Ushauri: Kapata supp, mwalimu anataka apewe rushwa ya ngono ili amfaulishe

Wanafunzi wanaopata sup 'wengi' wao ni kiwango duni. Binti mwenye uwezo wa kati na kuendelea ili afelishwe, nusu ya darasa inabidi lifeli. Hakuna upuuzi wa hivyo, na hata ikitokea, hilo suala ana uwezo wa kulimaliza na kummaliza huyo mwalimu kwa kufuata taratibu za chuo. Japo nimesoma zamani, naamin mambo ni yale yale.

Binti ni Veta material, au diploma material, chuo anaenda kufanya nn? Walaumiwe walioua vyuo vya kati na FTC.
Mkuu ulichoongea ni totally opposite.
Kitu ulichoongea wewe ni mfumo wa sekondari kushuka chini.
Lakini mfumo wa chuo ni kwamba mwalimu wa somo amepewa mamlaka yote na ndio maana chuo hakunaga mtihani wa Taifa.
So hata uwe na akili kiasi gani au ukeshe kiasi gani mwalimu anaweza kukukamata akitaka.
 
Mkuu ulichoongea ni totally opposite.
Kitu ulichoongea wewe ni mfumo wa sekondari kushuka chini.
Lakini mfumo wa chuo ni kwamba mwalimu wa somo amepewa mamlaka yote na ndio maana chuo hakunaga mtihani wa Taifa.
So hata uwe na akili kiasi gani au ukeshe kiasi gani mwalimu anaweza kukukamata akitaka.
Kwahiyo unataka kusema kapata A masomo yote isipokuwa hilo la mwalimu anayemtaka? Ukikubali kudanganywa kirahisi namna hii na mwanafunzi wa chuo, utapata tabu sana kwenye ndoa. Huko kuna wabobezi wa uongo.
 
Kwahiyo unataka kusema kapata A masomo yote isipokuwa hilo la mwalimu anayemtaka? Ukikubali kudanganywa kirahisi namna hii na mwanafunzi wa chuo, utapata tabu sana kwenye ndoa. Huko kuna wabobezi wa uongo.
Wewe inaonekana ulisoma enzi za ukoloni au enzi za uhuru wakati dunia bado haijaharibika kila mtu alikuwa mzalendo.
Lakini kwa Sasa uhuni kila mahali.
 
Sawa mkuuu,Yote heri.
Lakini haya mambo ya rushwa za ngono vyuoni hayaanzi kuzungumzwa leo.
Yanazungumzwa maranyingi tu. Kama yanazungumzwa basi yapooo!!!
Na hili la leo ni mojawapo.
Sasa Kama yaliyozungumzwa huko nyuma hayakutoa fundisho ili tukio jingine la aina hiyo lisijirudie.
Basi tutegemee hata baada ya huyu dogo kuchukua hatua juu ya huyu mkufunzi mambo haya hayata koma.
Mkuu,haya matatizo si suala la kuwa linazungumzwa tu.Ni matatizo ambayo ni halisi na yapo kabisa kwenye vyuo na sehemu za masomo na hayajaanza leo.
Kwa mtazamo wangu,leo hii,wakati huu sababu ya utandawazi hivyo urahisi wa taarifa kusambaa,yawezekana yakaonekana bado yapo sana.Ila,si ajabu leo hii yamepungua zaidi.Ni vile zamani hapakuwa na vyanzo vingi vya kutangaza na kusambaza hizi taarifa hivyo pia si ajabu zilikuwa nyingi au chache zaidi.Ila,bahati mbaya sina data za kusukuma hoja,ila mtazamo tu.
Pili,sasa hivi vyuo ni vingi mno na vinazidi kuumuka kila kukicha.Hivyo tutarajie haya kusikika sana pia.

Lakini,tatizo lililoanza toka zamani kutopungua,si hoja ya kuhalalisha haya mambo yaachwe na kuchukuliwa poa.Si ajabu ni wingi wa wahanga kuwa na mtazamo wa namna hii wa kupuuzia,kumezea,kuogopa,kujali tu hatima zao binafsi na sio kuondoa tatizo n.k.,ndio sababu linaendelea kumea.Haja ya kubadilika na kulikabili,vema lianze toka kwa wahanga.

Nadhani,hata kama una uhakika kuwa hutamaliza tatizo,lakini VEMA SANA kuweka na kuacha mchango,hata kama ni mdogo wa kulitatua ama kulipunguza-shida zingine huchukua mda hadi wengi ama wenye nguvu ya utatuzi mkubwa kulivalia njuga na kulishambulia.

Na PIA,ijulikane kuwa,vyanzo vya hizi kadhia,si ajabu huanzia,kulelewa na kukuzwa na wasichana micharuko ambao,hao hata uwapeleke maeneo ya kidini,watatafuta fursa ama za kutafuta mteremko kwa waalimu wao ama kupenyeza silka zao za uhuni kwa ushawishi/kutega kwani hilo kwao ndio kila kitu,mengine yanafuata katika umuhimu.Hao hawashindwi kumshawishi hata asiye hata na chembe ya kuwatamani ama kuwaendekeza au hata 'hanithi' mpaka waone imeshindikana kabisa.Sasa hawa nao huzalisha na hukuza hizi hulka chafu kwa wasimamia elimu na hatimae,nao hunogewa na matokeo yake ni kuwajaribu hata wasichana wasio na silka hizo za kihuni na wala hawana tabia za kupenda miteremko katika kusaka elimu,na kuwaingiza kwenye matatizo.
Kimsingi,ni tatizo lenye vyanzo viwili vikuu (toka pande mbili).
 
Wewe inaonekana ulisoma enzi za ukoloni au enzi za uhuru wakati dunia bado haijaharibika kila mtu alikuwa mzalendo.
Lakini kwa Sasa uhuni kila mahali.
Hakuna sheria ya chuo inayomkataza mwalimu kuwa na mahusiano na wanafunzi. Nimeona wanafunzi wa chuo, wake kwa waume wakitembea na walimu. Mbaya ni pale inapofanyika ili kupata upendeleo fulani.
 
Wanabodi, nina ndugu yangu (wakike) kafeli somo moja katika mitihani yake ya mwisho wa semester, (ana supp). Sasa wakati huu wa likizo mwalimu wa hilo somo kamtafuta kwenye simu kaomba ngono ili aje kumfaulisha mtihani wa supp asije kupata carry.

Wasi wasi wangu ni kuwa dogo anaweza kufaulu mtihani wa supp lakini mwalimu akamfelisha kama hatakubaliana na ufedhuli wa mwalimu

Pia kwa utaratibu wa chuoni hapo kama mwanafunzi atashindwa kufaulu mtihani wa supp kwa somo hata moja, itabidi mwanafunzi huyo arudie kulisoma somo hilo moja tu mwaka mzima wa masomo (yaani hataweza kuendelea na masomo mengine mpaka afaulu hili alilolata sup)

Nimewaza kuripoti swala hili TAKUKURU, na kwenye uongozi wa chuo ili dogo asije akadhulumiwa haki yake kwa sababu ya tamaa za mtu.Japo ni kweli anaweza kuwa alishindwa kufikisha maksi zinazohitajika somo husika kihalali, lakini sidhani kama ni vizuri mtu kuitumia nafasi hiyo kumkandamiza.
NB:Ushahidi wa SMS anazotuma mwalimu upo.

Kabla sijafanya maamuzi, ninaomba kupata experience kutoka kwenu, ni namna gani bora niitumie kupata muafaka mzuri wa hii issue?
Masomo yake mengine amepata alama gani? Unaweza kutuwekea hapa ili tukushauri vyema? Tujadili.
 
Hakuna sheria ya chuo inayomkataza mwalimu kuwa na mahusiano na wanafunzi. Nimeona wanafunzi wa chuo, wake kwa waume wakitembea na walimu. Mbaya ni pale inapofanyika ili kupata upendeleo fulani.
Hakuna sheria ya chuo inayomkataza mwalimu kutembea na wanachuo.
Ila mbaya zaidi ni pale mwalimu anamkandamiza na kumfelisha mwanafunzi kisa amekataliwa kupewa penzi.
Walimu muwe na uvumilivu pindi mnapokataliwa si kila mahali utakubaliwa tu wewe umekuwa nani usikataliwe.
 
Mkuu ulichoongea ni totally opposite.
Kitu ulichoongea wewe ni mfumo wa sekondari kushuka chini.
Lakini mfumo wa chuo ni kwamba mwalimu wa somo amepewa mamlaka yote na ndio maana chuo hakunaga mtihani wa Taifa.
So hata uwe na akili kiasi gani au ukeshe kiasi gani mwalimu anaweza kukukamata akitaka.
Habari za vijiweni hizi. Hivi unajua vyuoni kuna wasahishaji wa nje wakati Necta hawapo? Hugo Dada ni mzuri kiasi gani mpaka afanyiwe fitna hiyo? Hebu rusha picha yake hapa tuangalie kama amefikia vigezo vya kuponzwa na uzuri wake.
 
Habari za vijiweni hizi. Hivi unajua vyuoni kuna wasahishaji wa nje wakati Necta hawapo? Hugo Dada ni mzuri kiasi gani mpaka afanyiwe fitna hiyo? Hebu rusha picha yake hapa tuangalie kama amefikia vigezo vya kuponzwa na uzuri wake.
Definition ya uzuri haipo uniform but ina vary kutegemea mtu na mtu.
Wewe unaweza ukamuona mbaya lakini huyo mwalimu akamuona bonge la kifaa Hadi akaumia kumkosa.
Na kwenye ishu ya mitihani ya chuo kupitiwa na external examiners/invigilator hiyo sikatai,lakini unafahamu kuwa assignment (CA) tu inaweza kumrudisha mtu nyumbani na kudisco asipofikisha marks zinazostahili?au ukifeli CA nayo utaenda kuwaita external examiners wakusaidie?
Usiongee kwa theories mzee Kuna watu walishapoteza chuo na kichwani wako bright.
 
