Ushauri kuhusu flat screen TV

Ushauri kuhusu flat screen TV

Sony LED au Samsung ni bora, kwa kuwa wana mawakala wao jijini, ambao wanauza bidhaa hizo tu, kwa hiyo kuna guarantee ya ubora. TCL pia ni nzuri sana, ingawa hawana jina kubwa kama hao wakongwe. Nina TCL ya chogo ina umri wa miaka miwili na iko vizuri tu, ila nime upgrade kwa Sony Bravia.
 
tcl wanaubia na sumsung. Sasa hivi wametoa 3d tvs bomba sana na zinatamba huku australia. Ni jina kubwa sana china.
 
kaka umenena nina kitu cha LED Samsung series 4, nimekitungua pale mlimani + kingamuzi nawahi sana kurudi ghetto now days
mkuu hii digitali inatupeleka puta wengi... hebu niambie hapo mlimani city wanaiza bei gani hizo sumsung inch 28 au hata inch28?..... nijuze mkuu ili nione kama mfuko unaruhusu na mimi nifanye mambo maana umenitamanisha sana
 
mimi nakushauri nunua samsung led kuanzja series ya 4 maana zina uwezo mkubwa kwanza zinasoma hadi external na kila aina ya format ya video itakayo kuwemo.
 
Natumia samsung, na nakushauri ununue samsung


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Nina sony.. Namaliza nayo mwaka wa pili sasa. Cha muhimu hakikisha haziingiwi maji
 
Kaka ukitaka tv bora chukua samsung,kama budget ndogo chukua hata samsung Z58 inch21
brand new 270,000/=,achana na hizo Tv za wachina vimeo vitupu

Brand new samsung 24 inch zenji 300,000
 
Nina Zec namiliza nayo mwaka wa 4 na nusu sasa, nataka ongeza nyingine kwa ajili ya chumba cha wageni
Nina sony.. Namaliza nayo mwaka wa pili sasa. Cha muhimu hakikisha haziingiwi maji
 
TCL ni led tv nzuri sana zinatengenezwa na wale wajamaa wa hitachi zipo kkoo na zina warrant ya miaka miwili,km budget ni ndogo bora nunua hii tv ni nzuri.
 
kama upo Zenj, naomba PM nikutumie hicho kiasi halafu nifowardie hio kitu huku dar?

Mimi nipo bukoba wangu ila vitu naagizia Zenji nina bamkubwa wangu ananinunulia kisha natumiwa huku.
so nawewe tafuta jamaa,rafiki akuagizie.
 
Back
Top Bottom