Hii ni kweli aisee... niliishika A8 ya 2017 muonekano wake ni kibokomkuu oneplus na xiaomi na wachina wazuri wazuri huwa hawauzi simu madukani, mara nyingi huuza zaidi online. ukizikuta madukani ni mtu kanunua kazieka, na bei huongezeka. hapo kama una mfanyabiashara anaeenda nje unamjua muagizie.
kuhusu A8 ni kwamba A series zote bei zake ni ghali kuliko specs zake. ni simu premium, wamelenga watu wanaopenda muonekano zaidi kuliko specification.
probably s5 ina camera nzuri kuliko A8 pia, sababu usisahau s5 ilikuwa ni flagship na A8 ilikuwa ni midrange na hazijatofautiana sana kutoka 2014 na 2015Mkuu nami nilitaka mwambia hivyo... ila kiukweli iphone 6 plus ni hovyo sana hasa camera yake haiipati hata galaxy S5
Sawa mkuu but hyo iphone 6 plus camera yake ni hovyo kuliko hyo A8probably s5 ina camera nzuri kuliko A8 pia, sababu usisahau s5 ilikuwa ni flagship na A8 ilikuwa ni midrange na hazijatofautiana sana kutoka 2014 na 2015
inawezekana mkuu, ila i bet iphone itakuwa nzuri zaidi.Sawa mkuu but hyo iphone 6 plus camera yake ni hovyo kuliko hyo A8
Iphone 7 angalao wamejitahidi kwenye camera ila nao nimeipambanisha na samsung s6 plus edge naona imepitwa...inawezekana mkuu, ila i bet iphone itakuwa nzuri zaidi.
Vitu Vya kijinga samsung?acha kufananisha iPhone na vitu vya kijinga
Nimekuelewa mkuumkuu oneplus na xiaomi na wachina wazuri wazuri huwa hawauzi simu madukani, mara nyingi huuza zaidi online. ukizikuta madukani ni mtu kanunua kazieka, na bei huongezeka. hapo kama una mfanyabiashara anaeenda nje unamjua muagizie.
kuhusu A8 ni kwamba A series zote bei zake ni ghali kuliko specs zake. ni simu premium, wamelenga watu wanaopenda muonekano zaidi kuliko specification.
Umeua mkuuUkitaka simu ya kukutawala nunua Iphone....ukitaka simu ya kuitawala nunua Android.!
Haigandi? cjaelewaTatizo bongo bidhaa zetu ni Asia Standard n ingekuwa Europe standard n hususan UK std simu mungeziheshimu,tofauti ya kwanza ni uzito maana Asia STD ni nyepesi, Europe std km IPhone haigandi kabsaaaaaaa
Ndo nyie mnaotawaliwa na cmuIPhone is the best ukinunua hutajutia
Mkuu usiangalie hilo, angalia ubora wa simu na hadhi yako ulionayoMkuu wananiambia eti iphone 6 ni outdated japo mm naipenda sana