relato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 689
- 986
- Thread starter
- #21
Ni kweli,in some other things Niko weak,but kwenye ishu ya mapenzi I'm little bit strong I can say. What I need is a person nimuelezee tu nitoe dukuduku langu la situation iliyopo mbele yangu baaaasiiiiiUnlucky, wale watu wema kwa kushauri huwa wanazidiwa zaidi na mambo yao wenyewe. Yaani, unakuta ni mshauri mzuri sana lakini yakimkuta yaliyomkuta mwenzake yanamuathiri sana kupita hata yule.
Mwenzake kama amelia na kuhuzunika sana, yeye atajaribu na njia mbadala za kujiondoa uhai.
They can't handle what they advice others.


