Ushauri kuhusu Mapenzi..

relato

JF-Expert Member
Mar 20, 2017
689
986
Wakuu,
Many times nimekuwa nikifuatwa na Marafiki zangu pengine Marafiki zangu wanawaleta Marafiki zao niwape ushauri kuendana na hali ngumu wanazozipitia hasa katika mapenzi.

Wapo walioachwa,wana maumivu makali Sana mioyoni mwao. Wapo Hata walioko katika njia panda na kuniuliza Lato nifanye nini?
Kwa mfano:-

Nakumbuka kuna kipindi ilikuwa sikukuu ya Christmas (kipindi nipo chuo) nikarudi zangu nyumbani nilikuwa nakaa jiji mmoja na sehemu niliyokuwa ninasoma.

Rafiki yangu Ali break up na mpenzi wake,aliniomba nirudi haraka Sana ananihitaji Ana shida Kubwa mpaka akawa analia kwenye simu,huruma tumeumbiwa binaadamu,hasa pale rafiki,ndugu au jamaa anapoongea in breaking voice (u feel like it's your burden too).

Aliponiona akanikumbatia akaniambia he is gone. What can I do?,akataka kulia nikamuuliza unajisikia kufanya nini sasa hivi??. Akaanza kulia huku akija kunikumbatia.

Nikamfuta machozi kwanza,nikamwambia subiri. Nikatoka nje nikatafuta Bajaj tukatoka maeneo ya pale,nikampeleka ufukweni,tukakaa Kama dakika 30 hakusema kitu,baadae akaniita jina langu(...) Relato,akashindwa kuongea machozi yakaanza kumtoka,then akajishika kooni pake nikamwambia...
First: nisikilize
Second: don't say a word.
Third: u want to cry,then please cry and sob.
Alilia Sana kwa muda mrefu kiasi then akanyamaza,nikampa maji ya kunywa akanywa Lita nzima kwa mikupuo miwili tu.

Nikamshika mkono,tukaamza kutembea akinielezea kisa. Huku akitokwa na machozi kidogo Sana ambayo hayakumzuia kuongea.

Akaniambia,I'm virgin,hawezi kuwa na Mimi kwa sababu nilimwambia hatutaweza kusex mpaka tufunge ndoa,mwanzoni alisema sawa,na tukawa tunatembeleana,we have lunch and supper sometimes, we kiss dry and wett kiss then kila mtu anarudi hostel kwao. Akasema about a couple of months ago he acts weird. Yaani akabadilika sana,then Jana akanambia anataka Ku confess some of things,like jamaa anakunywa pombe of which alimwambia hanywi,then akamwambia hawezi bila sex which means ana f@ckmate and they did many times,akamwambia there is a lot of series of cheating episodes, naona haunifai na sifai kuwa na wewe,siwezi kusubiri mzigo mpaka ndoa kisa you're virgin. That's the reason. Kwa ufupi Sana ni hivo.

Nikaongea nae kwa muda mrefu Sana lakini since tumetoka pale she was strong akawa anajiuliza sasa nilikuwa nalia nini?

Huwa sijui ninayatoaga wapi maneno ya ku encourage, yenye hekima na busara ambayo yanakuwa nafuu kwa mtu.

Ushauri wangu,sio lazima iwe jambo la mapenzi lakini. kuieleza shida ni mojawapo ya kupunguza shida. matatizo kills us inside,yanaleta upweke,fedheha na mambo mengi mengi.

Choose someone you can talk to,upate amani ya moyo,na upate ushauri wa kutatua jambo.

Nb: sio kila mtu yupo tayari kushirikishwa au kusikiliza au kusaidia matatizo ya mtu mwingine. So be carefully.

Nawapenda.
 
Quick reply: mtoa mada jinsia yako tafadhali, kama hautojali.

Nmekumbuka! ,samahani bundle langu , muda wake unakaribia kuisha, wacha niongeze nitarudi tena
 
Unlucky, wale watu wema kwa kushauri huwa wanazidiwa zaidi na mambo yao wenyewe. Yaani, unakuta ni mshauri mzuri sana lakini yakimkuta yaliyomkuta mwenzake yanamuathiri sana kupita hata yule.

Mwenzake kama amelia na kuhuzunika sana, yeye atajaribu na njia mbadala za kujiondoa uhai.

They can't handle what they advice others.
 
Unlucky, wale watu wema kwa kushauri huwa wanazidiwa zaidi na mambo yao wenyewe. Yaani, unakuta ni mshauri mzuri sana lakini yakimkuta yaliyomkuta mwenzake yanamuathiri sana kupita hata yule.

