Ushauri kwa ewe Kijana unayesaka Ajira.

Ushauri kwa ewe Kijana unayesaka Ajira.

Mada yako ni kweli, (inter view) inatuagusha sana. Kosa ni elimu yetu au kutojiamini? Mfano Jumuia ya Africa mashariki ukiitwa inter view, anaedahili haangalii umetoka wapi wewe faulu utakuja Wakeya, Waganda wanachukuliwa kwa wingi, kuna kulalamika upendeleo? Pamoja na lugha hata kujiamini tujitahidi. Mini labda kaushauri tujikite katika lugha hivi East Africa wanadahili kwa lugha gani? Basi zingatia hiyo lugha. Lugha ikipanda na kujiamini utapita ila fani yako iwe kichwani .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubalini tu wasaka ajira hilo lenu lifanyieni kazi. Wabongo wasomi wengi kwa msaada wa google wababaishaji sana. Mm sugu n kitaa tu
 
Back
Top Bottom