Wazo Langu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 1,381
- 842
Tumewaza kitu kimoja.Maelezo yote aliyoyatoa mdau ni kama vile anajitangaza nini anacho,lakini huyu anaonekana amepata vijisenti anataka kununua gari lake la kwanza na anaomba ushauri ili amiliki hii subaru.Achana nalo kijana unayeanza maisha,litakufirisi kwa mafuta halafu very delicate ingawa mwendo linamudu.
Tunakusubiri leba utuzalishe,usisahau gloves.nyie vp nadhani ni wajawazito nyie mnapeana habari za mimbamimba
View attachment 176084Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana, tumefanikiwa kujenga nyumba 4na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya tanzania ,licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa!!
View attachment 176084Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana, tumefanikiwa kujenga nyumba 4na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya tanzania ,licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa!!
kaka linabwia mafuta hiloooooo mi naona tutasumbuana kaka
View attachment 176084Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana, tumefanikiwa kujenga nyumba 4na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya tanzania ,licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa!!
Mwana nimekugongea like hapo juu. View attachment 176134 ulioa ukiwa na miaka 14
Ulifunga ndoa mwaka 2008 kisha 2014 ukamaliza form 6.
Mwana nimekugongea like hapo juu. View attachment 176134 ulioa ukiwa na miaka 14
Ulifunga ndoa mwaka 2008 kisha 2014 ukamaliza form 6.
Wewe na huyo kongosho wako ni waarabu wa pemba