Definition ya uzuri haipo uniform but ina vary kutegemea mtu na mtu.
Wewe unaweza ukamuona mbaya lakini huyo mwalimu akamuona bonge la kifaa Hadi akaumia kumkosa.
Na kwenye ishu ya mitihani ya chuo kupitiwa na external examiners/invigilator hiyo sikatai,lakini unafahamu kuwa assignment (CA) tu inaweza kumrudisha mtu nyumbani na kudisco asipofikisha marks zinazostahili?au ukifeli CA nayo utaenda kuwaita external examiners wakusaidie?
Usiongee kwa theories mzee Kuna watu walishapoteza chuo na kichwani wako bright.
Mimi nimekuelewa kwamba wewe ni mzazi na unaamin mtoto wako ni innocent. Ndo hulka yetu wazazi. Laiti tungejua wayafanyayo watoto wetu tungejifunza kutohukumu pasipo kuwa na taarifa za upande wa pili.
 
Wanabodi, nina ndugu yangu (wakike) kafeli somo moja katika mitihani yake ya mwisho wa semester, (ana supp). Sasa wakati huu wa likizo mwalimu wa hilo somo kamtafuta kwenye simu kaomba ngono ili aje kumfaulisha mtihani wa supp asije kupata carry.

Wasi wasi wangu ni kuwa dogo anaweza kufaulu mtihani wa supp lakini mwalimu akamfelisha kama hatakubaliana na ufedhuli wa mwalimu

Pia kwa utaratibu wa chuoni hapo kama mwanafunzi atashindwa kufaulu mtihani wa supp kwa somo hata moja, itabidi mwanafunzi huyo arudie kulisoma somo hilo moja tu mwaka mzima wa masomo (yaani hataweza kuendelea na masomo mengine mpaka afaulu hili alilolata sup)

Nimewaza kuripoti swala hili TAKUKURU, na kwenye uongozi wa chuo ili dogo asije akadhulumiwa haki yake kwa sababu ya tamaa za mtu.Japo ni kweli anaweza kuwa alishindwa kufikisha maksi zinazohitajika somo husika kihalali, lakini sidhani kama ni vizuri mtu kuitumia nafasi hiyo kumkandamiza.
NB:Ushahidi wa SMS anazotuma mwalimu upo.

Kabla sijafanya maamuzi, ninaomba kupata experience kutoka kwenu, ni namna gani bora niitumie kupata muafaka mzuri wa hii issue?
Tayari umeshamwabarisha atakwepa huo mtego
 
Mimi nimekuelewa kwamba wewe ni mzazi na unaamin mtoto wako ni innocent. Ndo hulka yetu wazazi. Laiti tungejua wayafanyayo watoto wetu tungejifunza kutohukumu pasipo kuwa na taarifa za upande wa pili.
Kwa hiyo mpaka ushahidi wa meseji za kutoka kwenye simu ya mwalimu bado hazitoshi kuelewa somo.
Yaani kusoma hujui hata picha nayo inakushinda kuangalia.
Kwa hiyo kumbe hata mabaharia wakiwa wanamtumia mkeo meseji za kumtongoza utaacha tu mabaharia waendelee Hadi wakamilishe lengo eti kwa kuwa mkeo ana udhaifu?Does this make sense?
 
Unafan
Wanabodi, nina ndugu yangu (wakike) kafeli somo moja katika mitihani yake ya mwisho wa semester, (ana supp). Sasa wakati huu wa likizo mwalimu wa hilo somo kamtafuta kwenye simu kaomba ngono ili aje kumfaulisha mtihani wa supp asije kupata carry.

Wasi wasi wangu ni kuwa dogo anaweza kufaulu mtihani wa supp lakini mwalimu akamfelisha kama hatakubaliana na ufedhuli wa mwalimu

Pia kwa utaratibu wa chuoni hapo kama mwanafunzi atashindwa kufaulu mtihani wa supp kwa somo hata moja, itabidi mwanafunzi huyo arudie kulisoma somo hilo moja tu mwaka mzima wa masomo (yaani hataweza kuendelea na masomo mengine mpaka afaulu hili alilolata sup)

Nimewaza kuripoti swala hili TAKUKURU, na kwenye uongozi wa chuo ili dogo asije akadhulumiwa haki yake kwa sababu ya tamaa za mtu.Japo ni kweli anaweza kuwa alishindwa kufikisha maksi zinazohitajika somo husika kihalali, lakini sidhani kama ni vizuri mtu kuitumia nafasi hiyo kumkandamiza.
NB:Ushahidi wa SMS anazotuma mwalimu upo.

Kabla sijafanya maamuzi, ninaomba kupata experience kutoka kwenu, ni namna gani bora niitumie kupata muafaka mzuri wa hii issue?

Unafanya maamuzi kwa niaba ya mdogo wako au unatakiwa umshauri nini cha kufanya?!
Vyuoni Kuna taratibu za kukata rufaa Kama unahisi hujatendewa haki.., vinginevyo mkitaka kukipeleka hilo swala takukuru ni shurti muwe na ushahidi wa kutosha!
 
Hatari sana...

Sometimes unaweza teteta mtu na kuona anaonewa kwa kuombwa rushwa ya ngono, kumbe walikua na mambo yao wenyewe...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom