Mkuu cpendi kuweka mlango wa mbao na grill tena nje...Unajenga nyumba nzuri kwa gharama kubwa finishing unakuja haribu kwa kuweka milango ya chuma upo seriously kweli acha ogopa gharama nyumba yako haijawa jera uweke mlango wa chuma ili iweje
Weka mbao peke yakeMkuu cpendi kuweka mlango wa mbao na grill tena nje...
Ahsante kwa ushauri...