GE2025 Ushauri kwa Luhaga Mpina na ACT

GE2025 Ushauri kwa Luhaga Mpina na ACT

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
sidháni kama jamaa ni clever na hawajui waislamu, kama kweli wanampenda wangemwambia agombee ubunge kwani huko uwezekano wa kushinda ni mkubwa, sasa uraisi hatoshinda halafu, whats next for him kisiasa? anafikiri na kuamini zito kabwe anaweza kuamchia aongoze? ndiyo mwisho huo, kama kweli kuna uwezekano wa kushinda zito kabwe angeachia hiyo nafasi? i think the guy (mpina) is not smart na haangalii mbali anatumika kuijenga act kanda ya ziwa halafu watam-dump ...
 
Hakuna mbadala wa chadema au lissu nchi hii nyie endeleeni na maigizo tu. Huyo Mpina akipitia hata robo ya aliyopitia Lissu anarudi CCM kesho asubuhi. Usishangae akarudia ya Membe ghafla hafanyi campaign.
Sawa mnajimu wa jf tumekusikia
 
sidháni kama jamaa ni clever na hawajui waislamu, kama kweli wanampenda wangemwambia agombee ubunge kwani huko uwezekano wa kushinda ni mkubwa, sasa uraisi hatoshinda halafu, whats next for him kisiasa? anafikiri na kuamini zito kabwe anaweza kuamchia aongoze? ndiyo mwisho huo, kama kweli kuna uwezekano wa kushinda zito kabwe angeachia hiyo nafasi? i think the guy (mpina) is not smart na haangalii mbali anatumika kuijenga act kanda ya ziwa halafu watam-dump ...
Hata wewe pia unaweza kugombea huo ubunge yeye ameamua kugombea uraisi
 
Back
Top Bottom