Paa
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 1,449
- 2,924
Wanabodi, nina ndugu yangu (wakike) kafeli somo moja katika mitihani yake ya mwisho wa semester, (ana supp). Sasa wakati huu wa likizo mwalimu wa hilo somo kamtafuta kwenye simu kaomba ngono ili aje kumfaulisha mtihani wa supp asije kupata carry.
Wasi wasi wangu ni kuwa dogo anaweza kufaulu mtihani wa supp lakini mwalimu akamfelisha kama hatakubaliana na ufedhuli wa mwalimu
Pia kwa utaratibu wa chuoni hapo kama mwanafunzi atashindwa kufaulu mtihani wa supp kwa somo hata moja, itabidi mwanafunzi huyo arudie kulisoma somo hilo moja tu mwaka mzima wa masomo (yaani hataweza kuendelea na masomo mengine mpaka afaulu hili alilolata sup)
Nimewaza kuripoti swala hili TAKUKURU, na kwenye uongozi wa chuo ili dogo asije akadhulumiwa haki yake kwa sababu ya tamaa za mtu.Japo ni kweli anaweza kuwa alishindwa kufikisha maksi zinazohitajika somo husika kihalali, lakini sidhani kama ni vizuri mtu kuitumia nafasi hiyo kumkandamiza.
NB:Ushahidi wa SMS anazotuma mwalimu upo.
Kabla sijafanya maamuzi, ninaomba kupata experience kutoka kwenu, ni namna gani bora niitumie kupata muafaka mzuri wa hii issue?
Wasi wasi wangu ni kuwa dogo anaweza kufaulu mtihani wa supp lakini mwalimu akamfelisha kama hatakubaliana na ufedhuli wa mwalimu
Pia kwa utaratibu wa chuoni hapo kama mwanafunzi atashindwa kufaulu mtihani wa supp kwa somo hata moja, itabidi mwanafunzi huyo arudie kulisoma somo hilo moja tu mwaka mzima wa masomo (yaani hataweza kuendelea na masomo mengine mpaka afaulu hili alilolata sup)
Nimewaza kuripoti swala hili TAKUKURU, na kwenye uongozi wa chuo ili dogo asije akadhulumiwa haki yake kwa sababu ya tamaa za mtu.Japo ni kweli anaweza kuwa alishindwa kufikisha maksi zinazohitajika somo husika kihalali, lakini sidhani kama ni vizuri mtu kuitumia nafasi hiyo kumkandamiza.
NB:Ushahidi wa SMS anazotuma mwalimu upo.
Kabla sijafanya maamuzi, ninaomba kupata experience kutoka kwenu, ni namna gani bora niitumie kupata muafaka mzuri wa hii issue?