kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 2,303
- 2,767
POINT!!Wazungu ndio wameleta hio dini na wao ndio wenye hatimiliki na dini hio hata makao makuu yapo kwao na wenye dini Yao ndio wameamua kuiuza kwa freemason sasa sisi weusi tutapingaje hali hatuna hatimiliki.
Labda tujjtenge nao.
Tufute uhusiano na Vatican
Ila Kwa haya yanayoendelea huenda asipatikane tena papa kutoka nje ya ulayaMababa,
Huu ni ushauri mdogo kwenu maana naamini mmejaa hekima na elimu ya kutosha kufahamu kinachoendelea. Ombi langu kwenu ni moja tu!
Msitoke kutetea hiyo document iliyotolewa na Vatican bali simamieni mafundisho ya Kanisa tuliyopokea ama kwa maandishi au kwa mapokeo kama anavyosema mtume Paulo.
Ni vizuri kuongea kuliko kukaa kimya huku waamini wakiwa kwenye mtanziko wa yanayoendelea kwenye vyombo vya habari na mitandao.
Kwa waamini wenzangu, kama huwezi kuipata na kuisoma mwenyewe hiyo document usitoe maoni yoyote kwa kupitia taarifa pekee za vyombo vya habari.
Hatari zaidi ni kuwasikiliza watu ambao hawalijui Kanisa, hawajui mafundisho ya Kanisa na wengine wamejaa chuki hata kabla ya taarifa kama hizi.
Uhai wa Kanisa upo mikononi mwa Kristo na yeye mwenyewe alishatuhakikishia Kanisa halitoshindwa. Let's watch and pray [emoji120]
bwana utamu,,,inabidi uwape hawa jamaa utamu,,manake wanapenda kufanyiwa,,wamepotea kabisaKwisha habari yenu
Yaani mnauona uchoko na usagaji kama vile jambo jema
Mmepotea na kupotoka hampo kwenye njia sahihi mnatakiwa mujitathmini
Heheeeeeebwana utamu,,,inabidi uwape hawa jamaa utamu,,manake wanapenda kufanyiwa,,wamepotea kabisa
ahahaaaaaa!!!!,ata mimi nilikuwa nawapa utamu wangu wanawake,lakini itabidi na hawa niwaonje japo kichwa tu!!!Heheeeeee
Mie utamu wangu nawageia wanawake mkuu
Tena kule alipotoa amri mungu wala sio kwengne
Heheeeeee
Binafsi mwanangu akiwa shoga huyo ni marehemu kwanjia yoyote.Mkuu siungi mkono wala kukubaliana na habari ya ushoga, ila twende kwenye uhalisia, hatuombei iwe hivyo na Mungu aepushilie mbali lakini ndio tuseme imetokea mwanao amekuwa shoga, utatumia approach gani kuliendea swala hili!
Mkuu hii changamoto ya ushoga ni kama ilivyo kuwa janga la Ukimwi miaka ya 90. Ukimwi sasa hivi sio habari ya kutisha kama mwanzo! Tuwe na Akiba ya maneno!
Dhambi mkuu Allah katuumbia wanawake tena wazuri kwel kwel na wakuvutiaahahaaaaaa!!!!,ata mimi nilikuwa nawapa utamu wangu wanawake,lakini itabidi na hawa niwaonje japo kichwa tu!!!
Vyovyote iwavyo uchoko na usagaji ulaabiwe kwa nguvu zooteMkuu siungi mkono wala kukubaliana na habari ya ushoga, ila twende kwenye uhalisia, hatuombei iwe hivyo na Mungu aepushilie mbali lakini ndio tuseme imetokea mwanao amekuwa shoga, utatumia approach gani kuliendea swala hili!
