Ushauri kwa Halima Mdee

Usimpangie vyama vya siasa viko vingi siyo tu chadema .Chadema ya sasa inaongozwa na mazwazwa
 
Hamna mwanasiasa alieniuma kama yule dogo wa arumeru joshua nassari. Dogo alikuwa ana potential kubwa sana kuja kuwa giant wa siasa za Tanzania... sema ndio hivyo tamaa za vyeo zikamuingia leo hii hata hajulikani yupo wapi!
ajulikan halipo, wewe mwenzako anachapa kaz unakuja kusema ajulikan, si amechukua na form leo au. unadhan amepoteana km wewe huku ujielewi
 
Halima labda ajaribu bahati yake ya ubunge via CCM au CHAUMMA
 
Aende tu na yeye mi ms*nge kama mwenye kiti wa chama atacho amia
 
Avumilie akiwa CHAMA gani? Hapo alipo yupo tu, Aende tu CCM akaendeleze kuijinga nchi
 
..namshauri astaafu siasa.

..uamuzi wa kwenda bungeni bila ridhaa ya chama chake, hawezi kuukwepa, au kuurekebisha.
Chama chake kipi tena? Chadema wameisha mtimua na sidhani kama wana nia nae. Uzuri bado ana options. Ajiunge na ACT-WAZALENDO au Chaumma. Wote hao ni wapinzani. Lakini hata akienda CCM anaweza kuwa Mpina mwengine. Au anaweza kuwa mwana harakati huru. Options ziko nyingi tu.

Amandla...
 
Hata wakipata ubunge thamani yao itakuwa imeshuka sana. Na huko waliko itabidi wawe chawa kuliko chawa original.

Legacy yao wameiharibu na itakuwa vigumu sana kuikarabati.

Amandla...
 

..labda chaumma au act kutamfaa zaidi.

..lakini wabunge 19 wana kazi ya ziada kurudisha imani ya wapenda mabadiliko waliyopewa wakati wakiwa chadema.

..nadhani wananchi bado wanatamani kusikia toka kwa wabunge 19 hatua kwa hatua kwa utaratibu gani walifika bungeni.
 
Halima kwa sasa sio mwanachama wa CHADEMA. Alishafukuzwa yeye na wale wenzie 18 ambao wanatengeneza kile kinachitwa covid 19.
Anachopaswa kufanya ni kuomba radhi na aombe tena uanavhama upya. Anaweza akakubaliwa au kukataliwa. Kwa alivuo sasa na misimamo ya mwenyekiti, ushauri wako hauna maana.
 
CHADEMA sasa hivi ni Chama tishio na kina wanachama wapatao millioni 16 na kinapendwa na wananchi.
We unaota kweli, chama kinajifia we unasema eti tishio, kinamtisha nani? Hiyo njia ndio waliopitishwa nccr na cuf na hakuna alie survive. Ccm ni dude hatari sana.
 
Lisu hahitaji kusaidiwa, katafute hao mnaowasaidiaga ndio uwatishe.
 
We unaota kweli, chama kinajifia we unasema eti tishio, kinamtisha nani? Hiyo njia ndio waliopitishwa nccr na cuf na hakuna alie survive. Ccm ni dude hatari sana.
Mlifanikiwa zamani, kizazi hiki mmeukalia. Na kwa kukusaidia tu, CUF ilikufa baada ya Maalim Seif kuihama. Cdm inaweza kupotea mtu mwenye misimamo kama Lisu akiondoka, na kikaongozwa na mtu kama Mbowe.
 
Ajaribu kilimo na ufugaji miaka 20 bungeni inamtosha atafute na mme aolewe
 
Na matusi mliyomtukana miaka yote hii mitano unaisemea.
 
Mlifanikiwa zamani, kizazi hiki mmeukalia. Na kwa kukusaidia tu, CUF ilikufa baada ya Maalim Seif kuihama. Cdm inaweza kupotea mtu mwenye misimamo kama Lisu akiondoka, na kikaongozwa na mtu kama Mbowe.
Mbona tayari ccm wameshafanikiwa kuiua chadema, chadema kwisha habari yake, wenye akili wote wameshaondoka chadema yamebakia manyumbu tu yanadanganyana, mnaimba no reform no election wakati watu wanachukua fomu kushiriki uchaguzi.
 
Mbona tayari ccm wameshafanikiwa kuiua chadema, chadema kwisha habari yake, wenye akili wote wameshaondoka chadema yamebakia manyumbu tu yanadanganyana, mnaimba no reform no election wakati watu wanachukua fomu kushiriki uchaguzi.
Nasema hivi, kama mlifanikiwa basi ni zamani. Kwa sasa kizazi kimeamka. Watu kuchukua fomu ndio dalili za cdm kufa? Ccm inatakiwa iiue cdm kwenye uwanja wa siasa na box la kura. Vyombo vya dola havitakaa viweze kwa kizazi kilichoamka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…