Kwa tume gani nijisumbue kwenda kupiga kura? nrne.Watu wakiamua wanabadilika siku Moja tu.
Naunga mkono hoja, kuna kura za Wasuku na Wakato lazima wampe mtu wao!.Anakura nyingi sana za kimya kimya.
Hadi atazikataa
Tatizo ACT inakubalika na watu wachache Sana so sifikirii Kama hata kura za wasukuma atazipata .Naunga mkono hoja, kuna kura za Wasuku na Wakato lazima wampe mtu wao!.
Kuna wengi machoni ni mitano tena lakini mioyoni ni kwa Msuku mwenzao na Mkato mwenzao!.
P
Don't underestimate ACT Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi KuwapuuzaTatizo ACT inakubalika na watu wachache Sana so sifikirii Kama hata kura za wasukuma atazipata .
Labda kwao kisesa.
Ngoja waoambane wapate ruzuku
Wacha tuone
Na vipi karma ya Mbowe kumfukuza Zitto CDM ? Imeshaanza kulipa?
Iliisha anza kuwashughulikia individual mmoja mmoja, wahusika wakuu wote kila mmoja wao amekula bakora zake za karma, Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!" na sasa Chadema ndio kinaelekea kwishney!. Kuna Uwezekano CHADEMA Inaelekea Kwishney? Zitto amebadili Online Trend...Na vipi karma ya Mbowe kumfukuza Zitto CDM ? Imeshaanza kulipa?
Kuhusu Chadema haitokufa is there to stay forever hata mwanao yule Pascal Jr anaijua CDM.Iliisha anza kuwashughulikia individual mmoja mmoja, wahusika wakuu wote kila mmoja wao amekula bakora zake za karma, Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!" na sasa Chadema ndio kinaelekea kwishney!. Kuna Uwezekano CHADEMA Inaelekea Kwishney? Zitto amebadili Online Trend...
Sasa Chadema chali!
P
Wala Mpina hana mvuto wowote kisiasa.nna uhakika Mpina akiitisha mkutano jangwani hapati watu hata elfu moja labda wasombwe na mafuso.Huyo ni project malum! Ana mipaka yake! Atauma na kupuliza.. Hawezi kuvuka mstari mwekundu kamwe
Ubongo wa nyumbu! Kila uchaguzi ukikaribia watu wanakuwa wameshasahau jinsi kura zinavyoibiwa. Baada ya uchaguzi utasikia malalamiko, uchaguzi ukikaribia tena wameshasahau.Anakura nyingi sana za kimya kimya.
Hadi atazikataa
Mpina Luhaga zingatia hilo, jitahidi usiongee sana kuhusu kuonewa kwako, watu wasione unatafuta sympathy. Wewe fanya mambo yako kimya kimya.....usilalamike, huyo mama ni mwepesi sana kama karatasi.Endeleani kukamata mwizi kimya kimya. Ila fanyieni kazi mambo yafuatayo mambo:
1. Mambo ya public speaking. Mpina watu wameshakuweke wewe kama ndio mpinzani. Sasa basi, kwa siku hizi chache, jitahidi uelewe kulitawala jukwaa. Maelezo yasiwe mengi sana ila yenye tija.
2. Tafuta sauti ya mamlaka. Sauti ambayo ukiongea watu waendelee kusikiliza hata kwenye daladala. Usiongee kama umeamka usingizini.
3. Tafuteni back up ya Zitto. Ili akizingua huko mbeleni msichoke. Maana Zitto hawezi mapambano ya siku zote 60.
Utamujeleza nani akubali kwamba ACT ya zitto ni chama cha upinzani?Endeleani kukamata mwizi kimya kimya. Ila fanyieni kazi mambo yafuatayo mambo:
1. Mambo ya public speaking. Mpina watu wameshakuweke wewe kama ndio mpinzani. Sasa basi, kwa siku hizi chache, jitahidi uelewe kulitawala jukwaa. Maelezo yasiwe mengi sana ila yenye tija.
2. Tafuta sauti ya mamlaka. Sauti ambayo ukiongea watu waendelee kusikiliza hata kwenye daladala. Usiongee kama umeamka usingizini.
3. Tafuteni back up ya Zitto. Ili akizingua huko mbeleni msichoke. Maana Zitto hawezi mapambano ya siku zote 60.
Mpina na Samia nani mgombea mzuri kwa Watanzania?Atapata watu kisesa, huko kwingine hafahamiki. Labda
awe anatembea na wasanii kama vile diamond na konde kuvutia watu wakimaliza kutumbuiza watu wanasepa
MpinaKati ya wagombea wote, nani mwenye Mvuto?