Ushauri kwa kipindi cha Clouds TV kiitwacho Clouds 360

Ushauri kwa kipindi cha Clouds TV kiitwacho Clouds 360

nexus white

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2011
Posts
210
Reaction score
81
Kwanza nitoe pongezi kwa kuanzishwa kwa kipindi chenu, ila ninyi mnaokiendesha kipindi hicho hamna weledi wala utaalamu wa kutoa ufafanuzi wa kitu, yaani mnajikuta mnachanganya yaani kwa ufupi HAMUELEWEKI. Tafuteni wataalamu au alikeni watu wenye upeo na uzoefu waje wafafanue vitu na ninyi mbaki kuwa waongozaji tu.

Pia suala la ratiba liko ovyo, hamjaweza kupanga muda wa vipengele vyenu, mfano kunani tanzania au global village ni kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi, yaani mkijisikia tu, na suala la mwisho ni usomaji wenu wa jumbe mbalimbali kutoka kwa watazamaji wenu, kama hamuwezi kusoma mnaziacha na siyo msome zinazowafurahisha na kuwasifia ninyi tu

BADILIKENI
 
Yule dada sidhani kama alimaliza form 4...anaboa...hajui kitu
.hajui anachofanya.likipindi linaboaaaa
 
Tatizo la yule dada kija unakuta hana uelewa mzuri au wa kutosha na maada lakini anakomalia anahc hupo 100% sure,ushauri ajaribu kusoma/kutafiti mada kabla ya kutoa maoni yake atakuwa frsh.
 
Yule dem kimeo kanifanya niache kuangalia kile kipindi. Hata yule jamaa anayesoma vichwa vya magazeti hafai kabisa. Kwa ufupi kile kipindi hawajajipanga kabisa.
 
Kija na team yako.....chukueni changamoto hizo na mzifanyie kazi
 
hata ile style yao ya watangazaji kubishana ktk majadiliano,wamei clone toka ktk kipindi chao cha radio cha power breakfast.yaani ni kupiga domo tu nonsensically.ujuaji wa kijinga.

dress code is very poor,mtu anavaa rangi ya nguo anayojisikia.kuna rangi zingine sio common kuvaliwa na tv anchors anapokuwa hewani.kiufupi jamaa wanamapungufu mengi mno,tukiyaweka yote hapa tutajaza server ya jf.
 
Kuna huyo Jamaa anaitwa Sasala(?)...Sikumbuki jina lake....hana haiba ya utangazaji kabisa...hata kusoma magazeti kama ana kimuemue...Yule demu ndio kabisaaaaaaa..Uelewa wa mambo 000....Hawajui kupangilia mada na jinsi ya kujadili...Niliwangalia Mara kadhaa sijarudia tenaaa
 
hata ile style yao ya watangazaji kubishana ktk majadiliano,wamei clone toka ktk kipindi chao cha radio cha power breakfast.yaani ni kupiga domo tu nonsensically.ujuaji wa kijinga.

dress code is very poor,mtu anavaa rangi ya nguo anayojisikia.kuna rangi zingine sio common kuvaliwa na tv anchors anapokuwa hewani.kiufupi jamaa wanamapungufu mengi mno,tukiyaweka yote hapa tutajaza server ya jf.

Nalo ni neno kuu
 
Kuna huyo Jamaa anaitwa Sasala(?)...Sikumbuki jina lake....hana haiba ya utangazaji kabisa...hata kusoma magazeti kama ana kimuemue...Yule demu ndio kabisaaaaaaa..Uelewa wa mambo 000....Hawajui kupangilia mada na jinsi ya kujadili...Niliwangalia Mara kadhaa sijarudia tenaaa

Yaani hawaeleweki kabisa
 
Usiwe mzito wa kufikiri, kwani unapotoa ushauri wa kitu unazuiliwa au inakuwaje

Umeshindwa kutumia akili yako na muda wako kushauri vitu vya msingi kwenye maisha yako. Unashauri clouds? Stop worrying about the wrong people.
 
Mi kinachoniboa clouds ni ile background ya habari. Utadhani wasoma habari wako jalalani
 
Kija ni zigo la miba..nliwahi kucheki hicho kipindi mara mbili tu ila nilichefuka...we kija punguza ujuaji mpaka unaboa..afu na wasiwasi na elimu yakoo!"
 
Kipindi cha kijinga sana,jamaa wako sharo sana full kuropoka vitu vingine hawavijui kabisa
Hao jamaa hawana weledi hata kidogo,na kile kidada kiropokaji.
 
Toeni maoni kwa mpangilio ili tujue tunaanza kutatua lipi, kila mmoja anaongea vitu vyake tu.

Ahsanteni kwa kutazama vipindi vyetu.

Msichoke kutubadilisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom