Ushauri wakuu kozi ya kusoma mtoto ambaye hakufaulu kidato cha nne

professional ethics

Senior Member
Dec 24, 2023
108
352
Wakuu habari na dogo langu hapa (mtoto wa mama mdogo), Matokeo yake ya kidato Cha nne hayajawa mazuri sana kwani kapata division four.

Hivyo mama mdogo kanitafuta nitoe ushauri juu ya fani ipi dogo akasome veta, binafsi nimeona kozi ya fashion designing, sewing and cloth technology itamfaa sana, na binafsi nimeongea ane kasema anapenda mambo ya fashion na ushonaji..

Zaidi ya hapo nimefatilia kozi hiyo veta, wanasema Inachukua miaka mitatu na ada yake ni laki na 20 per Year.


Wakuu naomba kuuliza kwa anae ijuia vizuri hii kozi je inaweza msaidia dogo akajiajri na kuajirika. Jinsia yake ni ke
 
Wakuu habari na dogo langu hapa (mtoto wa mama mdogo), Matokeo yake ya kidato Cha nne hayajawa mazuri sana kwani kapata division four.

Hivyo mama mdogo kanitafuta nitoe ushauri juu ya fani ipi dogo akasome veta, binafsi nimeona kozi ya fashion designing, sewing and cloth technology itamfaa sana, na binafsi nimeongea ane kasema anapendA mambo ya fashion na ushonaji..

Zaidi ya hapo nimefatilia kozi hiyo veta, wanasema Inachukua miaka mitatu na ada yake ni laki na 20 per Year.


Wakuu naomba kuuliza kwa anae ijuia vizuri hii kozi je inaweza msaidia dogo akajiajri na kuajirika. Jinsia yake ni ke



Hiyo fani nzuri anaweza kupata kazi katika viwanda vya nguo

Pia anaweza kujiajiri kwa kufungua workshop kushona suti. Nk.

Kila njia inatoka katika maisha kikubwa mfundishe kuwa awe humble na amtangulize Mungu kwa kila jambo.

Akae mbali na ngono ili atunze re-born and born
 
Hiyo fani nzuri anaweza kupata kazi katika viwanda vya nguo

Pia anaweza kujiajiri kwa kufungua workshop kushona suti. Nk.

Kila njia inatoka katika maisha kikubwa mfundishe kuwa awe humble na amtangulize Mungu kwa kila jambo.

Akae mbali na ngono ili atunze re-born and born
Shukrani mkuu
 
Hiyo fani ni nzuri, inampatia fursa ya kujiajiri mwenyewe pasipo mtaji mkubwa ( Mtaji wake ni ofisi na vitendea kazi baadhi).

Akiwa fundi mzuri na akajulikana ni biashara nzuri sana kwa maeneo yote, mjini na vijijini, ushuani na uswahilini.
 
Back
Top Bottom