Ushauri: Kabeba mimba ya mume wa mtu, afanyaje?

Ushauri: Kabeba mimba ya mume wa mtu, afanyaje?

Lakini si tulishakataa hii tabia ya kumbebesha rafiki tatizo linalokusibu? Mwambie aunde account ya jf, aje na huu uzi nimshauri vyema
 
Hapo ni kuaiacha tu ila usitegemee matunzo kwa mwanao.

Yaani utalea mwenyewe na jiandae tu kwa hayo mahusiano kufikia mwisho wakati wowote.
 

Angekuwa amewekwa hiyo mimba ya bodaboda asingejiuliza mara mbili, angeitoa haraka sana!
 
Kwa ushauri wangu subiri ujifungue tu huwezi kujua atakuja na kheri zake huyo mtoto

Watoto ni Baraka unaweza ukapata usichokitegemea ingawa umepata dhambi kwa uzinifu

Dunia hii ni mbaya sana ila vumilia tu hayo ni madogo wala usiwaze atakula nini kwani hata humo tumboni anaishi kwa miezi 9
 
AZAE HALAFU HUYO MMWAGAJI ATATOLEA CHILD SUPPORT USTAWI BAADA YA DNA. Mtoto akifikisha mwaka 1 mkabidhi.
 
Kwamba akili za mwanamke wa Tz zipo kwamba jukumu la kulea ni la mwanaume!!!! Shame on them, Bitch.
 
Hapo napo Kuna shida tena!, Huyo azae mwanae amlee tu, unapoamua kungonoka lazima tayari kama mtu mzima uwe ushafikiria consequences tofautitofauti hilo likiwemo hivyo azae halafu alee mwanae hapo Kuna shida tena?
 
Kesi ndogo hiyo; azae tu mbona wengine tupo kwenye ndoa na tumezalisha nje; muhimu tu awe na uwezo wa kujihudumia mwenyewe
Nmeshangaa sana jambo dogo kama hili ni la kuleta hapa uzi kweli? Au pengine hana kipato chochote.
 
Back
Top Bottom