Ushauri kwa Mange Kimambi

Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?

Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Kwani huyo Mange si ndo yule aliyeibuliwa na ITV Bingo miaka huyo au ni mwingine.
 
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?

Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
kama jinga tena hujielewi kabisa
Mange kwanza anajua kupangilia mipango yake vizuri
Kwanza anawajali sana watoto wake
Kazi anafanya na muda wa kuingia instag anao wa kutosha
 
Anamnanga Makounder kwenye social networks ilhali yeye na usomi wake vyeti kafungia kwenye kabati, labda huko US haajiriki, hana kwolifikeshen za kupata ajira rasmi, anachoweza huyu dada ni kupiga domo mitandaoni.

Hapa iisue sio "kwolifikeshen" za ajira rasmi marekani wala kufungia vyeti. Hilo watanzania wengi tu wamefanya na hapa haijawa issue hata siku moja. Kun Phd moja inaendesha teksi huko US na kwako hiyo si issue. Huyu mama mjibu hoja zake alizotoa na ushahidi alioweka uukosoe kwa kuweka data sahihi. Hivyo ndivyo tulofundishwa kwenye critical thinking. Na huyu mama kama kazi yake ni kupiga domo mtandaoni wewe unalipa bill zake huko aliko? Alishapitisha bakuli kwako ili aishi? Kufanya kazi hakuna mtu wa kukuambia shida zako zitapelekea ufanye kazi ili ulipe bills zako. Hii ni sababu cheap sana ya kufanywa watu wasiongee kama bunge live lilivyozimwa. Utuambie productivity imeongezeka kiasi gani kwa bunge kutokuwa live? sana sana watu wameomba malaika washuke kuzime mitandao waliyoitumia kupiga kampeni za kupatia madaraka baada ya kupta hawaitaki tena kisa inawakosoa. Wanasahau kuwa kwenye uchaguzi mwingine wataitaka. Wanabehave as if huo ulikiuwa uchaguzi wa mwisho may be that is how watafanya. Inaudhi.
 
Ulichoandika ni kweli kabisa.

Warumi wewe si warumi tena Bali ni wavumbi wa kujikomba komba kama bashite, angalau Mange ametufumbua macho kujua kuwa Dar si salama tena kielimu,na usisahau Dar ndio Tanzania yenyewe sasa kama inaongozwa na wajinga wajinga hiyo ni hatari kuliko hatari ya Mange kuto kufanya kazi na kushinda insta
 
Ungeandika bila kutumia ID fake uone kama hatutapata habari zako na kama ni bwabwa tutaambiwa. Chamsingi anaongea na anatoa evidence.wewe tupe evidence zako
 
Mbwa wewe nyoko wewe na familia yako, tena unikome mbwa mkubwa wewe, peleka upuuzi wako kwa hyo maiti Mwenzio mange, tena unikoma kahaba wewe ulitekufa
we jamaa kumbe una mdomo mchafu kiasi hiki jaribu kujibu vitu kwa hoja wacha kuwa na jazba wanaume halisi hatuko hivyo usirudie kosa 2020 wewe kijana mwenzangu
 
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?

Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Huyu dada hakuna tusi asilolijua duniani. Ndo maana anaolewa na kuachika. Hata mzungu alitema ngese maana mange ana mdomo mchafu afadhali ya tundu la choo cha shimo. Kama ni msomi halafu hana kazi basi ni sifuri km ulivyosema. Na kazi yake ni kuruka na wanau. E ovyo kama kuku malaya. Na nyie mnaofurahia kutukaniwa hadi rais wetu nawashangaa sana. Hamjui rais ni nembo ya taifa na akitukanwa tumetukanwa wote nchi nzima. Hivyo hatupaswi kufurahia huu ujinga hata dakika moja tu
 
vipi mbona umemsahau Le Mutuz. yeye anafanya Kazi gani? na hizo degree zake za kutosha
 
Wakiambiwa watoe ushahidi wanaanza kujamba jamba manina hao
C ndio hapo sasa, sina uhakika kama Mange ana elimu ya kutosha "KUNA KUSOMA LKN USIELIMIKE" huenda huyu Mange yuko kwenye hilo kundi. Ni aibu kushupalia kitu ambacho hajafanyia utafiti, huo ni uvivu wa kufikiri. Nitamuelewa iwapo atakuwa na evidence juu ya hilo jambo.

TUJIULIZE:
1. Nani mwajiri wa RC Makonda
2. Je, wakati anafanyiwa vetting wahusika hawakuona cv zake
3. Kama mwajiri wake aliviona vyeti na kuridhika navyo wanaohoji wana hoja za msingi?

NAOMBA TUZIACHIE MAMLAKA ZINAZOHUSIKA KUSHUGHULIKIA SUALA HILO.

HAPO KUNA MAMBO MATATU:
1. Kiki za kisiasa
2. Wanaohusika wa dawa za kulevya kwa namna moja au nyingine wanataka kumdhoofisha kwenye vita dhidi ya mapambano ya dawa za kulevya
3. Huenda ameingia kwenye maslahi yao //

KUKOSA UBUNGE VITI MAALUM IMEKUWA NONGWA, JAMANI.
 
Yule dada kiboko, msimpangie maisha jaman kwan lazma ukisoma kitu flani basi ukafanye kazi, maisha yake binafsi hayakuhus......ww kinachokuuma ni kuwaumbua watu
 
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?

Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Hahaha makonda itakua shemeji yako ww au mjomba
 
Back
Top Bottom