MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,413
- 4,888
Kamwaambie JPM huo ukweli unaojuaKwanini hampendi kuambiwa ukweli
Kamwaambie JPM huo ukweli unaojuaKwanini hampendi kuambiwa ukweli
Jpm sio KilazaKamwaambie JPM huo ukweli unaojua
Si kilaza kwa vigezo vipi? Kilaza yukoje unavyomwelewa?Jpm sio Kilaza
Unafikiri Mbowe hajafika bei kama alivyojitamba wakati amtuhumu ZZK?...kwa hii trend na chadema ilipofikia hautaamini kinachoendelea...leo ndani ya chadema na ukawa..wanamikakati,wasemaji na wenye maamuzi ni "chademaccm"Mrema mlimmaliza alipojisalimisha Lumumba. Na vivyo hivyo John Cheyo. Kwa CDM mnpoteza muda, lakini si kuna chochote kiti lumumba
Naona unajifurahisha kijana!...ila siku moja ukiujuwa mchezo uliyopo utajiona mjinga kweli!Ninyi ndo sikio LA kufa, kila siku twakuambieni hamtaki, bahati mbaya sana hata huyo jini wenu anowasaidiaga tushamjua, tunawapaiga pini
creating
Do you probably mean forming a government Sir?.Amini usiamini huwa sielewi Julian alipata distinction gani katika masomo yake maana she is reasoning as if has never ever been to school!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
- The first objective of any political party including CCM is to rule the country by creating a government. CHADEMA is not spared as it is not a charity organization it wants to rule. Msomi kama wewe ukishangaa chama kuwa more ambitious kuuda serikali inakuwa unaonyesha sehemu ya ujuwa wako katika siasa. Your lovely party imefanya mambo mengi sana mabaya na ya ajabu sana to insure it remains in power because it is its main and foremost objective.
- Will respond on other raised criticisms once you acknowledge your understanding of main and foremost political party objective as don't like to go on wasting time and precious calories on a politically dead body of like.
Umesahau pia kumfundisha matumizi sahihi ya lugha...Mbowe must be disposed ni lugha ya wapi! Hivi huko shule alisomea ujinga, ha ha haaa..!
Nahisi Juliana alikuwa na extra relationship na Mbowe!!
hapa sio Siasa tu!!
Wamehamia nyumbani, walikojaa vilaza.Hii mijitu iliyotokea chadomo na kuhamia CCM ni bure tu.
Umeona...eh! walikohamia ujinga ni sifaShule ilienda kusomea ujinga tu.
Ni mwanamke, mbunge wa viti maalum na hayo ndiyo majukumu maalumu yenyewe huko CCM.Mwanamke, mbunge, una majukumu kedekede ya kufanyia kazi leo unamuongelea...
Ni mwanamke, mbunge kwa upendeleo na hapotezi muda, anatekeleza majukumu.Halafu mbunge tena mwanamke unapoteza muda kuliongelea.
Labda usingekuwa mwanamke ungeelewa😀😀😀!!!Sielewi kwanini.
Nami pia nasubiri nikusikie nini hicho ambacho kinadhihirisha Juliana hajatoa pointi. Kwa maoni yangu katoa hoja jarabati. Many of us had misgivings as soon as the Pied Piper of Hammelin moved to CDM. Frankly, our fears have been confirmed. My reading of Juliana's post is that CDM committed tactical and strategic errors, no, blunders. Nowhere in Juliana's writing do I detect a lack of understanding of the main objective of a political party.Amini usiamini huwa sielewi Julian alipata distinction gani katika masomo yake maana she is reasoning as if has never ever been to school!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
- The first objective of any political party including CCM is to rule the country by creating a government. CHADEMA is not spared as it is not a charity organization it wants to rule. Msomi kama wewe ukishangaa chama kuwa more ambitious kuuda serikali inakuwa unaonyesha sehemu ya ujuwa wako katika siasa. Your lovely party imefanya mambo mengi sana mabaya na ya ajabu sana to insure it remains in power because it is its main and foremost objective.
- Will respond on other raised criticisms once you acknowledge your understanding of main and foremost political party objective as don't like to go on wasting time and precious calories on a politically dead body of like.
Mtayapanga na kuyapangua, lakini keshawaeleza ukweli.Huyu mwanamke anawashwa na CDM na ubunge haumkuni pawashapo
Ndio mwaka huu anasoma hekaya (fiction) ya Mario Puzzo na kuifanya rejea,upuuzi mtupu
Get this in your thick head CHADEMA haihitaji ushauri wa "oil chafu" kama wewe
Inahitaji kujitoa ufahamu ili kuifahamu dira ya Chadema kwa sasa