Mwenzake kama amelia na kuhuzunika sana, yeye atajaribu na njia mbadala za kujiondoa uhai.

They can't handle what they advice others.
Hilo halina ubishi, mara nying pia nmeshauri watu mbalmbal nawakapona ila yanaponikuta mm mambo yte nlyomshaur afanye il kupoteza mawazo juu ya jambo hilo huw naona haztafanya kazi,
 
Mara nyingi mtu akiwa na stress mfn za mapenzi- utaskia mtu anakshauri ji-keep busy na kazi,soma vitabu,jichanganye na marafiki,sikiliza muziki, toka out,to me siwezi kufanya hata kimoja mfano niseme nisome vitabu, au nisikilize muziki lazma wazo litakuja nafanya hichi kitu sahiv kwaajr ya nini-jibu litakuwa C kwaajr ya ile stress, hapox2 nagail kufanya nabak kimya nagugumia maumivu.
 
Unlucky, wale watu wema kwa kushauri huwa wanazidiwa zaidi na mambo yao wenyewe. Yaani, unakuta ni mshauri mzuri sana lakini yakimkuta yaliyomkuta mwenzake yanamuathiri sana kupita hata yule.

Mwenzake kama amelia na kuhuzunika sana, yeye atajaribu na njia mbadala za kujiondoa uhai.

They can't handle what they advice others.
Ni kweli kabisa
 
ddd1f7cab7297a3c0b9030120d83ab5c.jpg
 
Wakuu,
Many times nimekuwa nikifuatwa na Marafiki zangu pengine Marafiki zangu wanawaleta Marafiki zao niwape ushauri kuendana na hali ngumu wanazozipitia hasa katika mapenzi.

Wapo walioachwa,wana maumivu makali Sana mioyoni mwao. Wapo Hata walioko katika njia panda na kuniuliza Lato nifanye nini?
Kwa mfano:-

Nakumbuka kuna kipindi ilikuwa sikukuu ya Christmas (kipindi nipo chuo) nikarudi zangu nyumbani nilikuwa nakaa jiji mmoja na sehemu niliyokuwa ninasoma.

Rafiki yangu Ali break up na mpenzi wake,aliniomba nirudi haraka Sana ananihitaji Ana shida Kubwa mpaka akawa analia kwenye simu,huruma tumeumbiwa binaadamu,hasa pale rafiki,ndugu au jamaa anapoongea in breaking voice (u feel like it's your burden too).

Aliponiona akanikumbatia akaniambia he is gone. What can I do?,akataka kulia nikamuuliza unajisikia kufanya nini sasa hivi??. Akaanza kulia huku akija kunikumbatia.

Nikamfuta machozi kwanza,nikamwambia subiri. Nikatoka nje nikatafuta Bajaj tukatoka maeneo ya pale,nikampeleka ufukweni,tukakaa Kama dakika 30 hakusema kitu,baadae akaniita jina langu(...) Relato,akashindwa kuongea machozi yakaanza kumtoka,then akajishika kooni pake nikamwambia...
First: nisikilize
Second: don't say a word.
Third: u want to cry,then please cry and sob.
Alilia Sana kwa muda mrefu kiasi then akanyamaza,nikampa maji ya kunywa akanywa Lita nzima kwa mikupuo miwili tu.

Nikamshika mkono,tukaamza kutembea akinielezea kisa. Huku akitokwa na machozi kidogo Sana ambayo hayakumzuia kuongea.

Akaniambia,I'm virgin,hawezi kuwa na Mimi kwa sababu nilimwambia hatutaweza kusex mpaka tufunge ndoa,mwanzoni alisema sawa,na tukawa tunatembeleana,we have lunch and supper sometimes, we kiss dry and wett kiss then kila mtu anarudi hostel kwao. Akasema about a couple of months ago he acts weird. Yaani akabadilika sana,then Jana akanambia anataka Ku confess some of things,like jamaa anakunywa pombe of which alimwambia hanywi,then akamwambia hawezi bila sex which means ana f@ckmate and they did many times,akamwambia there is a lot of series of cheating episodes, naona haunifai na sifai kuwa na wewe,siwezi kusubiri mzigo mpaka ndoa kisa you're virgin. That's the reason. Kwa ufupi Sana ni hivo.

Nikaongea nae kwa muda mrefu Sana lakini since tumetoka pale she was strong akawa anajiuliza sasa nilikuwa nalia nini?

Huwa sijui ninayatoaga wapi maneno ya ku encourage, yenye hekima na busara ambayo yanakuwa nafuu kwa mtu.

