWA, JAMANI.
Wewe nawe umetekwa ufahamu na huyo kahaba!?Dada yako ni mama yako, achana na huyu mwanamke makini na msema kweli.
hamna project yeyote mpya kama ipo si ingeonekana? project zote za sasa ni za jk na ndo bado zinaendelea. nothing new. kama zipo taja acha ubishiungekuwa kipofu kweli ningekubishia...ila kama hauoni na una macho ni bora yapofuliwe tu.