USHAURI: Kufanya Polish au Waxing kwenye gari

caboos

Member
Aug 23, 2017
14
19
Msaada kwenye tuta

Nina kagari kangu naona rangi kama inafifia ila bado si mbaya sana.
Napenda kujuzwa yafuatayo hasa kutoka kwa mtu ambae ameshafanya polishing au waxing kwenye gari yake

1. Polishing na waxing ni kitu kimoja au tofauti,
2. Je, mtu akifanya waxing au polishing kwenye gari kuna madhara yeyote kwenye rangi asilia/origical color ya gari husika? hapa naamaanisha huko siku za mbeleni
3. Gharama za waxing kwa gari inaweza kuwa kiasi gani lets say Kluger?
4. Ushauri mwingine wowote unaohusiana na hilo
 
Msaada kwenye tuta

Nina kagari kangu naona rangi kama inafifia ila bado si mbaya sana.
Napenda kujuzwa yafuatayo hasa kutoka kwa mtu ambae ameshafanya polishing au waxing kwenye gari yake

1. Polishing na waxing ni kitu kimoja au tofauti,
2. Je, mtu akifanya waxing au polishing kwenye gari kuna madhara yeyote kwenye rangi asilia/origical color ya gari husika? hapa naamaanisha huko siku za mbeleni
3. Gharama za waxing kwa gari inaweza kuwa kiasi gani lets say Kluger?
4. Ushauri mwingine wowote unaohusiana na hilo
waxing ni kama mafuta flani tu ambayo unaweza kuwa unapata even 2 weeks ina a month hutumika kuifanya rangi ya gari iwe na mngao kama ule wa mafuta.

polish
hii unaweza kuifanya hata mara moja kwa mwaka yenyewe huipa gari yako mngao kama vile imetoka kupigwa rangi leo na upakaji wake huwa ni kama vile wanapiga rang kwa kutumia mashine za kublend na muda mwengine kwenye polish hadi msasa laini hutumika.

reason za kupiga polish mara nying huwa ni endapo gari imepigwa/kukaa kwenye jua mda mrefu na kufifia rangi hvyo hurejeshewa mngaro wake kwa polish au kama gari imetoka kupigwa rangi na huwa inashauriwa ipigwe siku 5 au 7 baada ya kupigwa rang

lakin waxing unaweza kuifanya hata kama gari imetoka japan leo
 
Back
Top Bottom