Mkuu hii changamoto ya ushoga ni kama ilivyo kuwa janga la Ukimwi miaka ya 90. Ukimwi sasa hivi sio habari ya kutisha kama mwanzo! Tuwe na Akiba ya maneno!
ah!! lazima nimtafute mkatoliki mmoja alaf nimchomeke mkuu!!,nikimaliza natubu au unanishauri vipi?Dhambi mkuu Allah katuumbia wanawake tena wazuri kwel kwel na wakuvutia
Ukitaka wanene wembamba weusi weupe tena ule waasili sio wakujichubua wapo
Hawa waachwe na laana zao ama waambiwe madhara yake pengine wanaweza wakaepukana nayo
Mkuu siungi mkono wala kukubaliana na habari ya ushoga, ila twende kwenye uhalisia, hatuombei iwe hivyo na Mungu aepushilie mbali lakini ndio tuseme imetokea mwanao amekuwa shoga, utatumia approach gani kuliendea swala hili!
Mkuu hii changamoto ya ushoga ni kama ilivyo kuwa janga la Ukimwi miaka ya 90. Ukimwi sasa hivi sio habari ya kutisha kama mwanzo! Tuwe na Akiba ya maneno!
Heheeeeee waache walane wenyewe kwa wenyewe ijapokua haipendezi maana washabarikiwaah!! lazima nimtafute mkatoliki mmoja alaf nimchomeke mkuu!!,nikimaliza natubu au unanishauri vipi?
da!!! kwani kuna marijali tena mle?Heheeeeee waache walane wenyewe kwa wenyewe ijapokua haipendezi maana washabarikiwa
Hakuna ujanja ujanja kwenye uislamu hapo ndipo nawasifu kwasababu A huwa inatamkwa A na haibadilikiMnaletewa ugaidi wa imani mnatakiwa muamke
Kwenye uislam hakuna huu upuuzi karibuni sana hamjachelewa
Roman Catholic Church haifanyi kazi kwa taharifa za vijiweniMababa,
Huu ni ushauri mdogo kwenu maana naamini mmejaa hekima na elimu ya kutosha kufahamu kinachoendelea. Ombi langu kwenu ni moja tu!
Msitoke kutetea hiyo document iliyotolewa na Vatican bali simamieni mafundisho ya Kanisa tuliyopokea ama kwa maandishi au kwa mapokeo kama anavyosema mtume Paulo.
Ni vizuri kuongea kuliko kukaa kimya huku waamini wakiwa kwenye mtanziko wa yanayoendelea kwenye vyombo vya habari na mitandao.
Kwa waamini wenzangu, kama huwezi kuipata na kuisoma mwenyewe hiyo document usitoe maoni yoyote kwa kupitia taarifa pekee za vyombo vya habari.
Hatari zaidi ni kuwasikiliza watu ambao hawalijui Kanisa, hawajui mafundisho ya Kanisa na wengine wamejaa chuki hata kabla ya taarifa kama hizi.
Uhai wa Kanisa upo mikononi mwa Kristo na yeye mwenyewe alishatuhakikishia Kanisa halitoshindwa. Let's watch and pray [emoji120]
Hatuwashangai, hamjaanza leo.Mababa,
Huu ni ushauri mdogo kwenu maana naamini mmejaa hekima na elimu ya kutosha kufahamu kinachoendelea. Ombi langu kwenu ni moja tu!
Msitoke kutetea hiyo document iliyotolewa na Vatican bali simamieni mafundisho ya Kanisa tuliyopokea ama kwa maandishi au kwa mapokeo kama anavyosema mtume Paulo.
Ni vizuri kuongea kuliko kukaa kimya huku waamini wakiwa kwenye mtanziko wa yanayoendelea kwenye vyombo vya habari na mitandao.
Kwa waamini wenzangu, kama huwezi kuipata na kuisoma mwenyewe hiyo document usitoe maoni yoyote kwa kupitia taarifa pekee za vyombo vya habari.
Hatari zaidi ni kuwasikiliza watu ambao hawalijui Kanisa, hawajui mafundisho ya Kanisa na wengine wamejaa chuki hata kabla ya taarifa kama hizi.
Uhai wa Kanisa upo mikononi mwa Kristo na yeye mwenyewe alishatuhakikishia Kanisa halitoshindwa. Let's watch and pray [emoji120]