professional ethics
Senior Member
- Dec 24, 2023
- 108
- 352
Wakuu habari na dogo langu hapa (mtoto wa mama mdogo), Matokeo yake ya kidato Cha nne hayajawa mazuri sana kwani kapata division four.
Hivyo mama mdogo kanitafuta nitoe ushauri juu ya fani ipi dogo akasome veta, binafsi nimeona kozi ya fashion designing, sewing and cloth technology itamfaa sana, na binafsi nimeongea ane kasema anapenda mambo ya fashion na ushonaji..
Zaidi ya hapo nimefatilia kozi hiyo veta, wanasema Inachukua miaka mitatu na ada yake ni laki na 20 per Year.
Wakuu naomba kuuliza kwa anae ijuia vizuri hii kozi je inaweza msaidia dogo akajiajri na kuajirika. Jinsia yake ni ke
Hivyo mama mdogo kanitafuta nitoe ushauri juu ya fani ipi dogo akasome veta, binafsi nimeona kozi ya fashion designing, sewing and cloth technology itamfaa sana, na binafsi nimeongea ane kasema anapenda mambo ya fashion na ushonaji..
Zaidi ya hapo nimefatilia kozi hiyo veta, wanasema Inachukua miaka mitatu na ada yake ni laki na 20 per Year.
Wakuu naomba kuuliza kwa anae ijuia vizuri hii kozi je inaweza msaidia dogo akajiajri na kuajirika. Jinsia yake ni ke