Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 7,798
- 20,745
Mama Chui akizaa watoto wake anawalea wakishakua anawaacha anaenda porini anakaa kama juma hivi akirudi anawatisha watoto wake. Yale watoto walioshtuka wakakimbia hawawi chui tena ila wale watoto waliomtambua mama yao wanabaki na mama yao na wanakuwa chui (katika uhalisia wake). Kwa sisi wachaga wale chui walioogopa mama yao anaitwa Isana; huyu isana anaenda kuishi porini huko linakuwa linazura na linakuwa kama lipaka la kawaida ambalo linaishi porini lenyewe. Huko nyumbani Isana huwa yanakuja kuiba nyama jikoni ila ukiliangalia unaweza sema chui ila lioga haliwezi fanya chochote kile kukudhuru.
Funzo:
Katika maisha changamoto ziko nyingi sana na mwanadamu huwa anapitia changamoto hizi na mwanadamu anaweza kufikiri kuwa Mungu kamuumbia matatizo, kitu ambacho si kweli. Shida zinakuja kwa mwanadamu ka kujitakia wenyewe kulingana na maisha ambayo tunapitia. Kwa mfano: Kuna watu wana
Watu wanataka urahisi wa kupewa majibu katika maisha na wengi wao hawaendelei mpaka waonyeshwe njia. Nafafanua: Kwa mfano mwalimu wengine wanasahihisha njia na sio majibu ila wenhine wanasahihisha maibu sio njia. Maisha yako hivyo vivyo kuwa kuna watu wanapitia majaribu mengi katika maisha yao ila majibu ya yanakuwa mafanikio na wengine katika njia hizi wanapopatia mafanikio.
Wadhungu wanasema: What does not kill you makes you stronger (kama sijakosea maana yake: kisichoweza kukuua kinakufanya uwe jasiri). Binadamu wanaopitia changamoto wengi wao zinawajenga na kuwafanya imara katika maisha yao na njia zao au majibu yao huwaleta mafanikio. Isana hana ujasiri tena ila litafanana na chui litakuwa halina asili ya uchui tena. Hivyo kuna watu katika maisha wanakuwa kama Isana mwisho wake wanazunguka tu dunia mpaka kifo kinapowakuta. Watu hawa hawana ujasiri kabisa na mwisho wanajikuta wanafanya mambo kama wanyama japokuwa ni binadamu. Mfano:
Natoa fundisho kubwa sana kwa vijana wenzangu jitahidini kujifunza kutokana na makosa ya wengine sio makosa yako mwenyewe maana kuna makosa ukiyafanya huwezi kurudi nyuma (to undo what happened). Ushauri usiyakubali maisha ya Isana, wenzako wanaishi usikubali kusindikiza, uwe na faida kwenye jamii na maisha yako yawe na maana na sio kutumia oxygen bure. .
Funzo:
Katika maisha changamoto ziko nyingi sana na mwanadamu huwa anapitia changamoto hizi na mwanadamu anaweza kufikiri kuwa Mungu kamuumbia matatizo, kitu ambacho si kweli. Shida zinakuja kwa mwanadamu ka kujitakia wenyewe kulingana na maisha ambayo tunapitia. Kwa mfano: Kuna watu wana
Watu wanataka urahisi wa kupewa majibu katika maisha na wengi wao hawaendelei mpaka waonyeshwe njia. Nafafanua: Kwa mfano mwalimu wengine wanasahihisha njia na sio majibu ila wenhine wanasahihisha maibu sio njia. Maisha yako hivyo vivyo kuwa kuna watu wanapitia majaribu mengi katika maisha yao ila majibu ya yanakuwa mafanikio na wengine katika njia hizi wanapopatia mafanikio.
Wadhungu wanasema: What does not kill you makes you stronger (kama sijakosea maana yake: kisichoweza kukuua kinakufanya uwe jasiri). Binadamu wanaopitia changamoto wengi wao zinawajenga na kuwafanya imara katika maisha yao na njia zao au majibu yao huwaleta mafanikio. Isana hana ujasiri tena ila litafanana na chui litakuwa halina asili ya uchui tena. Hivyo kuna watu katika maisha wanakuwa kama Isana mwisho wake wanazunguka tu dunia mpaka kifo kinapowakuta. Watu hawa hawana ujasiri kabisa na mwisho wanajikuta wanafanya mambo kama wanyama japokuwa ni binadamu. Mfano:
- Unawakuta watu wako vijiweni au online tu kwenye mitandao ya kijamii kazi kutongozana ila haimletei mafanikio yeyote anajificha kwenye mahusiano na watu wengi akidhania maisha yake yanasonga mbele kumbe hana mbele wala nyuma.
- Unakuta wanafanya mapenzi kwa njia ya haja kubwa, natoa rai kwa watoto wa kike huyo mwanaume anayekutongoza kwanza mulize una kitanda? Chumba? Unajikuta mnapotezewa mda sana muda ambao huwezi kuurudisha tena. Kama anakupenda aje kwenu akupende mbele ya wazazi wako
- Unakuta watu kila wanapoenda wanaleta maugomvi, matabaka, chuki na mizizi ya fitina kwa wenzao. Kazi yao kubomoa maisha ya wenzao
- Wanakimbia familia zao, unakuta hana ujasiri wa kuongoza familia. Mfano kwa mwanaume sifa kubwa unayopata ni pale watoto wanaposhindana kwenda chooni. Mwanamke sifa yake ni pale familia inaposimama katika maadili
- Wanajivunia vitu vya msingi kama umalaya, unakuta kazi yao ni kushinda kwenye porn au kushadadia mambo ambayo yanakuwa ya ngono mda wote. Ukimuliza sifa yake kubwa anakujibu nilitembea na Malaya Fulani.
- NK
Natoa fundisho kubwa sana kwa vijana wenzangu jitahidini kujifunza kutokana na makosa ya wengine sio makosa yako mwenyewe maana kuna makosa ukiyafanya huwezi kurudi nyuma (to undo what happened). Ushauri usiyakubali maisha ya Isana, wenzako wanaishi usikubali kusindikiza, uwe na faida kwenye jamii na maisha yako yawe na maana na sio kutumia oxygen bure. .