Ushauri katika hili-yamenikuta!

Ushauri katika hili-yamenikuta!

Hizo sisi huita za mwizi arobaini,huyo ni kawaida yake kuchet,na olewenu mshiriki ktk dhambi ya utoaji mimba, hiyo dhambi itawatafuna milele.let them to take care of their pregnancy.
 
Mimi ni mvulana niko masomoni kwa sasa.(Nasoma Degree ya pili) Nina mpenzi wangu tuliyedumu nae kwa miaka 3 sasa. Nimeshamtambulisha nyumbani kwetu, na pia nafahamika kwao japo sijaenda kujitambulisha rasmi. Nikiwa kwenye harakati za kwenda kutoa posa kwao, yeye alipata ajira na hivyo kwenda kazini.Akiwa huko mawasiliano yamekuwa ni mazuri tu na sikupata shida wala wasiwasi juu ya penzi letu. Miezi miwili baada ya kulipoti kazini, alinipigia simu huku akilia na kuogopa kilichotokea,ambacho anadai ni shetani amemtokea. Ana mimba, anayodai shetani alimfanya amkubalie mwanaume mmoja walieshinda nae huko siku ya kuriporti kazini. Msababishaji bado hajapata taarifa za mimba hiyo.Anadai bado ananipenda na ANAOMBA RADHI. Mimi bado sijampa msimamo wangu kuhusu hilo.

Naombeni ushauri wenu wanajamvi, natafakari sana kabla sijatoa maamuzi magumu.

Achana nae kwani huyo shetani aliemkumba si mdogo! Hilo ni Shetani hasa ukitilia maanani wewe pengine ulitumia kipindi kirefu kumwingiza kwenye line, lakini huyo shetani kaweza siku hiyohiyo moja.
 
Hapo ni kuchukua ha2a 2 moja kwa moja mda wa tafakari ulishakwisha
 
Mimi ushauri wangu unaegemea kwenye user name yako. Mtoto wa kiume utajiitaje blauzi??

Hebu achana na ilo jina kwanza mkuu then mengine yatafata.
 
Cheating isn't by accident,Cheating is indeed by choice.Huyo dada HAKUFAI.
 
Shetani nae kumbe anawapa watu mimba ???
Cha kufanya ,wewe jipange upya maana hapo hamjaoana ,mngekuwa mmeoana basi hapo ingekuwa mtihani mkubwa,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom