emmadeclassic
JF-Expert Member
- Sep 28, 2015
- 304
- 133
cdhani kama atapataJaman wadau nina mdgo wang mwngne yy pia kasoma CBG ambapo ana D² za bio en chem pia C ya geo kam yule mwanzo en kashatuma maombi ambapo
1-kaeka md archbishop james
2-kaeka pharmacy st.john
3-kaeka medcal.lab bugando
4-kaeka md kairuki
5-pharmc bugando
So kaniomba ushaul na mm cjui nimwambie nn so wakuu nambieni aache hivo hivo ama afanye editing mapema na kam anafanya editing ajaze nn
jaribu bahat ako bt kwa competition ilivo czan ka utapatawakuu pcb DCC
1.doctor of medicine kcmc
2.doctor of dental surgery muhas
3.pharmacy muhas
kuna posibility ya kuchaguliwa kweli au niweke education tyu nipunguze stress?
Utapata umeweka priority ya ngapimsaada...nna division 2 ya 12 form six PCB phys E Chem D na bio C name form four nlikuwa na div 1 ya 17 nmeapply chuo KCMC kozi ya prosthetics & orthotics na competition kiujumla ni applicants 22 wakati admission capacity ni 15 je nnaweza kupata nafasi au nbadilishe machaguo?!...
udaktar inawezekana kama competition sio kubwa but kama mlifaulu wengi MD ni ngumuvipi mkuu Mimi Nina DDD Kwenye physics, chemistry na biology Nina S kwenye BAM na F kwenye GS nitakuwa na cut of point ya ngapi na course gani unanishauri kusoma na doctor of medicine itakubali?
nmeiweka first priorityUtapata umeweka priority ya ngapi
kwahiyo ikitokea idadi ikazidi kidogo huwa wanawachukua hadi wale walozidi?kama wapo 22 utapata coz capacity ya kene guide book ni uongo
kiufupi hiyo faculty first year wapo zaid ya ishirini na md ni zaid ya 270 but kwenye gb ni 130 tukwahiyo ikitokea idadi ikazidi kidogo huwa wanawachukua hadi wale walozidi?
samahani kaka inaonekana upo so much informed...vipi we ni mwanafunzi wa KCMC??kiufupi hiyo faculty first year wapo zaid ya ishirini na md ni zaid ya 270 but kwenye gb ni 130 tu
yaahsamahani kaka inaonekana upo so much informed...vipi we ni mwanafunzi wa KCMC??
samahani kwa maswali mengi kaka....vipi kuhusu course ya physiotherapy kuna ndugu yangu kaomba hapo KCMC na kwenye gb wameandika capacity ni watu 30 na competition ilokuwepo ni watu 55 vipi idadi ya wanafunzi kwa course hiyo?yaah
first year walikua almost 49 so kama kafaulu fresh watamchukuasamahani kwa maswali mengi kaka....vipi kuhusu course ya physiotherapy kuna ndugu yangu kaomba hapo KCMC na kwenye gb wameandika capacity ni watu 30 na competition ilokuwepo ni watu 55 vipi idadi ya wanafunzi kwa course hiyo?
hao 55 si walioweka 1st choice tu, anaezaenda ata wa 5th choice kama kafaulu na nne zake za juu zimegoma na yule aliyeweka 1st akabakisamahani kwa maswali mengi kaka....vipi kuhusu course ya physiotherapy kuna ndugu yangu kaomba hapo KCMC na kwenye gb wameandika capacity ni watu 30 na competition ilokuwepo ni watu 55 vipi idadi ya wanafunzi kwa course hiyo?
mfano kama ikitokea walioweka first choice wote wana two na wale walioweka 2nd na 3rd choise wana ONE na first choice zao zimegoma je wale wenye two wataachwa wabebwe wale wenye one au?hao 55 si walioweka 1st choice tu, anaezaenda ata wa 5th choice kama kafaulu na nne zake za juu zimegoma na yule aliyeweka 1st akabaki
lazima wapewe, kikubwa ni ufaulu ndo TCU wanaangalia, priority ni vision ya muombaji tu anayowapa TCU kama mwongozo waanze hapa kwenda pale ambayo wataijaji kwa matokea ya muombaji.mfano kama ikitokea walioweka first choice wote wana two na wale walioweka 2nd na 3rd choise wana ONE na first choice zao zimegoma je wale wenye two wataachwa wabebwe wale wenye one au?
Jambo gum hilo.mwanafunzi aliyefaulu akiachwa akachukuliwa mwingine aliye na ufaulu wa kawaida na wote wapo kwenye round na coz sawa, anahaki ya kuwashtaki TCU
Mkuu samahani nahitaji ushauri wenu katika hizi kozi nina gpa ya 3.9 diploma ya account toka TIA, nime apply hivi udsm bcom-accounting,udsm bcom-finance,tia-accounting,ardhi-science in accounting & finance. Kwa udsm wanatak o'level uwe na c ya b-maths sasa mimi sikupata C ya hilo somo bali nilipata C ya book-keeping wakuu ila nina B+ ya bussiness maths and statistics ya diploma! je hapo mtazamo wenu naweza pata chuo wapi wakuu?. AhsantehHabari ndugu na wana JF kwa ujumla.
Nimeona nianzishe huu uzi mahususi kabisa kwa wale wanaoomba vyuo vikuu kozi mbali mbali tuwape elimu na ujanja ili waweze ingia vyuo wavipendavyo.
Pia huu uzi utashauri ubora wa chuo husika kuhusu baadhi ya kozi kwani kuna baadhi ya vyuo vina sifa kadhaa katika fani wanazofundisha.
Unachopaswa kufanya ewe unaeomba chuo utaleta matokeo yako yote ili tuyachambue ndio tukupe ushauri, pia kwa vyuo vyenye ushindani kwa kozi fulani hawa hadi matokeo ya form four wanaangalia so usiwe na hofu relax tutakushauri na hakika utashinda mapema wala hutapoteza kitu na pia uwashauri na wenzio walio karibu wapitie huu uzi ili wajifunze zaidi.
Kumbuka ufaulu wako ndo unaamua yote unapoomba kozi angalia ufaulu wako na ushindani kama idadi ni kubwa sana ya waliiomba na wewe una matokeo hafifu badilisha haraka.
Pia ni vyema kufanya maamuzi sahihi ukitegemea eti utahama chuo ni ngumu na hizi habari zinaingiliana na mkopo hivyo basi utaweza kuja kupata mkopo mwaka wa pili.
Hivyo basi jandae vizuri usiwe mbishi sikiliza ushauri wetu vizuri na sisi tumepita huko.
Pia wenzetu mliosoma diploma tunaweza wasaidia mawili matatu.
Karibuni sana.
Umenena vizur mkuu inaonekana unawaelewa sana TCU....!lazima wapewe, kikubwa ni ufaulu ndo TCU wanaangalia, priority ni vision ya muombaji tu anayowapa TCU kama mwongozo waanze hapa kwenda pale ambayo wataijaji kwa matokea ya muombaji.
Sasa kama ndo iko hivyo wakuu sisi PCB wenye two ya 12 tutapata kweli??mwanafunzi aliyefaulu akiachwa akachukuliwa mwingine aliye na ufaulu wa kawaida na wote wapo kwenye round na coz sawa, anahaki ya kuwashtaki TCU