Ushauri: Kapata supp, mwalimu anataka apewe rushwa ya ngono ili amfaulishe

Mwalimu kapataje namba ya mwanafunzi? Sio kwamba mwanafunzi ndo kampigia simu mwalimu na mwalimu akaona upenyo wa kuomba penzi? Kesi za namna hii huwa zina pande mbili. Watoto wakishindwa masomo hutafuta visingizio ikiwemo kuwaingiza kwenye 18 walimu.
we nawe wale wale
 
Huu uzi wa uongo kabisa.hivi Kuna chuo gani huruhusiwi kuendelea na masomo uki carry coz???au hujui ulichoandika
 
Wanabodi, nina ndugu yangu (wakike) kafeli somo moja katika mitihani yake ya mwisho wa semester, (ana supp). Sasa wakati huu wa likizo mwalimu wa hilo somo kamtafuta kwenye simu kaomba ngono ili aje kumfaulisha mtihani wa supp asije kupata carry.

Wasi wasi wangu ni kuwa dogo anaweza kufaulu mtihani wa supp lakini mwalimu akamfelisha kama hatakubaliana na ufedhuli wa mwalimu

Pia kwa utaratibu wa chuoni hapo kama mwanafunzi atashindwa kufaulu mtihani wa supp kwa somo hata moja, itabidi mwanafunzi huyo arudie kulisoma somo hilo moja tu mwaka mzima wa masomo (yaani hataweza kuendelea na masomo mengine mpaka afaulu hili alilolata sup)

Nimewaza kuripoti swala hili TAKUKURU, na kwenye uongozi wa chuo ili dogo asije akadhulumiwa haki yake kwa sababu ya tamaa za mtu.Japo ni kweli anaweza kuwa alishindwa kufikisha maksi zinazohitajika somo husika kihalali, lakini sidhani kama ni vizuri mtu kuitumia nafasi hiyo kumkandamiza.
NB:Ushahidi wa SMS anazotuma mwalimu upo.

Kabla sijafanya maamuzi, ninaomba kupata experience kutoka kwenu, ni namna gani bora niitumie kupata muafaka mzuri wa hii issue?


Kabla ya kwenda na kuchukua hatua yeyote-- angalia huyo sister mavazi yake!!! ni mavazi stara--yanayohifadhi na kuficha maumbile yake au anavaa kana kwamba yupo uchi??? UNAVAA KIMINI ALAFU UTEGEMEE LECTURER ATAKUACHA?
Jisitirini dada zangu, mtaepuka majaribu!!!
 
Swali moja tu uyo ndugu yako bado bikra, kama jibu hapana je tangu atolewe bikra katembea na mwanaume wangapi, jibu kama zaidi ya mmoja walimpa nini, kama hakuna walichompa sasa anambania mwalimu ili iweje wakati anatoa ngono kwa faida

Acheni utoto huo ndio ukubwa aende akafunuliwe uko kwa manufaa ya umma na familia

Hiyo ndio siri ya mafanikio mwambie
 
Wanabodi, nina ndugu yangu (wakike) kafeli somo moja katika mitihani yake ya mwisho wa semester, (ana supp). Sasa wakati huu wa likizo mwalimu wa hilo somo kamtafuta kwenye simu kaomba ngono ili aje kumfaulisha mtihani wa supp asije kupata carry.

Wasi wasi wangu ni kuwa dogo anaweza kufaulu mtihani wa supp lakini mwalimu akamfelisha kama hatakubaliana na ufedhuli wa mwalimu

Pia kwa utaratibu wa chuoni hapo kama mwanafunzi atashindwa kufaulu mtihani wa supp kwa somo hata moja, itabidi mwanafunzi huyo arudie kulisoma somo hilo moja tu mwaka mzima wa masomo (yaani hataweza kuendelea na masomo mengine mpaka afaulu hili alilolata sup)

Nimewaza kuripoti swala hili TAKUKURU, na kwenye uongozi wa chuo ili dogo asije akadhulumiwa haki yake kwa sababu ya tamaa za mtu.Japo ni kweli anaweza kuwa alishindwa kufikisha maksi zinazohitajika somo husika kihalali, lakini sidhani kama ni vizuri mtu kuitumia nafasi hiyo kumkandamiza.
NB:Ushahidi wa SMS anazotuma mwalimu upo.

Kabla sijafanya maamuzi, ninaomba kupata experience kutoka kwenu, ni namna gani bora niitumie kupata muafaka mzuri wa hii issue?
Haaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaa
 
Nakushauri kama wewe ni mwanaume unayetongoza watoto wa watu wengine usiende chuoni wala takukuru. Mwambie dogo akuforwadie hizo msg then mvae ticha kiutu uzima. Mwambie ulikuwa na nafasi ya kwenda takukuru na kumwaribia kazi.Lakini ukikumbuka kila mtu anaghafilika na kuwaza familia yake itakapopata taabu kwa ujinga wake umeona uje uonane naye man to man. Naamini atakuelewa na atakushukuru. Dogo aendelee kujisomea na naamini atasapua l.
Wakati unamshauri aende man to man uhakikishe pia nae si mwanafunzi...Maana inaweza kula kwake kwa nachokiona mtoa mada ndio anatakiwa kutombewa demu wake.
Akijitia kiherehere nae atakula umeme tu.
 