Ushauri wangu,sio lazima iwe jambo la mapenzi lakini. kuieleza shida ni mojawapo ya kupunguza shida. matatizo kills us inside,yanaleta upweke,fedheha na mambo mengi mengi.

Choose someone you can talk to,upate amani ya moyo,na upate ushauri wa kutatua jambo.

Nb: sio kila mtu yupo tayari kushirikishwa au kusikiliza au kusaidia matatizo ya mtu mwingine. So be carefully.

Nawapenda.
kumbe mtoa mada ni mdada, mi nilidhani mwanaume
 
Wakuu,
Many times nimekuwa nikifuatwa na Marafiki zangu pengine Marafiki zangu wanawaleta Marafiki zao niwape ushauri kuendana na hali ngumu wanazozipitia hasa katika mapenzi.

Wapo walioachwa,wana maumivu makali Sana mioyoni mwao. Wapo Hata walioko katika njia panda na kuniuliza Lato nifanye nini?
Kwa mfano:-

Nakumbuka kuna kipindi ilikuwa sikukuu ya Christmas (kipindi nipo chuo) nikarudi zangu nyumbani nilikuwa nakaa jiji mmoja na sehemu niliyokuwa ninasoma.

Rafiki yangu Ali break up na mpenzi wake,aliniomba nirudi haraka Sana ananihitaji Ana shida Kubwa mpaka akawa analia kwenye simu,huruma tumeumbiwa binaadamu,hasa pale rafiki,ndugu au jamaa anapoongea in breaking voice (u feel like it's your burden too).

Aliponiona akanikumbatia akaniambia he is gone. What can I do?,akataka kulia nikamuuliza unajisikia kufanya nini sasa hivi??. Akaanza kulia huku akija kunikumbatia.

Nikamfuta machozi kwanza,nikamwambia subiri. Nikatoka nje nikatafuta Bajaj tukatoka maeneo ya pale,nikampeleka ufukweni,tukakaa Kama dakika 30 hakusema kitu,baadae akaniita jina langu(...) Relato,akashindwa kuongea machozi yakaanza kumtoka,then akajishika kooni pake nikamwambia...
First: nisikilize
Second: don't say a word.
Third: u want to cry,then please cry and sob.
Alilia Sana kwa muda mrefu kiasi then akanyamaza,nikampa maji ya kunywa akanywa Lita nzima kwa mikupuo miwili tu.

Nikamshika mkono,tukaamza kutembea akinielezea kisa. Huku akitokwa na machozi kidogo Sana ambayo hayakumzuia kuongea.

Akaniambia,I'm virgin,hawezi kuwa na Mimi kwa sababu nilimwambia hatutaweza kusex mpaka tufunge ndoa,mwanzoni alisema sawa,na tukawa tunatembeleana,we have lunch and supper sometimes, we kiss dry and wett kiss then kila mtu anarudi hostel kwao. Akasema about a couple of months ago he acts weird. Yaani akabadilika sana,then Jana akanambia anataka Ku confess some of things,like jamaa anakunywa pombe of which alimwambia hanywi,then akamwambia hawezi bila sex which means ana f@ckmate and they did many times,akamwambia there is a lot of series of cheating episodes, naona haunifai na sifai kuwa na wewe,siwezi kusubiri mzigo mpaka ndoa kisa you're virgin. That's the reason. Kwa ufupi Sana ni hivo.

Nikaongea nae kwa muda mrefu Sana lakini since tumetoka pale she was strong akawa anajiuliza sasa nilikuwa nalia nini?

Huwa sijui ninayatoaga wapi maneno ya ku encourage, yenye hekima na busara ambayo yanakuwa nafuu kwa mtu.

Ushauri wangu,sio lazima iwe jambo la mapenzi lakini. kuieleza shida ni mojawapo ya kupunguza shida. matatizo kills us inside,yanaleta upweke,fedheha na mambo mengi mengi.

Choose someone you can talk to,upate amani ya moyo,na upate ushauri wa kutatua jambo.

Nb: sio kila mtu yupo tayari kushirikishwa au kusikiliza au kusaidia matatizo ya mtu mwingine. So be carefully.

Nawapenda.
 

Attachments

  • FB_IMG_1491833406009.jpg
    FB_IMG_1491833406009.jpg
    35.4 KB · Views: 48
Wakuu, mtoa mada kama ni me then sio riziki!
Ukiheshimu watu wengine haupungukiwi kitu,instead unajijengea na kujiongezea kitu. Kwenu hakuna wakubwa wa kukufundisha heshima kwa wengine? Siombi uniheshimu, laki ni nakushauri jiheshimu kwanza kabla hujaheshimu wengine,unaonekana hujiheshimu wala hujielewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom