kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,114
Jaman nataka kununua simu mojawapo kati ya hizo...mwny kunijulisha kuhusu bei zake halisi kwa hapa Bongo na mwny ushauri wwte juu ya ipi ni simu bora kati ya hizo tusaidiane...
Aisee nunua yoyote uitakayo ila ukimuona nkanga chief mwambie namsalimiaJaman nataka kununua simu mojawapo kati ya hizo...mwny kunijulisha kuhusu bei zake halisi kwa hapa Bongo na mwny ushauri wwte juu ya ipi ni simu bora kati ya hizo tusaidiane...
Mkuu wananiambia eti iphone 6 ni outdated japo mm naipenda sanaBinasfi nimechoka kutumia androids ,nataka nitumie OS nakushauri nunua iphone 6plus, bei ni mil1.4
Ukitaka simu ya kukutawala nunua Iphone....ukitaka simu ya kuitawala nunua Android.!Jaman nataka kununua simu mojawapo kati ya hizo...mwny kunijulisha kuhusu bei zake halisi kwa hapa Bongo na mwny ushauri wwte juu ya ipi ni simu bora kati ya hizo tusaidiane...
UmetishaUkitaka simu ya kukutawala nunua Iphone....ukitaka simu ya kuitawala nunua Android.!
A8 labda ya 2016 yenye exynos 7420 hii kidogo inaweza compete na hio iphone na ukaenjoy simu,
A8 ya 2015 sio nzuri kwa standard za sasa unless unaipata chini ya laki 4.
Nunua Samsung iphone huwezi kuwa huru kama androd


compare na A8 ndio iphone 6 plus ni nzuri zaidi.Kidogo kwa aje? Kua iPhone iko juu zaidi
Hizi A 8 kaka nimeona kama zipo chache vile madukani na bei yake sio ya mchezo nikahisi wanataka kunifanya mi wakuja mjini, na ile one plus 5 niliikosa mkuu naona bado hazijafika. Kikubwa napenda kununua simu latest version unakaa nayo hata miaka miwili bado inakua fresh unasahau hadi maduka ya simucompare na A8 ndio iphone 6 plus ni nzuri zaidi.
ila kwa A8 ya 2016 ni almost zinafanana, hapo sasa unakuja tu ule upenzi wa unachotaka.
mkuu oneplus na xiaomi na wachina wazuri wazuri huwa hawauzi simu madukani, mara nyingi huuza zaidi online. ukizikuta madukani ni mtu kanunua kazieka, na bei huongezeka. hapo kama una mfanyabiashara anaeenda nje unamjua muagizie.Hizi A 8 kaka nimeona kama zipo chache vile madukani na bei yake sio ya mchezo nikahisi wanataka kunifanya mi wakuja mjini, na ile one plus 5 niliikosa mkuu naona bado hazijafika. Kikubwa napenda kununua simu latest version unakaa nayo hata miaka miwili bado inakua fresh unasahau hadi maduka ya simu
Nilikuwa na iphone6 s plus ....nlichoka kutawaliwa jamaan.....achana na iOSUkitaka simu ya kukutawala nunua Iphone....ukitaka simu ya kuitawala nunua Android.!
Nilikuwa na iphone6 s plus ....nlichoka kutawaliwa jamaan.....achana na iOSUkitaka simu ya kukutawala nunua Iphone....ukitaka simu ya kuitawala nunua Android.!
Nilikuwa na iphone6 s plus ....nlichoka kutawaliwa jamaan.....achana na iOSUkitaka simu ya kukutawala nunua Iphone....ukitaka simu ya kuitawala nunua Android.!
Mkuu nami nilitaka mwambia hivyo... ila kiukweli iphone 6 plus ni hovyo sana hasa camera yake haiipati hata galaxy S5A8 labda ya 2016 yenye exynos 7420 hii kidogo inaweza compete na hio iphone na ukaenjoy simu,
A8 ya 2015 sio nzuri kwa standard za sasa unless unaipata chini ya laki 4.
Hyo simu ni outdated kweli.... camera yake hovyo sanaMkuu wananiambia eti iphone 6 ni outdated japo mm naipenda sana