Mwalimu kapataje namba ya mwanafunzi? Sio kwamba mwanafunzi ndo kampigia simu mwalimu na mwalimu akaona upenyo wa kuomba penzi? Kesi za namna hii huwa zina pande mbili. Watoto wakishindwa masomo hutafuta visingizio ikiwemo kuwaingiza kwenye 18 walimu.
Angalau wewe umepanua wigo wa kufikiri
 
Nakushauri kama wewe ni mwanaume unayetongoza watoto wa watu wengine usiende chuoni wala takukuru. Mwambie dogo akuforwadie hizo msg then mvae ticha kiutu uzima. Mwambie ulikuwa na nafasi ya kwenda takukuru na kumwaribia kazi.Lakini ukikumbuka kila mtu anaghafilika na kuwaza familia yake itakapopata taabu kwa ujinga wake umeona uje uonane naye man to man. Naamini atakuelewa na atakushukuru. Dogo aendelee kujisomea na naamini atasapua l.
Una busara sana...
 
Hii ndio njia nzuri.
Awekewe mtego na ashikwe live na ushahidi yaani isiishie katikati.
Ikiishia katikati na akashtukia atamfelisha makusudi.
Na kingine pia asiende kuripoti chuoni walimu wanalindana kwa sababu wote wanaifanya hiyo michezo ya kupokea rushwa either ya ngono au pesa.
Tena walimu wanaushirikiano wa hali ya juu sana, kuna mwenzetu alipewa supp kisa tuu gari yake na mwl zinafanana, mwl aliona hii dharau yaan gari yake prado mwanafunzi anayo afu kawaida
Mwingine alipewa supp kisa alishinda tender ambayo mwl nae alikua ni bidder so mwl aliona ni dharau ya hali ya juu
Mwaka wa mwisho nilipewa supp mwaka wa mwisho kisa mwl hanioni katika kipindi chake kumbe alifananisha na jamaa mmoja,
So hapo nenda kwa makini na mwl
 
Wanabodi, nina ndugu yangu (wakike) kafeli somo moja katika mitihani yake ya mwisho wa semester, (ana supp). Sasa wakati huu wa likizo mwalimu wa hilo somo kamtafuta kwenye simu kaomba ngono ili aje kumfaulisha mtihani wa supp asije kupata carry.

Wasi wasi wangu ni kuwa dogo anaweza kufaulu mtihani wa supp lakini mwalimu akamfelisha kama hatakubaliana na ufedhuli wa mwalimu

Pia kwa utaratibu wa chuoni hapo kama mwanafunzi atashindwa kufaulu mtihani wa supp kwa somo hata moja, itabidi mwanafunzi huyo arudie kulisoma somo hilo moja tu mwaka mzima wa masomo (yaani hataweza kuendelea na masomo mengine mpaka afaulu hili alilolata sup)

Nimewaza kuripoti swala hili TAKUKURU, na kwenye uongozi wa chuo ili dogo asije akadhulumiwa haki yake kwa sababu ya tamaa za mtu.Japo ni kweli anaweza kuwa alishindwa kufikisha maksi zinazohitajika somo husika kihalali, lakini sidhani kama ni vizuri mtu kuitumia nafasi hiyo kumkandamiza.
NB:Ushahidi wa SMS anazotuma mwalimu upo.

Kabla sijafanya maamuzi, ninaomba kupata experience kutoka kwenu, ni namna gani bora niitumie kupata muafaka mzuri wa hii issue?
Anaitwa nani na anasoma chuo kipi?
 
Hapo chuoni hakuna carry.. yeye kaniambia somo linamsumbua , nikamwambia akazane kujiandaa na supp ili asije aka RETAKE, maana hataruhusiwa kuendelea na masomo mengine kwa mwaka utakaofuata kama atashindwa kufaulu mtihani wa supp.. katika mazingira hayo ndipo mwalimu alimtafuta ili apewe ngono ampitishe dogo supp
Anasoma diploma ya Electrical Engineering kwa mujibu wako mkuu, je chuo gani?
 
we nawe wale wale
Wanafunzi wanaopata sup 'wengi' wao ni kiwango duni. Binti mwenye uwezo wa kati na kuendelea ili afelishwe, nusu ya darasa inabidi lifeli. Hakuna upuuzi wa hivyo, na hata ikitokea, hilo suala ana uwezo wa kulimaliza na kummaliza huyo mwalimu kwa kufuata taratibu za chuo. Japo nimesoma zamani, naamin mambo ni yale yale.

Binti ni Veta material, au diploma material, chuo anaenda kufanya nn? Walaumiwe walioua vyuo vya kati na FTC.
 
Tena walimu wanaushirikiano wa hali ya juu sana, kuna mwenzetu alipewa supp kisa tuu gari yake na mwl zinafanana, mwl aliona hii dharau yaan gari yake prado mwanafunzi anayo afu kawaida
Mwingine alipewa supp kisa alishinda tender ambayo mwl nae alikua ni bidder so mwl aliona ni dharau ya hali ya juu
Mwaka wa mwisho nilipewa supp mwaka wa mwisho kisa mwl hanioni katika kipindi chake kumbe alifananisha na jamaa mmoja,
So hapo nenda kwa makini na mwl
Ni kweli huwa ni watu inferior
 
Back
Top Bottom