Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Wakuu ningependa kutoa ushauri wa kujifunza technology kutokana na dunia tuliyo nayo kwa sasa. Kwa mfano kipindi hiki Ni kigumu kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii kwa Nchi ya Tanzania.
Hivyo kwa sasa watumiaji wa VPN wamekngezeka. Hivyo tujifunze ugunduzi na ufanisi Katika Technology.
Hivyo kwa sasa watumiaji wa VPN wamekngezeka. Hivyo tujifunze ugunduzi na ufanisi Katika Technology.